The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,861
- 82,478
Kuamini eti Magu alipendwa na wasukuma tu ni kujiumiza kwa stress, jamaa alipendwa nchi nzima na ndiyo sababu viongozi wastaafu baadhi wakaanza kumchukia.wengi wenu ni wa kanda ile ya ziwa wanaoona wamenyang'anywa tonge! Basi wewe mfumodume unakusumbua!