Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,010
- 11,693
Kwahiyo kwa miaka michache ya Uhuru kajenga 10,000km ambazo ni nyingi kuliko marais wote wa Kenya na pengine ni rekodi ya Afrika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo kwa miaka michache ya Uhuru kajenga 10,000km ambazo ni nyingi kuliko marais wote wa Kenya na pengine ni rekodi ya Afrika
mention hizo list ya hizo tarnamack roadData za serikali ya Kenya zinasema Kenya ina 21,000 kilometres of tarmack roads wakati Tanzania ina 13,000 kilometres of tarmack roads. Najua ukweli inauma lakini itabidi uzoee.
jamaa kapagawa kweli kweliKwamba within 7 good years UHURU ametengeneza 10k km of paved roads, , wacha we.. alafu wakoloni pamoja na marais wote wa kenya waliopita wanatengeneza 11km of paved roads.? 1963-2013.. bwahahahah .. bro ni kweli uyasemayo.? Wakenya bhana muache uongo
Exactly angalia hospitali ya mfano ya wilaya ya Ilolo
nje ya Nairobi huduma za afya ni majanga! Halafu ujue hospitali nilizoweka hapa sijajumuisha zile za taasisi za kidini ama binafsi! Kenya hata zile za binafsi state of the art zipo mainly Nairobi! Muacheni JPM jamani ashukuriwe anachofanya district hospitals zaidi ya 80 (67+ phase II) si kitu cha mzaha hata kidogo!
Mbali ya hayo kuna several pharmaceutical plants coming up!
Project ziko kwa wingi Kenya but hii expressway carries the day🔥👑Nchi ya project moja, btw hongereni Wakenya mna ushirikiano humu Jamii Forums tofauti na sisi Watanzania, kuna wasenge wachache wanapambana kuhakikisha ushirikiano uliopo kwa watanzania kwenye huu uzi unaharibika kumamae zao, Gud night.
Acha kujitoa ufahamau weweKule skyscraper huwa na deal na mambo ya Tz tu, huwa sijishughulishi na habari zenu cz hakuna jipya mtapost, na kama kungekuwa na jipya mngeshapost humu, tofauti ni nn mpk msipost humu, mmeanza kutafuta sababu wapuuzi nyie, mshamaliza picha zote wkt cc ndiyo tunaanza.
uzuri nasifia na kukosoa pia kwenye ukabila wake ukatili wake na upendeleo wake nausema pia!Bila uthubutu wa JPM wala huyu muharibu uzi asingeota kufungua huu uzi wa SGR comparison.
Halafu leo hii yupo hapa kupiga panganga!
Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania
Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway President John Magufuli with China Exim Bank president Liu Liang after holding talks at Chamwino State Lodge in Dodoma this week. PHOTO | COURTESY In Summary Dar es Salaam is positioning itself as a...www.jamiiforums.com
Urban and rural water supply: Kenya vs Tanzania
www.jamiiforums.com
Mwanza ferries vs Kenya ferries
The ferries of Kisumu Kisumu ferry tetanus all over!www.jamiiforums.com
Comparison between construction of Kimwarer dam and hydropower project and Nyerere dam in Rufiji Hydropower project
Rufiji Hydropower Project The 2,100MW Rufiji hydropower project is being built on the Rufiji River in Stielger’s Gorge, Selous Game Reserve of Tanzania. With a gross output of 5,920GWh, the plant will more than double the country’s power generation capacity, upon commissioning. Construction on...www.jamiiforums.com
Sasa Kama by 2020 Kenya ilikua na 20K kilometa za lami na Tanzania Kikwete alikabidhi nchi kwa Magufuli 2015 Tanzania ikiwa na 18K kilometa za barabara za lami, yaani miaka mitano ya Magufuli (2020) unategemea Tanzania itakua na kilometa ngapi za lami?carter Sama boy 255 The best 007 ndio huu mzigo nimeupata. Nilikuwa tayari nimeshaisoma karibu yote. Ni mzigo mkubwa sana yenye pages karibia mia nne ila page husika ni page 201. Nitaweka link hapa aliye na haja afuate huko asome page 201. Ila pia naweka screenshot. Kwenye hii screenshot utaona kwamba by 2020 Kenya ilikuwa na 19,648 km of bitumen road. Yaani hio ni kama 20,000 km. In fact by now imeshafika 20,000 km maana hii data ni ya 2020.
View attachment 1976612
Hapa nimezoom zaidi ili mueze kuona vizuri hapo mahali palipoandikwa kwamba Kenya ina 19, 629 km of bitumen (paved) road.
View attachment 1976614
Mwishowe ninaweka link anayetaka kusoma zaidi afuate link aende page 201.
Sijui. Pengine zaidi ya 20k? Wewe tuambie.Sasa Kama by 2020 Kenya ilikua na 20K kilometa za lami na Tanzania Kikwete alikabidhi nchi kwa Magufuli 2015 Tanzania ikiwa na 18K kilometa za barabara za lami, yaani miaka mitano ya Magufuli (2020) unategemea Tanzania itakua na kilometa ngapi za lami?
Kikwete mwnywe anasemajeSasa Kama by 2020 Kenya ilikua na 20K kilometa za lami na Tanzania Kikwete alikabidhi nchi kwa Magufuli 2015 Tanzania ikiwa na 18K kilometa za barabara za lami, yaani miaka mitano ya Magufuli (2020) unategemea Tanzania itakua na kilometa ngapi za lami?
Kikwete yeye Yuko busy kutafuta misaada ya chakula kwa ajili ya watu wanaokufa kwa njaa KenyaKikwete mwnywe anasemaje
Kuna ile kona hujaigusa. Ukabila, ukatili ni inshu zenu za kuua denge.uzuri nasifia na kukosoa pia kwenye ukabila wake ukatili wake na upendeleo wake nausema pia!
Kikwete yeye Yuko busy kutafuta misaada ya chakula kwa ajili ya watu wanaokufa kwa njaa Kenya
Tell him!🤗🤗Chuki yako kwa huyu Hayati ni mbaya sana. Ameshakufa bado hamridhiki mnaendelea tu kumuandama?! Acheni majungu mmeshapata madaraka mliokuwa mnayatamani jengeni nchi sasa kuliko yeye mtakubalika. Kukaa na kupiga majungu mambo aliyofanya hakusaidii kitu.
Thamani ya miradi ya Chato inaweza kufikia daraja la sealnder? Inaweza kufikia sgr? Inaweza kufikia brt phase 2? Inaweza kufikia stiglers dam? Au hivyo navyo viko Chato? Hospitali za wilaya zilizojengwa zote ziko Chato? Daraja la wami liko Chato? Vikvuko vyote vilivyojengwa vinatoa huduma Chato? Acheni roho mbaya let the man rest in peace na jengeni nchi acheni majungu na uswahili.
Wana wa kona ileee🥱Kikwete alitaka kuingiza nchi kwenye mkataba wa kipumbavu kwa bandari ya Bagamoyo amabapo mzigo wa madeni ungekuwa mkubwa kwa wtz, alijenga chuo kikuu Bagamoyo nk, hivi, mradi wa hii bandari gharama yake inalingana na pesa za chato? Hospital ya Chato ni kanda, iweje ww uiweke kuwa ni ya Chato? Usifanye watu wajinga bhana