Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,146
- 79,298
Yaani they always get it wrong hamna siku render ikaendana na kitu halisi kwa ground!Ila hii nchi ni ya kishetani sana View attachment 1876223View attachment 1876225
Yaani they always get it wrong hamna siku render ikaendana na kitu halisi kwa ground!Ila hii nchi ni ya kishetani sana View attachment 1876223View attachment 1876225
Hiyo siyo official acount ya Dodoma City FC mzee umeingizwa chakasasa mzee mi nitajuaje hilo mi nimetoa taarifa toka official website...
That's a PPP mkuu, mfaransa hawezi Tia hela yake kwenye reli ya hovyo overpriced lenye mkono wa serikali ya Kikomunisti ya Uchina.Wacha upumbavu! Tanzania's credit rating ipo juu ya Kenya! Ningeona huo mkopo wa Kunyaland wa maana kama wangeenda kujenga kipande cha SGR Naivasha-Kisumu-Malaba! Ila sioni impact yake maana wanachukua mkopo kipindi cha corona na kwa ujenzi wa highway wakati wanaendelea kusuasua kwenye ujenzi wa SGR ulioishia machakani!
Kwetu sie Samia anaenda Kigali kesho kusaini makubaliano rasmi ya electrical SGR Isaka-Kigali!
Meanwhile the bag of goodies keeps coming!
Nchi zinazojitambua hazikurupuki kukopa kwenye Jumuiya za Kimataifa kiboya hivyo,Labda miradi ya ppp ila miradi mingine ina unafuu kwenye masharti.Ni nchi ya kijinga tuu ndio inaweza kuacha kutafuta mikopo.
Tzn tuko mbali sana yaani natamani tukope hadi 80% ya GDP Ili tuikwamue Nchi kutoka kujikongoja na kwenda kwenye maendeleo ya ukweli.
Population inakua Sana kuliko kasi ya uchumi.
Kukopa ndani is the best option kama nchi.Kuwa na rating kubwa ni suala moja lakini kuweza kukopesheka ukarudisha mikopo ni swala kingine.
Kwa nini serikali inahangaika kukopa ndani kama inaweza pata mikopo nafuu nje? Jibu ni haikopesheki
Outside picadilly arcade, swali linginge mrembo.London sehemu gani? Nidanganye nikupe za uso sasa hivi
Haya mbwa a.k.a mchumi uchwara mzee wa mikopo aje hapa aseme Kenya inazidi Tz kwa credit rating, huyu mbwa bora hakusoma wallahi angeuza nchi, anakwambia angekopa mpk asilimia 80% ya GDP35 vs 33 vs 31 vs 33
Tanzania - Credit Rating
Moody's credit rating for Tanzania was last set at B1 with stable outlook. Fitch's credit rating for Tanzania was last reported at B+ with stable outlook. In general, a credit rating is used by sovereign wealth funds, pension funds and other investors to gauge the credit worthiness of Tanzania...tradingeconomics.com
Taja hizo nchi unazosema hazikurupuki wewe kiazi.Kwa taarifa yako nchi zote zilizoendelea zina madeni kama yote na ndio njia rahisi ya kujikwamua nchi.Nchi zinazojitambua hazikurupuki kukopa kwenye Jumuiya za Kimataifa kiboya hivyo,
Ni shithole countries za Ulimwengu wa tatu za Africa ndio wateja wakubwa wa IMF na WB etc
Madeni yao makubwa huwa ni ya ndani. In makes a lot of economic sense hata wakati wa kulipa
Nani kasema hivyo? At least I match na hiyo red line maana kwa Nchi kama zetu sio tatizo ukilinganisha na nchi ambazo ni developed kwa sababu kwao resources zinakuwa assumed ziko fully employed .Kwamba debt to GDP ratio ikisha cross red line ww kwako ndio faida 😆😆😆😆
Shame is a country as big as Tanzania having only 9,000km of paved roads 😂😂😂21000km of paved and improved roads what a shame.
Mbona siku hizi hitaji 88 Nairobi?😂😂🤣🤣. Hiyo picha ya construction Ni mpya, I think ni 5 days old.Kwani pinnacle ilikuaje ??? Mumesahau kwani montave ilikuaje ??? 😆😆😆 asante kwa render hio picha munapost nafkiri mwaka mzima sasa hvi au unabisha
Japan ina madeni lakini most ya madeni yao ni ya ndani na sio ya nje 😆😆 ww ndio hujui hata historia ya hizo nchiTaja hizo nchi unazosema hazikurupuki wewe kiazi.Kwa taarifa yako nchi zote zilizoendelea zina madeni kama yote na ndio njia rahisi ya kujikwamua nchi.
Hata wewe unaonekana hata biashara huna ,ungekuwa nayo ungejua kwamba bila kukopa utaishia kubaki hapo hapo hujui.
Nani kasema hivyo? At least I match na hiyo red line maana kwa Nchi kama zetu sio tatizo ukilinganisha na nchi ambazo ni developed kwa sababu kwao resources zinakuwa assumed ziko fully employed .
Hii ndio three level interchange tuliyokuwa tunaaambiwa humu!Ila hii nchi ni ya kishetani sana View attachment 1876223View attachment 1876225
Huelewi kwa nini iko hivyo,mimi ni mwanauchumi najua kwa nn Japan ina madeni zaidi ndani kuliko Nje.Japan ina madeni lakini most ya madeni yao ni ya ndani na sio ya nje 😆😆 ww ndio hujui hata historia ya hizo nchi
Alaf jua kutafautisha developed countries and developing countries ww huoni pamoja japan ina madeni lakini inakopesha na inatoa misaada nchi karibia zote za africa