Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaugulia wapi mzee manake sio kw maumivu haya
Niugulie wapi wakati sisi miradi yetu gharama yake ni 10x ya hiyo barabara?
Endelea kuongea matope. After rebasing Gdp yetu itakuwa $120 billion. Nina insider information.
GDP gani haiakisi maendeleo ya nchi, ni maradi gani ambao mmetumia hiyo GDP yenu kuonesha kweli mko vizuri?
changamwe 3tier interchange inaendelea, dongo kundu bypass phase II inaendelea, nbi expressway, kisumu new inland port inaedelea, expansion of two rivers mall inaendelea, the 2nd tallest skyscraper in africa inaendelea 88nbi condominium in upperhill, it will be 220m tall
Sasa mbona hamuioneshi hiyo miradi? Hata kile kituo kimoja cha BRT mmekisusia.
 
Niugulie wapi wakati sisi miradi yetu gharama yake ni 10x ya hiyo barabara?

GDP gani haiakisi maendeleo ya nchi, ni maradi gani ambao mmetumia hiyo GDP yenu kuonesha kweli mko vizuri?

Sasa mbona hamuioneshi hiyo miradi? Hata kile kituo kimoja cha BRT mmekisusia.
miradi ni nyingi sana inafanywa na serikali kuu, serikali za county pamoja na private sector. usijione una miradi nyingi kutushinda kwa kuwa sisi hatutupi progress ya miradi yetu hapa JamiiForums.

FYI thika road brt ina stations 10 si moja. sema most of the stations zinafanana
 
I said it here that there are some witches wenye wanatoka Olympics bila hata certificate of participation🤣😂😂🤣
 
Sasa naona dar ikishindana na Parkland's soon...J&M Palm residency 20 floors
tapatalk_1628103235786.jpg
tapatalk_1628103228277.jpg
 
Chuki zako kwa Magufli hazitabadilisha chochote. Na inaonekana wewe ni mbumbumbu mkosa pumbu au unajilazimisha kuwa mbumbumbu. Suala la SGR ni East Africa Community member states agenda na wala hakulianzisha Magufuli huo unayemchukia. Hiyo ni sera ya Taifa kupitia ilani ya CCM na Magufuli alikuwa ni mtekelezaji tu wala hakulianzisha yeye kama unavyodai. Hili Suala lilianza tangu enzi za muhula wa pili wa Mh. Mkapa (RIP) akiwa rais wa JMT. Ndio maana kila member wa EAC anaongelea SGR sema Tanzania na Kenya ambazo ndio zimeanza utekelezaji wa hiyo agenda ya SGR kutokana na kuwa na uchumi mkubwa kuliko member states wengine lakini pia kwa kuwa zina bandari.
We kenge huwa kuna priority,ianze wapi afu wapi pafuate nk .Mume wenu mwendazake alitumia mamlaka vibaya.Ndio maana swali langu litasalia pale pale,kwa zile Takwimu sgr inaenda Mwanza kubeba nini? Punda au dagaa? Hakuna kitu huko
 
Vodacom is dead. Na Waarabu wenu na chuki zenu dhidi ya Wakenya mkailaani vodacom.
 

Demand soars with thousands registering for Covid vaccine

ippmedia.com/en/news/demand-soars- thousands-registering-covid-vaccine
August 4, 2021
04Aug 2021
By Guardian Reporter
Dar es Salaam

News
The Guardian

Demand soars with thousands registering for Covid vaccine

THE government may create a waiting list as thousands of Tanzanians from various regions registered for Covid-19 vaccine following the official launch of national inoculation drive last week.

As of yesterday, Dar es Salaam Region had more than 10,000 applicants listing their names to get the Johnson & Johnson vaccine which the government received recently from the United States.

A big chunk of the one and quarter million doses has already been spent on frontline and at-risk groups such as healthcare providers, the elderly, people with underlying conditions and lately—journalists.

In Moshi, regional secretariat official SaidiMtanda urged medical personnel to assist people in filling the consent forms, especially those who can barely read or write, as the vaccination exercise in the district was launched at Majengo health centre.

