Team ya futaa.City huwa ni nini.?
Team ya futaa.City huwa ni nini.?
Hizi zipo tu mbona bro, hata Tanga ipo moja ..nilipigipa hii picha nikiwa ndani ya gari 👇Aisee I have never heard about stand ya malori hapa EA, hata Dar kwa kweli. Safi sanaView attachment 1974239
Naona unaanza kujichetua sasaRuaka town is even way better than your so called capitalView attachment 1974336
Ju hujasikia haimaanishi hakuna.Aisee I have never heard about stand ya malori hapa EA, hata Dar kwa kweli. Safi sana View attachment 1974239
Very low quality indeed, hebu linganisha na hii
Muulize kwanza hicho alichopost ni kitu gani mana hapo panaonekana ni shambani, na structure amepost haielezi chochote since ipo empty kinachoonekana hapo ni trekta moja tu, uskute hata sio stendi ya MaloryVery low quality indeed, hebu linganisha na hii View attachment 1974356View attachment 1974357
Daa nilijua tuta... So Kenya hiyo stand 😂 😂Very low quality indeed, hebu linganisha na hii View attachment 1974356View attachment 1974357
Daah ila wakenya sasa hapo ulinzi unafanyikajeVery low quality indeed, hebu linganisha na hii View attachment 1974356View attachment 1974357
It's a big project. Eldoret Southern Bypass, iko under construction ikikamilika tutafanya hizo comparison munapenda to feed your inferiority complex.Very low quality indeed, hebu linganisha na hii View attachment 1974356View attachment 1974357
Kenya bhn, haya nini hikiIt's a big project. Eldoret Southern Bypass, iko under construction ikikamilika tutafanya hizo comparison munapenda to feed your inferiority complex.
View attachment 1974429
View attachment 1974430
Daa nilijua tuta... So Kenya hiyo stand
Unaona unafiki wa corona na chanjo zake?
Tanzania, waliochanja ni chini ya 0.006% hii asilimia ni statistically insignificant. Sasa ni nini kilichoifanya Tanzania leo kuwa "safe" ?
Ni kweli hapo nimechemsha, ilitakiwa iwe 0.6%nimeelewa lengo la ujumbe wako na ninaunga mkono.. lkn hizo hesabu haziko sahihi
waliochanjwa wanakaribia 1m.. total estimated popu ni 60m
(1m/60m)*100=1.67%
Du, kweli nina personal issues na hizi chanjo maana emotions zinazidi logic.bado ulioweka ni ndogo.. 0.1% ya 60m ni 60,000
kwamba kama walichanja 60,000 .. percent yake ni 0.1%.. wew umeweka 0.006
(60,000/60,000,000)*100%=0.1%
Tatizo ni nini au kitakua ni kitanzi cha KQUnadhani Kenya itaruhusu ndege yenu kupiga route ya Nairobi? Wacha kuota mchana mzee.