Duh!!noma sanaHata ubungo interchange was a donation from World Bank
Hehehe 😂Duh!!noma sana
Masoko yao mengi pia ni donations
Bussiness daily mnaikubali sio kisa inaongelea habari kuhusu kenyaAcha ujinga, Unajifanya huku iona hii post inayoelezea Kenya ina kopa internally kulipa external debt ama?
According to the Controller of Budget, as recent as August 16, 2021 a syndicated loan of Sh15,035,407,020.70 was due for repayment and the Treasury went to the domestic market to borrow to repay the foreign debt.
Acha ku panic ndugu. Mwenzio kasha kaa. Anajaribu kuhamisha goli sasa hivi.
Hawa ni fukara wa kutupwa aisee,Hehehe
hatari,huyu jamaa anaenda kuwa namba moja
And also as good neighbor and elder brother, Kenya didn't miss among the well-wishers who frequently give donations to Tanzania. See how Magufuli was very happy to be given KCB cheque 😂😂😂Hawa ni fukara wa kutupwa aisee,
Kwahiyo unaikana hii taarifa ya Bussiness Daily ama? Kuwa Bussiness Daily wamedanganya kuhusu hii taarifa.Bussiness daily mnaikubali sio kisa inaongelea habari kuhusu kenya
Unatafuta pa kutokea sio
Mtoto (fetus) anapokuwa tumboni mwa mama yake, organ ya kwanza kabisa kujengwa katika kile kipindi cha rapid cell division (mitosis) ni moyo. Kazi kubwa ya moyo ni usafirishaji wa damu ambayo inabeba virutubisho, taka na hewa. Bila ya kuwa na mfumo bora wa usafirishaji, mifumo mingine yote haiwezi kufanya kazi.
Ufanisi (maendeleo, ujenzi, uchumi, sayansi n.k) kwenye maisha ya mwanadamu ni kugeza yale yaliyokwisha fanywa kwenye asili (nature) na Muumba.
Mawazo ya kibiashara ya Magu yalikuwa ya kiwango cha juu sana, yeye aliangalia misingi ya kujenga uchumi imara. Sio uchumi "artificial" wa kina Dr. Dau wa kujenga maghorofa wakati hakuna watu wakupangisha majengo hayo.
Magu alisisitiza kwenye usafirishaji (barabara, ndege, meli, reli na bandari). Baada ya hapo akaja kwenye nishati (Bwawa la Nyerere) ili kupunguza gharama za umeme kwa viwanda, kuchochea uwekezaji. Yaani unakuta kiwanda cha saruji Tanga na bandari vinakosa wateja kwasababu tuu reli iliyotegemewa imekufa, hamna anayejali. Anakuja mtu anaifufua reli hiyo halafu kuna watu kama Geza Ulole wanasema Magu hakuwa na mawazo ya kuichumi/biashara, kweli?
Hii inatokana na kuwa na ligi za wasichana kwenye ngazi zote.Yaani TZ wanashika mataji yote matatu ya soka la wanawake ktk ukanda wa COSAFA, U17, U20 na Senior level, incredible experience,
Mkuu, naona umejibu hoja vzr sanaaa, pongezi zangu kwako ChamotoSuala ya Corona lilikuwa na siasa nyingi sana (mpaka sasa), katika nchi ambazo watalii wetu wengi wanatoka. Isingekuwa rahisi kuwashawishi watalii kuja, wakati nchi yetu ilichukua mtazamo tofauti wa kuikabili Corona. Ndiyo maana Zanzibar waliamua kuwashawishi warusi, hawa hawakuwa na agenda za kisiasa kwenye Corona.
Hata kama tozo ingepungua bado watalii wasingeongezeka kwakuwa nchi zao zingewatisha kuja nchini.
Kama isingekuwa sera zake ya maliasili, hata huko kupanda kwa bei kusinge tufaidisha.
Unamaana gani kusema mtu wa ujenzi tuu?
Uchumi gani usiotegemea miundombinu ya usafirishaji?
Wachina waliwekeza kwenye reli za mwendo kasi, miaka ya mwanzoni mwa 2000 na kuanzia 2008 tumeona impact yake kwenye uchumi wao. Leo wanamalengo ya kuwa na 70,000km za reli by 2035, kwanini tusifanye kama wao? Nchi hizi tajiri za Ulaya, Marekani na Japan ndivyo zilivyoendelea, kwa kujenga njia za usafirishaji kwanza halafu mengine yakafuata. Unafikiri wajerumani waliotutawala walikuwa wajinga kujenga reli ya Tanga na ya kati?
Ni sura gani hiyo anayoleta mama? Ni nchi gani kubwa zilizoendelea zilifanya hivyo kabla ya kujenga miundombinu dhabiti?
Dreamliner ni Boeing pia..sasa anamanisha boeing ipi...? ya mzigo yenyewe ni Boeing 767 freighter ..labda tupitie budget au tusubir ijayomama anasema zile ndege tano zilisainiwa hiv karibuni ni
-Dreamliner moja
-Boeing mbili (sio airbus ??)
-Mizigo moja
-Ndogo moja (Q-400)
Their country is run by donations. Even toilets they are waiting for donors to come and build.😂😂😂
Yaanii Sisi Wakenya tuna pesa mingi hata face mask tunanunua kwa pesa yetu hatupokeangi donation yoyote jombaa😋😂😂👇👇Duh!!noma sana
Masoko yao mengi pia ni donations
Wakweli kw taarifa za kenya pekeake lkn likija ni swala la hko kwenu mnapinga sioKwahiyo unaikana hii taarifa ya Bussiness Daily ama? Kuwa Bussiness Daily wamedanganya kuhusu hii taarifa.
Face mask ni miundombinuYaanii Sisi Wakenya tuna pesa mingi hata face mask tunanunua kwa pesa yetu hatupokeangi donation yoyote jombaa
欢迎访问中华人民共和国外交部网站 › rwjl
Chinese businessmen donate 70,000 face masks to Kenya ...
15 May 2020 — NAIROBI, May 14 (Xinhua) -- Zhejiang Business Association Kenya, an association of Chinese business owners in Kenya, on
Yaani ss wakenya hata chakula hatupokei donation,ss tume-advance Sana 😂😂😂😂🚮🚮🚮Donation za masoko, flyover, elimu bure
😆😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣 Louder please!Face mask ni miundombinu
Hata social amenities Kama hizi mmemaliza kwa wananchi wenu kila pahali,hata madesk sio?I never thought I would see something like that. Yani seriously they are waiting for IMF to construct desks for them😂😂😂