Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni moja kati ya miradi ya Dodoma kama Dodoma, haimaanishi kama imeanzia mkoa tofauti na kuishia mkoa mwingine haina impact yoyote kwenye mkoa wa Dodoma

Pesa za AfDB zilizotolewa tayari kipindi cha Magufuli kwenye Airport na ring road ni almost $ 500 million
Unajua nini maana ya approves?

SGR peke yake ya Dodoma ni $ 2B

Screenshot 2021-09-21 163213.jpg



BTW the issue here ni nani anajenga unataka kuniambia JPM aliyelala pale Chato atajenga ring road na Msalato airport wakati serikali ni ya Samia Suluhu? Mkumbuke mlikuwa mnalazimishia miradi ya JK kuwa ya JPM kama JNIA Terminal 3! Mbona inakuwa ngumu kwenu kukubali hili? Mkuki kwa nguruwe sio? Hata mlidiriki kutaka kubadili katiba kabla term ya kwanza haijaisha as if mlikuwa mnajua ya Mwenyezi Mungu! Tabia iliyokuwa imejengeka ilikuwa mbaya sana!
 
Humu jukwaani kumeshakua hovyo sana, kuna mpumbavu akisikia JPM katajwa anaingia mwezini, hatuwezi kumtenga JPM na maendeleo yote yanayoendelea Tanzania kwa sasa hata nukta 1 sababu almost yote yeye ndio chanzo

Hatuoni kinyongo aliepo anavyoyaendeleza sababu hata JPM yapo aliyoyaendeleza kama Nyerere Bridge, Mloganzila, mwendokasi phase 1 na mengine mengi na yalipokamilika hakuacha kutoa pongezi kwa muasisi wa hayo

Tatizo hili jukwaa lishakua la kipimbi na sioni kama nina muda sana!
Tutawaachia jukwaa lao mana watu wanakuwa na ndimi mbili, huenda wanalipwa so now wameambiwa wakandie awamu iliyopita.

Mtu unapata wapi ujasiri wa kumkashifu Magu? Leo hii tupo kwenye hii battle kutokana na falsafa za Magu, ungewezaje kupambana na Kenya iliyokuwa imetupita kila kitu kama co Magu kukupa mdomo? Mtu anabisha mambo ya wazi kabisa kwamba mama anaendeleza alichoacha Magu, tukiwaambia watuonyeshe mradi aliouanzisha mama kama mama bado wanaleta ile ile ya Magu.

Watz wengi ni wanafki sana eti leo wamegeuka kabisa, wameanza kumtukana Magu daahhh,huu uzi umekosa ladha kabisa kwangu mana kila nikiingia nakutana na mbwa anamkosea heshima mtu aliyempa nguvu na kidomo domo cha ku comment humu.


Huu uzi ushakuwa wa kipumbavu sn, na kinachonikera mm ni mtu kukataa ukweli kisa tu analipwa buku 7, ngj muda unakuja kuwaachia uzi wao waendelee na mapambio ya uongo maana najua kabisa wengi wao wanajifanya kumsifia mama kinafki ili kuwaumiza wanaompenda Magu, yote hiyo ni sababu ya chuki na wengine ni tamaa ya vipesa vidogo vidogo.

Ndiyo maana hata speed ya ku comment humu imenipungua kwa sababu ya hawa wapumbavu wachache.
 

empty rhetorics baki nazo kama hauwelewi how rebase is done., Tanzania rebased recently in 2019, nyingine itakua baada ya miaka mitano kama desturi iliyo wekwa, so tegemea in 2024., mlivyo fanya 2014, base year ilikua 2007, sasa mmefanya 2019 na kutumia base year ya 2015., moving base year from 2007 mliyo itumia 2014 to rebase., census ni kitu nyingine tofauti..., wacha kujifanya mjuaji

Taarifa kamili..,

REBASE 2014...,BASE YEAR 2007​

Tanzania’s GDP expands by 32 pct after rebasing - officials​

By Fumbuka Ng’wanakilala
3 MIN READ

DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania’s gross domestic product has expanded by 32 percent after the state rebased its calculation to incorporate new sectors in the economy, including big discoveries of natural gas, officials said on Friday.



A general picture shows the skyline of Tanzania's port cty of Dar es Salaam, July 12, 2013. REUTERS/Andrew Emmanuel
The east African country’s GDP stood at 69.8 trillion Tanzanian shillings ($41.33 billion) in 2013 after the rebasing, up from a previous estimate of 53 trillion shillings, the National Bureau of Statistics (NBS) said.
β€œThe rebasing of the GDP takes into account new transformations in the economy, such as the ongoing mobile phone revolution in the country,” Finance Minister Saada Mkuya told a news conference.
Farming remains Tanzania’s economic mainstay, while tourism, mining, communications and financial services are the other key sectors. Tanzania has also made big natural gas discoveries, with revenues expected to give a boost to the economy by 2020.
As with other rebasings in Africa, the move takes into account structural and other economic changes, such as fast-growing mobile phone communications and ongoing hydrocarbon exploration activity.

