toptorn
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,164
- 2,822
Mlipigwa na YangaNjia nzuri ya kujilinda ni kumiliki mpira, Man u ni timu kubwa na yenye wachezaji wa viwango vya juu, unapocheza na vitimu vidogovidogo kama kale katimu ka jana huwezi kuogopa eti kisa mchezaji wako mmoja kapewa red.
Pale tulipopewa red nikadhani atamtoa Van de beek aingie Greenwood alafu atamtoa Bruno/Pogba aingie Varane zen tungecheza 4-4-1 au 3-5-1 kwamba unaua fowadi mmoja unabaki na cr7 mbele mana aliwaweza mapema.
Cha ajabu kocha katoa midfield kaweka beki mana ake anakaba mbele ya watoto, alafu katoa forward (CR7) kaingiza kiungo baadaye anatoa kiungo anaingiza forward yani hajitambui anafanya nini.