Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣 ila hii dunia haina haki

Kweli kabisa,
IMG_20210803_234623_968.jpg
 
Sio purchesing you baboon, ni purchasing.., kama kuandika ndio balaa ni nini unaelewa wewe? Hapa usiseme eti ni typing error, ni ignorance on display, umebonyeza neno baada ya nyingine.., afadhali ungeweka auto correct mode., nyambaff, matunda ya elimu hafifu

So what is your point? The issue that was being debated here ilikua how your clueless govt has managed to borrow externally 71% and internally 28%., what is the economic sense in such a stupid move? argue along those lines wacha kuruka ruka na vijisababu ukionyesha mapungufu yako, mko wengi tu humu..,
First wht a fool...all that paragraph for typing errordo you even know the meaning of purchasing power parity?
Nimekwambia ww fool haijalishi tuna deni kubwa la nje over la ndani chamsingi ni deni husika ni himilivu? Je tulichukua kwa riba nafuu ?sasa ww unaweza sema deni lenu ni himilivu?wakati mchina anawatoa uharo, Serikali yenu kazi kukopa kila kona sahii mna approach 90 ...na ukonapa kujivuruga nakitu husicho elewa ...ndio mana mafukara huko mnaongezeka kwa speed...
 
Sio purchesing you baboon, ni purchasing.., kama kuandika ndio balaa ni nini unaelewa wewe? Hapa usiseme eti ni typing error, ni ignorance on display, umebonyeza neno baada ya nyingine.., afadhali ungeweka auto correct mode., nyambaff, matunda ya elimu hafifu

So what is your point? The issue that was being debated here ilikua how your clueless govt has managed to borrow externally 71% and internally 28%., what is the economic sense in such a stupid move? argue along those lines wacha kuruka ruka na vijisababu ukionyesha mapungufu yako, mko wengi tu humu..,
Wacha kuongea kitu ambach hata interpretation yake huelewi....ivi ww unajielewa kweli?Hebu nipe economic interpretation ya kuwa na deni la nje 71% na la ndani 29 . Tuanzie hapo na wakati huo usilishe huo ubongo wako maboga ukumbuke deni la Tz ni himilivu
 
External borrowing is more favourable conpared to internal borrowing this will prevent stifling of the local econony hence avoiding liquidity crunch. The good example of liquidity crunch we see in Kenya where a big percentage of local revenues are being used to service loans leaving the govt with fewer options in budget financing. Kenya at the moment cannot implement a single project without borrowing hence effectively putting the country in a debt trap.
Yani uyu hana hata basic concept za uchumi yuko apa kupayuka kama mbayuwayu anakwambia sisi tuko kwa disadvantage kwakuwa tume borrow sana nje kuliko ndani , hajui kuwa ukikopa sana ndani unazorotesa mzunguko wakati ukikopa nje sio tu unaongeza mzunguko lakin inasaidia kukuza uchumi zaidi sababu hata kodi haziwi kubwa, kama kukiwa na shortage of cash flow ambapo interest huwa inapanda sana
 
Kwahiyo akikosea kuandika neno la kingereza ni elimu hana ila wewe unapokosea maneno ya kiswahili ni bahati mby, nani aliwaroga nyie kima? Yani mmepumbazwa mpk machokoraa humu yakiongea"yes" "no" yanajiona yamesoma, yn kuwa mkenya ni laana wallahi, hata waingereza hawana habari na vitu vidogo vidogo mnavyo deal navyo nyie wehu

Kitu usichojua ni kwamba kuna aina mbili za lugha, kuna written na spoken so even English man anaweza akawa mzuri kwenye spoken na akawa mbovu kwenye written so just submitt to your English teacher I will pay for you sychophant moron
Wacha kwanza nimlete kwenye mada ya msingi ...mana hata basics to za uchumi zinamvuruga anaishia kuangaika na neno moja
 

Sort out Lake Nyasa shipping contentions -PM

ippmedia.com/en/news/sort-out-lake-nyasa-shipping-contentions-pm
August 3, 2021
03Aug 2021
Correspondent
Kyela
News
The Guardian
Sort out Lake Nyasa shipping contentions -PM

PRIME Minister Kassim Majaliwa has directed the Tanzania Ports Authority (TPA) to consult their counterparts in neighbouring Malawi in finding solutions to regulatory disputes hampering trade flows in Lake Nyasa.

This instruction follows reports that three state-owned vessels operating routes to Malawi have been barred from carrying passengers and cargo from ports located on the Malawian side.

The premier inspected operations of the ships including MV Mbeya II, which was grounded and beached on the sand amid stormy weather on the lake nearly three months ago, stranded near Matema Port as it headed to Mbamba Bay from Kiwira port, in Ruvuma Region.

“I am giving you until August 25 to resolve existing disputes. We want the ships to operate on both sides of the lake for increased productivity,” he said, noting that the ships are also expected to transport coal from Liganga and Mchuchuma mines.

TPA should convene a business convention bringing together port operators from both sides to discuss existing challenges, and sensitise traders to use the ships plying Lake Nyasao ports to transport their commodities and industrial raw materials.

The premier aired this view after he was informed that MV Njombe and MV Ruvuma are docked at Kiwira port for months for lack of cargo since traders in the Southern Highlands have diverted to other transportation services.

Kyela District Commissioner Ismail Mlawa was tasked with enhancing cooperation with officials on the Malawian side to avoid disputes which affect trade between the two sides of the lake.

In some districts bordering neighbouring states, district commissioners have managed to ensure closer business ties with their counterparts, the premier remarked, citing Tanganyika District in Katavi Region and Tanganyika parliamentary constituency in neighbouring Congo (DRC).

Regional Commissioner Juma Homera must also initiate regular meetings with his Malawian counterpart to enhance existing relationships, he directed. “This would also help to strengthen our diplomatic ties and boost business activity,” he asserted.

TPA senior officer Dr Baraka Mdima told the premier that officials in Malawi have been barring Tanzanian ships from operating at its ports claiming to have other vessels for the task.

“There is a dispute which has lasted for years. We have been in a tug of war for a long period, but thanks to various interventions we are about to resolve it,” he said.

Mwita Waitara, the deputy minister for Works and Transport, said that he visited the Kiwira port soon after one of the ships—Mbeya II was beached, where he found out that there was negligence by some supervisors
The government suspended the ports manager at Lake Nyasa and replaced some other officials who were responsible for supervising port activities, he told the premier.

The ship building contractor, Songoro Marine Transport Ltd has until August 25 to complete maintenance of Mbeya II so that it starts operating, he added.
 
Back
Top Bottom