Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 2,892
- 7,552
Cheki hapoNdege zenu zinaozea kwenye hangars na unapiga makelele hapa. Afadhali wenye wana ndege za mikopo ila zinapiga routes.
Cheki hapoNdege zenu zinaozea kwenye hangars na unapiga makelele hapa. Afadhali wenye wana ndege za mikopo ila zinapiga routes.
We huna akili timamu nimekuacha tayariwewe ndio mpumbavu,,,unafikiria kununa ndege ndio full operation? Still many east Africans prefer kq over you and it will take time
na bado mnapiga loss na midege cash🙆🙆Cheki hapoView attachment 1969496
Ni suala la muda tu mkuu, wataelewaSioni ni kwanini Tanzania tusitoboe kwenye biashara ya Anga wakati nchi yetu ni top destination in the world, sioni kwanini tusitoboe wakati sisi pekee ukanda huu ndio tuna international airports 3 ambazo zinajaa ndege za moja kwa moja za abiria na sio ndege za misaada za UN kama jirani zetu wanaotegemea uwanja mmoja, sioni kwanini tusitoboe wakati nchi yetu ndio iko kwenye position nzuri kibiashara na hivyo kuwa na abiria wengi wa Transit. Sioni kwanini tusitoboe wakati biashara ya mizigo ina potential kubwa kwa kuwa na mizigo mingi ya exports kama nyama, samaki, nafaka na mbogamboga.
Ninachoona ni ongezeko la ukubwa wa Terminals zetu ili kukidhi ongezeko la abiria ambalo litakuja kwa kasi sana baada ya dunia kufunguka na sisi kuongeza idadi ya ndege. Naiona ATCL ikiwa ni giant kwenye biashara ya Anga Afrika huku mashirika mengine yaliyosafiria nyota yetu kuanguka vibaya. Naiona Tanzania ambayo ni kinara kwenye biashara ya usafirishaji na Logisticts Afrika. Muda unaongea.
atcl haiwezi shindana ata na Rwanda air kwa number of destinations na bado unang'ang'ana na kq💁💁Kwani mlirogwa na kushindana na kenyaWe huna akili timamu nimekuacha tayari
Nyie mnapiga nn ? hampigi loss?na bado mnapiga loss na midege cash
Huyo hajielewi utasumbuana nae sanaNyie mnapiga nn ? hampigi loss?
Timu za wanawake zinafanya vizuri sana.Kama nilijua tu, wkt mechi imeanza nikakukumbuka wewe na Simon nilikuwa kwenye gari nikasema hii timu itachukua ubingwa alafu nitapata matokeo toka kwa babayao255 au Simon na imekuwa kweli
Hongera Twiga stars, hongera Tz
Ila kenya inapiga safari mara 70 ya air Tanzania......mibongolala mnafaa muelewe air Tanzania haipo hata top 10 airlines in Africa. Eti airline safari ndefu inapiga ni safari ya chato ndo ya kulinganishwa na airlines zinapiga safari hadi za ulaya na marekani. Sijawai kuona watu wajinga kama watanzania wa hapa JFImeichukua Tanzania miaka 5 kufikia nusu ya ndege zote za Kenya (Kujumlisha na walizoazima)
Wewe tuliza mshono ,ni swala la muda mtaelewa Tu🙂🙂Kwanza tupe update ya BRT kwenu🤣🤣🤣🤣🤣Ila kenya inapiga safari mara 70 ya air Tanzania......mibongolala mnafaa muelewe air Tanzania haipo hata top 10 airlines in Africa. Eti airline safari ndefu inapiga ni safari ya chato ndo ya kulinganishwa na airlines zinapiga safari hadi za ulaya na marekani. Sijawai kuona watu wajinga kama watanzania wa hapa JF
Mbona unaonge kwa uchungu we mzee?Ile ufala uko nayo ata mama hawezi kuokoa. Reli yenu Arema standard yani kama Ethiopia. Inabeba 17m . Itafail, ni muda tu.
Kichwa yako yenyew mafiii...Tunachotakiwa kuelewa ni kwamba kuna Utanganyika na Uzanzibar kabla ya Utanzania.View attachment 1969366
Andika tu kwa kingereza3 weeks tu ishikwe Canada alafu zenye zimebaki mwanikie mpinga
Ungekua unaelewa airline business hungeandika huu ujinga....vipi zili ndege za mbeleni mbna hampigi nazo hata regional routes?Wewe tuliza mshono ,ni swala la muda mtaelewa TuKwanza tupe update ya BRT kwenu
Km watu wangelikua na akili km hizi zako, basi dunia ingekwama..Kwanini wasingesubir mwaka 2045 wakipata hiyo pesa ya kujenga huu mradi ndio wajenge.? Kwasababu ndio ingekua ni kipindi ambacho huu mradi ungewaletea faida zaidi since utakua ni government owned... Sasahiv huu mradi utawaumiza wananchi wao na kumfaidisha mchina tu.. au kasi ya utendaji wa magufuli ndio ilimfanya KENYATTA afanye maamuzi ya hovyo Ili kusudi watu wake waone they still stronger than us.?
Story za vijiweni acha mkuu, km kitu hujui kabaIngekuwa bongo hapa watuu wangesusa kupanda, yani mtuu aache kupanda basi linalotembea 80 - 120 km kwa saa alafu ni luxury akapande huo utopolo wa 80km alafu nauli ni karibu na sawa Acha utanii jamanii