Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,284
- 5,863
Mbona haya mengine uyaonii tatizo lako wewe unawasikiliza wapinzanii Sanaa ukihoji kuhusu chato kupata kiwanja cha ndege usisahau kuhoji pia manunuzi ya ngegee
Hilo ni shoga linajiuza ccm sasa hivi bwanazake ni team SA100Usimsikilize huyo mzee ni kama malaya wa kisiasa tu, ukitaka kuamini hebu jiulize sie yeye aliyekuwa akifungua news kila kukicha akimsifia JPM? Huyo ni malaya wa kisiasa kama malaya wengine tu usimtilie maanani.
Mnadhani SGR itabeba mbuzi? wacheni miji ijengwe msifikiri mtabeba mizigo ili hali sgr ya tz tu inachukua zaidi ya miaka 7, je mpk ifike Drc si miaka 15? wakati wote huo biashara za abiria lazima ziendelee, sasa nyie komaeni tu Chato, chatoo, jengeni miji huko watu wahamie ili Kufungua Tanzania, au mnapenda tu kila siku Dar vs Dodoma?Inawezekana Geza Ulole kwamba kwa sababu ya culture mbaya ya kumuogopa Hayati Magufuli, mawaziri wenyewe walikuwa wanasukuma miradi hii ijengwe Chato badala ya maeneo mengine ili kumfurahisha Magufuli. Naye Magufuli kwa kupenda nyumbani, hangekataa miradi hio kuja nyumbani. Inawezekana miradi hii ilikuja Chato kwa sababu ya mawaziri kujaribu kujipendekeza kwa rais Magufuli?
Maviiii ya shogauzuri nasifia na kukosoa pia kwenye ukabila wake ukatili wake na upendeleo wake nausema pia!
Sawa basi nyamaza yaishe, kwani hizo nyumba niza Jpm?Inapita, uwanja wa ndege Tshs 60 bln! hospitali ya Rufaa ni zaidi ya Tshs 20 bln, kuna hoteli ya nyota tatu zaidi ya Tshs 15 bln, stendi ya mabasi zaidi ya Tshs 10 bln na machinjio na mnada zaidi ya Tshs 10 bln! mbaya malipo haya hayakupitishwa na Bunge! Siwezi kuwa mnafiki aisee kusema ati ni sawa! Hata siku moja! Hapo jengo la Tanesco, jengo la CRDB, jengo la mahakama, jengo la zimamoto, soko la Chato, chuo cha VETA, uwanja wa mpira, nyumba za polisi, nyumba za NHC na kivuko cha Chato havijaguswa! Ule ni wizi siwezi kuunyamazia tena akapeleka kijijini kwake wilayani Chato badala ya Geita Town!
Toa ujinga apa..mbona asisemeHizi ni 10k km ambazo Uhuru amejenga. Total ni 21k km ya lami. Wivu wenu hautabadilisha ukweli huo.
Wacha kuongea km unaongea na watoto hapa, alafu unakaza misuli kuongea utumbo, kuna aticle ililetwa humu ikionyesha mnajenga km 200 mpka mia tatu kwa mwaka...ndio mjenge km 10000Ndio within 9 years Uhuru amejenga 10,000 km of tarmack. Najua hamuamini lakini sisi sio malazy kama nyinyi. Ama wacha nitafute hio report niilete saa hii japo itanichukua muda kidogo. Munipe dakika 30 nitafute hio report ya KNBS iliyotolewaa mwaka huu.
Kama nyinyi mnaweza mbona sisi tusiweze? Naskia Jakaya aliweza kujenga 10k in 10 years mbona Uhuru ashindwe?Wacha kuongea km unaongea na watoto hapa, alafu unakaza misuli kuongea utumbo, kuna aticle ililetwa humu ikionyesha mnajenga km 200 mpka mia tatu kwa mwaka...ndio mjenge km 10000
Kwaiyo chato ndio ilijengwa zaidi Tanzania sio? Huwa unakuwa na akili mbaya hivyoInapita, uwanja wa ndege Tshs 60 bln! hospitali ya Rufaa ni zaidi ya Tshs 20 bln, kuna hoteli ya nyota tatu zaidi ya Tshs 15 bln, stendi ya mabasi zaidi ya Tshs 10 bln na machinjio na mnada zaidi ya Tshs 10 bln! mbaya malipo haya hayakupitishwa na Bunge! Siwezi kuwa mnafiki aisee kusema ati ni sawa! Hata siku moja! Hapo jengo la Tanesco, jengo la CRDB, jengo la mahakama, jengo la zimamoto, soko la Chato, chuo cha VETA, uwanja wa mpira, nyumba za polisi, nyumba za NHC na kivuko cha Chato havijaguswa! Ule ni wizi siwezi kuunyamazia tena akapeleka kijijini kwake wilayani Chato badala ya Geita Town!