The base year for calculations was changed to 2007 from 2001 and the NBS said GDP growth for 2013 was subsequently revised up to 7.3 percent from 7 percent previously.
Humphrey Moshi, professor of economics at the University of Dar es Salaam, said the expansion would give investors more confidence in Tanzania.
β€œThe rebasing of the GDP will allow for comparability of economic data between Tanzania and its east African neighbours such as Kenya and Uganda, which have also recently rebased their economies,” he told Reuters.
Kenya, East Africa’s biggest economy, revised up its GDP by 25 percent to $53.4 billion in 2013 after rebasing, from $42.6 billion previously.

However, Moshi said the economy still faced serious challenges, such as a budget deficit and inflationary pressures.
β€œPower availability remains erratic and the government needs to restore the trust of donors after they suspended aid to the country due to high-level corruption scandals.”
Tanzania’s attorney general resigned on Tuesday, becoming the first political casualty in an energy corruption scandal that has led Western donors to delay aid.
Lawmakers found that officials, including the attorney general and the energy minister, fraudulently authorised the transfer of at least $122 million of public funds to a private company. The officials have denied wrongdoing.

REBASED 2019.., USING 2015 AS BASE YEAR.,​

Tanzania rebases economy, 2015 GDP now 3.8 pct larger - stats office​

By Reuters Staff
2 MIN READ




A general picture shows the skyline of Tanzania's port cty of Dar es Salaam, file. REUTERS/Andrew Emmanuel
DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania has changed the base year it uses to calculate economic output to 2015, and data from the National Bureau of Statistics showed its economy was 3.8 percent larger in that year.
The bureau said in a document seen by Reuters on Wednesday it had changed the base year from 2007 previously, and calculated the economy’s size in 2015 at 94.3 trillion shillings ($40.56 billion) at current prices, up from 90.8 trillion shillings ($39.05 billion) using 2007 as the base year.
Tanzania last rebased its economy in 2014.

The statistics office said that based on constant 2015 prices, Tanzania’s gross domestic product was 107.67 trillion shillings in 2017. It did not calculate the impact the rebasing had on the figure.
In March 2018, the statistics office put Tanzania’s 2017 gross domestic product at 50.53 trillion shillings using 2007 constant prices.
Farming remains Tanzania’s economic mainstay, industry and construction and services are the other key sectors.

According to the World Bank, a new base year should represent normal operation of the economy β€” it should be a year without major shocks or distortions.
Kama hujui maana na utofauti wa economic rebase na change of base year hapo ndio utajua hujui
 
Ring roads zilikwisha pitishwa na African Development Bank na Msalato pia.



Mama hamna kitu hapo hata ufanyaje. I understand why you support her.
Buku7 ndo inamfanya abadilike kabisa, na cku zinavyozidi kwenda ndio amekuwa mpuuzi kabisa.
 
Ring roads zilikwisha pitishwa na African Development Bank na Msalato pia.



Mama hamna kitu hapo hata ufanyaje. I understand why you support her.
swali serikali ya nani inajenga?
 
Unajua nini maana ya approves?


View attachment 1947396


BTW the issue here ni nani anajenga unataka kuniambia JPM aliyelala pale Chato atajenga ring road na Msalato airport wakati serikali ni ya Samia Suluhu? Mkumbuke mlikuwa mnalazimishia miradi ya JK kuwa ya JPM kama JNIA Terminal 3! Mbona inakuwa ngumu kwenu kukubali hili? Mkuki kwa nguruwe sio? Hata mlidiriki kutaka kubadili katiba kabla term ya kwanza haijaisha as if mlikuwa mnajua ya Mwenyezi Mungu! Tabia iliyokuwa imejengeka ilikuwa mbaya sana!
Kwenye mambo kama hayo hatuangalii mjenzi anaenda kushika beleshi na kuinua tofali, tunaangalia aliebuni wazo, kuasisi na kuanza utekelezaji

Samia zake ni tozo na chanjo, ndio mambo aliyoyaanzisha from the scratch kwa utashi wake, hayo ya ujenzi ni anaendeleza Legacies za Magufuli sababu hakubuni yeye wala kutafuta pesa yeye, kaja kakuta kila kitu kipo tayari.

Hili halihitaji approval yako, lipo hivyo hata usipotaka.
 
