Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kunyaland hamtakaa muwe na usafiri kama wa Tanzania sababu hamna barabara kama hizi

Ninyi endeleeni kujenga barabara on paperwork and numbers lakini kwa ground hamtokaa muwe na roads standard like this

Youtong linakimbiaje kw vumbi bana
Tena main road mazee kabisa nalo linakatiza kw speed ya mwanga
 
Jiji kama jiji.
Screenshot_20210917-075147_Opera.jpg
 
Haaawapi labda awe ajitaki tumekubali upumbavu huu hadi 2025 tu labda aweze kubadilika ,la sivyo nchi tunaiweka kidogo chini ya jeshi
Sasa sina mda wa kujadiliana na wapumbavu kama wewe,yule kiazi wenu Aliyekuwa anajitaka yuko wapi? 😄😄..

Kwa hiyo wewe unabishana na Rais aliyesema atagombea au? Jitokeze wewe utie Nia uone moto..au unajifariji kwa sababu umekata tamaa? Safi Sana Hangaya kawazima kama taa
 
Back
Top Bottom