Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

the same mathematics you have done, do it for Ghana & Ivory Coast for three years back with comparison to Tanzania
Check out there GDP then and growth rate.., then consult economic articles on how GDP is calculated, there are several factors to consider..,
 
sina uhakika kama hii ni official
ila GDP ya Tanzania sijawah kuielewa
growth rate tunaambiwa ni above 4 or sometimes 6 lkn GDP ipo mulemule ndani 60-65 it’s very fun thou
Mwaka wa kumi huu GDP ya Tz ni 60-65B ni usenge uliovuka mipaka na wenye kukera sana, Wakenya wote nadhani sasa watakuwa wanaelewa kwamba GDP ni usenge na ufirauni wa mzungu, tangu lini Tz ikapitwa na nchi za kisenge senge kama Ghana? Hapo kiuhalisia Tz inapitwa na nchi za kiarabu na SA basi hao wengine ni wasenge kama wasenge wengine.
 
tuondoe na hili tu mkuu GDP is not edible mengine tuwaaachie wenyewe.. cha muhimu tuna maisha mazuri, huduma za jamii ziko kila mahali
GDP ya Tz supposed to be larger than that of Kenya cz since it stacked at 60B never changed at all for at least ten years now, huu ni usenge usiovumilika, naomba wazalendo muwe mnawatagi hawa mbwa wanaohusika na hizi mambo especially international organization like WB and IMF.
 
Mwaka wa kumi huu GDP ya Tz ni 60-65B ni usenge uliovuka mipaka na wenye kukera sana, Wakenya wote nadhani sasa watakuwa wanaelewa kwamba GDP ni usenge na ufirauni wa mzungu, tangu lini Tz ikapitwa na nchi za kisenge senge kama Ghana? Hapo kiuhalisia Tz inapitwa na nchi za kiarabu na SA basi hao wengine ni wasenge kama wasenge wengine.
Mwaka wa kumi eti? 😂 😂 😂 😂 kuchanganya ujinga na upumbavu ni mbaya nani 😂 😂 😂 .., so in 2011 Tz ilikua $60 Billion economy? ata kama ni upunguani hii yako sasa ni zaidi man useless 😂 😂 😂 😂
 
WB and IMF who pronounced u lower mido income mkasherehekea kiushamba sio idiots and ignorant like most of u are.., 😂 😂 😂 😂
 
GDP ya Tz supposed to be larger than that of Kenya cz since it stacked at 60B never changed at all for at least ten years now, huu ni usenge usiovumilika, naomba wazalendo muwe mnawatagi hawa mbwa wanaohusika na hizi mambo especially international organization like WB and IMF.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 nilikuambia uwe una fyata hausikii! 😂 😂 kulikoni Man Useless?.., yaani unatamani Tz iwe juu ya Kenya hadi unaota ndoto mchana, tafadhali wachana na majani ya bangi, sio mboga ni dawa ya kulevya 😂 😂 😂 😂 😂
 
Watanzania waendelea kufurahia kifo cha magufuli
Screenshot_20210918-153356.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20210918-153417.jpg
    Screenshot_20210918-153417.jpg
    56.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20210918-153440.jpg
    Screenshot_20210918-153440.jpg
    20.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20210918-153505.jpg
    Screenshot_20210918-153505.jpg
    27.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20210918-153556.jpg
    Screenshot_20210918-153556.jpg
    60.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20210918-153624.jpg
    Screenshot_20210918-153624.jpg
    24.6 KB · Views: 1
Hivi hizi data za Tz ndio kusema zinabaki hapo hapo daily au kuna uzembe unafanyika serikalini ktk ku update data? Mbn serikali yetu ya kizembe namna hii, Dar haiwezi kuwa na popn ya 5mil only, tangu nianze kusikia hii ya 5mil ni mwaka wa tano huu, mara ukute 7mil yn kuna tatizo mahali, cz kwenye takwimu kuna kauzembe fulani nchi hii, huenda huwa hawaa update data.

Kuanzia kms of paved roads, GDP, electricity connectivity mpk hapa kwenye popn.

Tatizo wizarani yamejaa mazee mpk kero hayajui kucheza na numbers, yenyewe yanakula mshahara na kusinzia tu.
 
naipenda sana NAIROBI yangu,sisi wakenya tumeendelea sana kuliko nchi yeyote duniani,tunaishi maisha bora tuna pesa mingi venye tulivyo washap na hatutumii gari used zilizotumika miaka nane iliyopita pia kupakia magodoro,madumu juu ya bus zetu new model 2021 ni kawaida ni culture yetu yakisasa zaidi

in reality differView attachment 1943290View attachment 1943291View attachment 1943292View attachment 1943293View attachment 1943295View attachment 1943296View attachment 1943297View attachment 1943299View attachment 1943300
Ebu achana na Sisi nini mbaya Tanzania hamuwezi ligi yetu🙄
holtermanronnaug-post-2018_11_24_12_57.jpg


holtermanronnaug-post-2018_11_24_12_57-4.jpg
 
Hujielewi Kwa sababu sasa hivi kila kitu kimepanda ,tozo zimeongezeka,mama anasafirisafiri so Acha ujinga wa kuposti hizi vitu Kwa Sababu Watanzania washamkumbuka magufuli
Wewe na nani mnamkumbuka Dhalimu Mzilankende? 😃😃..

Kusafiri na kupanda vitu kinahusianaje? Acha Rais akatuletee pesa, nilidhani unasema miradi imesimama kumbe ni porojo.
 
Jifunze hesabu, ile basic, before other factors that are put into consideration..,niulize when did Tz cross from $50sB to $60sB?..,
understand growth rate ya 6% or 7% on a 55B is too small in comparison na 2% ya $500B economy., ama 6% growth kwa economy ya $60B ni kidogo sana ukilinganisha na 6% kwa $85B.., the reason a bigger economy ina grow kwa gap kubwa ukilinganisha na small economy..,
Rwanda GDP ni 1$0B., uchumi unakua na between 7% na 10%., but hiyo 10% yao ukilinganisha na 5% ya Tanzania, hakuna kitu!..,
10% of $10B (Rwanda) = $1B
4% of $60B(Tanzania) = $2.4B..,
Explain why kenyan economy which was $78bn in 2019 at growth rate of 3% leaped to $97bn in 2020.
 
Back
Top Bottom