Kwenye mambo kama hayo hatuangalii mjenzi anaenda kushika beleshi na kuinua tofali, tunaangalia aliebuni wazo, kuasisi na kuanza utekelezaji

Samia zake ni tozo na chanjo, ndio mambo aliyoyaanzisha from the scratch kwa utashi wake, hayo ya ujenzi ni anaendeleza Legacies za Magufuli sababu hakubuni yeye wala kutafuta pesa yeye, kaja kakuta kila kitu kipo tayari.

Hili halihitaji approval yako, lipo hivyo hata usipotaka.
kwahiyo masterplan ya Dodoma city, JPM ndiye ali-design sio? Hapa ndipo Bange za ukanda na ukabila hukolea!
 
Tutawaachia jukwaa lao mana watu wanakuwa na ndimi mbili, huenda wanalipwa so now wameambiwa wakandie awamu iliyopita.

Mtu unapata wapi ujasiri wa kumkashifu Magu? Leo hii tupo kwenye hii battle kutokana na falsafa za Magu, ungewezaje kupambana na Kenya iliyokuwa imetupita kila kitu kama co Magu kukupa mdomo? Mtu anabisha mambo ya wazi kabisa kwamba mama anaendeleza alichoacha Magu, tukiwaambia watuonyeshe mradi aliouanzisha mama kama mama bado wanaleta ile ile ya Magu.

Watz wengi ni wanafki sana eti leo wamegeuka kabisa, wameanza kumtukana Magu daahhh,huu uzi umekosa ladha kabisa kwangu mana kila nikiingia nakutana na mbwa anamkosea heshima mtu aliyempa nguvu na kidomo domo cha ku comment humu.


Huu uzi ushakuwa wa kipumbavu sn, na kinachonikera mm ni mtu kukataa ukweli kisa tu analipwa buku 7, ngj muda unakuja kuwaachia uzi wao waendelee na mapambio ya uongo maana najua kabisa wengi wao wanajifanya kumsifia mama kinafki ili kuwaumiza wanaompenda Magu, yote hiyo ni sababu ya chuki na wengine ni tamaa ya vipesa vidogo vidogo.

Ndiyo maana hata speed ya ku comment humu imenipungua kwa sababu ya hawa wapumbavu wachache.
Yaani huku saivi panatia kinyaa, Magufuli ndio alieifikisha hii nchi viwango vya juu tulivyopo ni kichaa tu ataepinga hilo

Hata mradi wa ubungo logistics centre, bila Magufuli kuhamishia stand kule Magufuli terminal isingejengwa na mchakato ulishaanza miaka mi4 nyuma ila watu wanakuja kuongea shit hovyo hapa

Kweli huu uzi ni wa kifedhuli saivi na hauna ladha tena, huyu mpumbavu analeta battle ya kipuuzi isio na mashiko pale anapopindisha ukweli kwa mihemko yake binafsi!
 
Tutawaachia jukwaa lao mana watu wanakuwa na ndimi mbili, huenda wanalipwa so now wameambiwa wakandie awamu iliyopita.

Mtu unapata wapi ujasiri wa kumkashifu Magu? Leo hii tupo kwenye hii battle kutokana na falsafa za Magu, ungewezaje kupambana na Kenya iliyokuwa imetupita kila kitu kama co Magu kukupa mdomo? Mtu anabisha mambo ya wazi kabisa kwamba mama anaendeleza alichoacha Magu, tukiwaambia watuonyeshe mradi aliouanzisha mama kama mama bado wanaleta ile ile ya Magu.

Watz wengi ni wanafki sana eti leo wamegeuka kabisa, wameanza kumtukana Magu daahhh,huu uzi umekosa ladha kabisa kwangu mana kila nikiingia nakutana na mbwa anamkosea heshima mtu aliyempa nguvu na kidomo domo cha ku comment humu.


Huu uzi ushakuwa wa kipumbavu sn, na kinachonikera mm ni mtu kukataa ukweli kisa tu analipwa buku 7, ngj muda unakuja kuwaachia uzi wao waendelee na mapambio ya uongo maana najua kabisa wengi wao wanajifanya kumsifia mama kinafki ili kuwaumiza wanaompenda Magu, yote hiyo ni sababu ya chuki na wengine ni tamaa ya vipesa vidogo vidogo.

Ndiyo maana hata speed ya ku comment humu imenipungua kwa sababu ya hawa wapumbavu wachache.
nyoo mama hata miezi 6 hajatimiza na katenga fedha zaidi kwa kila sekta, ila Chatogang mpo humu kumuhukumu utafikiri Mungu wenu alikuwa malaika!
 
kwahiyo masterplan ya Dodoma city, JPM ndiye ali-design sio? Hapa ndipo Bange za ukanda na ukabila hukolea!
Ni kweli hujui kama Magufuli aliandaa masterplans za mikoa kadhaa Tanzania Dodoma ikiwepo au unajitia uchizi?


 
Back
Top Bottom