Wacha maneno ya kanga, umesha fika Rwangwa?chuki wakati nalipa kodi? wizi ule unasema chuki? mbona nisichukie sgr ama jnhpp?
Akuna cha uzuri zaidi ya kubwatuka tuuuuzuri nasifia na kukosoa pia kwenye ukabila wake ukatili wake na upendeleo wake nausema pia!
Wacha maneno matupu , kikwete pamoja na kujenga kwakwe kote alishia km5000 plus ndani ya miaka kumi, ivi unazijua km10000 wwKama nyinyi mnaweza mbona sisi tusiweze? Naskia Jakaya aliweza kujenga 10k in 10 years mbona Uhuru ashindwe?
ingia website ya TAMISEMI wame-clasify vigezo vya miji na majiji na mipango miji pia!
Chato Bus Stand (Tshs 6bln awamu ya kwanza)
Geita Town Bus stand
Rudisha akili naona umezisahau mahaliHalafu hakuna kitu kinanikera km watu kumtusi na kumfananisha magufuli na huyu mwanamama mpumbavu Samia suluhu Hassan.Hususan huyu jamaa aitwaye opportunistic cost Hana akili kabisa.Eti anamlinganisha Samia Suluhu na Magufuli.Hata haya Hana.
Kikubwa chato nayo ni Tanzania sioni ubaya wowote..Nitajie wilaya nyingine Tanzania iliyopata upendeleo Tanzania kama Chato kipindi cha Urais wa Marehemu Magufuli, yaani imejengewe uwanja wa ndege wa Kimataifa, ikapewa ferry, ikaanzishiwa mbuga ya wanyama, ikajengewa uwanja wa mpira, ikajengewa soko la dhahabu, ikajengewa machinjio na soko la mnada la kisasa, soko la kisasa, ikajengewa ofisi ya Tanesco ya kisasa, Ofisi ya CRDB ya kisasa, ikajengewa stendi ya mabasi ya kisasa, chuo cha VETA cha kisasa, hospitali yenye hadhi ya rufaa ya kanda, mabarabara na mataa ya barabarani, nyumba za polisi n.k.! Mind you Chato ina idadi ya watu 365,000 vs watu 807,000 Geita Town (sensa 2012)! Wacha kufuru mzee!
Nenda kasearch tena Data zako mkuu zinakudanya.Wacha maneno matupu , kikwete pamoja na kujenga kwakwe kote alishia km5000 plus ndani ya miaka kumi, ivi unazijua km10000 ww
Sisi wa wilaya ya Musoma Mjini tumejengewa Hospitali ya rufaa iliyowashida maraisi wa 4 waliomtangulia JPM na uwanja wa ndege unapanuliwa, sas sijajua na sisi tulipendelewa au?au utakua sisi tupo kisheria na Chato haipo kisheria.., nlitaka kusahau na barabara za lami za mitaani na mitaa km yote...
Ushindani wa Tz na Kenya haukuanza na Jamiiforum nimeanza kusoma ushindani huo way back 2013 kupitia kurasa za magazeti ya Kenya EastAfrican,Daily Nation.Pia ingia Google utakuta Kuna kurasa nyingi za Tz Economy v Kenya,Kuna kurasa za Will Tanzania overtake Kenya soon nk..Hivyo basi ushinda kiuchumi haujanza 2015 ila Jamiiforum Dar v Nai ilikuja kwa Moro kwa kua wachangiajo ni wengi kuliko kwenye kurasa za www....Bila uthubutu wa JPM wala huyu muharibu uzi asingeota kufungua huu uzi wa SGR comparison.
Halafu leo hii yupo hapa kupiga panganga!
Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania
Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway President John Magufuli with China Exim Bank president Liu Liang after holding talks at Chamwino State Lodge in Dodoma this week. PHOTO | COURTESY In Summary Dar es Salaam is positioning itself as a...www.jamiiforums.com
Urban and rural water supply: Kenya vs Tanzania
www.jamiiforums.com
Mwanza ferries vs Kenya ferries
The ferries of Kisumu Kisumu ferry tetanus all over!www.jamiiforums.com
Comparison between construction of Kimwarer dam and hydropower project and Nyerere dam in Rufiji Hydropower project
Rufiji Hydropower Project The 2,100MW Rufiji hydropower project is being built on the Rufiji River in Stielger’s Gorge, Selous Game Reserve of Tanzania. With a gross output of 5,920GWh, the plant will more than double the country’s power generation capacity, upon commissioning. Construction on...www.jamiiforums.com