He also urged medical practitioners to avoid being biased in providing the vaccines, insisting on priority to be given to identified groups.

“We do not expect our people to use the opportunity to receive bribes. Conduct yourelf professionally as what we want is for people to get vaccinated,” he said.

In Mwanza, Regional Commissioner Robert Gabriel led residents to roll out the vaccination exercise at the SekouToure referral hospital.

Speaking shortly after receiving the vaccine, the RC people to go and get vaccinated in the 27 centres put up in the region. The jab is voluntary and the region has prioritised people aged above 50 and those with complications such as diabetes, he stated.

He said experts have confirmed that the vaccine was safe and thus no need exist to pay attention to rumours against the vaccine in social media outlets and various other gatherings.

Despite the country receiving the vaccine there is need for more education on the continued use of masks and sanitizers, he affirmed, after taking the jab accompanied by the CCM regional chairman Anthony Diallo and Nyamagana DC, Amina Makilagi.

In Arusha, residents turned up in large numbers at the Arusha International Convention Centre (AICC) where the exercise was launched, with long queues of people of different ages ready to get the jab.

Geofrey Pinda, deputy minister for Justice and Constitutional Affairs, was among those who turned up to vaccinate and used the gathering to urge people to come out and get vaccinated.

Dar es Salaam Regional Commissioner Amos Makalla said thousands had already booked to receive the jab, saying he was informed that more than 10,000 people had already booked to get vaccines and the regional leadership worries that the jabs will run out soon.

Around 550 centers have been set up to provide the jabs in 26 regions across the country, with Health ministry officials saying the first drive targets health workers, those above 50 years and people with underlying conditions.

Chief Government Spokesman Gerson Msigwa said on Sunday that 11 million doses of Covid-19 vaccines under the COVAX facility are expected in the near future. Under the programme each recipient country receives doses for at least 20 per cent of its population, he added.
 
Vodacom is dead. Na Waarabu wenu na chuki zenu dhidi ya Wakenya mkailaani vodacom.
Kwani unafikiri Tanzania is like Kunyaland hebu angalia the top mobile companies wanavyoshindana! Vodacom can pack and go and the 2nd and 3rd market shareholders take over the market share!

The market is very competitive with the following operational service providers:

Fixed network operators:

  1. Tanzania Telecommunications Company Limited (TTCL)
  2. Zanzibar Telecommunications Limited (ZANTEL)
Mobile network operators:

  1. Tanzania Telecommunications Company Limited (TTCL)
  2. Zanzibar Telecommunications Limited (ZANTEL)
  3. Vodacom Tanzania Limited
  4. MIC Tanzania Limited (TIGO)
  5. Airtel Tanzania Limited
  6. Smile
  7. Viettel (HALOTEL)
Operators Subscription Market Share


Tanzania ITC.png


Operators Subscription Market Share
Source: Telcom Statistics March 2020 – www.tcra.go.tz

The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), established by the TCRA Act no. 12 of 2003, is an independent authority governing the Postal, Broadcasting and Electronic communications industries in the Tanzania. TCRA regulates Tanzania’s telecommunications industry. For more details visit: www.tcra.go.tz.

Summary of trends in Telecom Statistics

Year20122013201420152016201720182019
Fixed176,367164,999142,950142,819129,597127,094124,23876,288
Mobile27,450,78927,442,82334,108,85139,665,60040,044,18639,953,86043,497,26148,863,584
Total27,627,15627,607,82234,251,80139,808,41940,173,78340,080,95443,621,49948,939,872
Penetration61%61%71%79%80%78%81%88%
Source: Telcom Statistic March 2020 – www.tcra.go.tz
 
miradi ni nyingi sana inafanywa na serikali kuu, serikali za county pamoja na private sector. usijione una miradi nyingi kutushinda kwa kuwa sisi hatutupi progress ya miradi yetu hapa JamiiForums.

FYI thika road brt ina stations 10 si moja. sema most of the stations zinafanana
Uchumi ambao hauwezi ku implement even a single small project using internal resources ni uchumi wa makaratasi.
 
Back
Top Bottom