Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

SGR-Photo-5.jpg


SGR-Photo-6.jpg


SGR-Photo-7.jpg
 
Mkuu, I bet you are not an Epidemiologist, neither a medical personnel,
Huna uhakika na chochote na hata WHO hawana uhakika na chochote kwenye Uviko 19,
Ukiwa na Hekima utaelewa kuwa handling ya Covid-19 ya JPM na nchi nyingine all of them yielded same outcomes in terms of mortality,
and probably JPM's way is far better sababu haikuathiri maisha ya watu kiuchumi.
May be ulitaka afunge nchi na aendee mikopo ya mabilioni ya Dola kama uhuru na m7
I also end this discussion here, nashauri tujikite kwenye Battle.
Mkuu japo Sina nia ya kuendeleza huu mjadala, lakini Magufuli alifanya kosa kubwa Sana la kufofuata njia za sayansi katika kukabiliana na Corona badala yakealisisitiza njia za Imani ya dini na njia zingine ambazo hazikuthibitishwa kitaalamu Kama kufukiza.

Hata Kama morbidity na mortality hazikutofautiana au tulikua vizuri kuliko huko kwengine, lakini ni hatari kuongoza nchi kwa kubahatisha na kutumia Imani za dini katika nchi ambayo ni "secular" Kama Tanzania.

Hivi Kuna maana gani Kama nchi itawekeza katika kufundisha wataalamu wa Afya lakini mwishoni tukaacha kuamini tafiti za kitaalamu badala yake tunakimbilia kanisani na misikitini kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya maradhi?

Jambo lililokua linanishangaza ni pale ambapo Magufuli alikua mkali kwa viongozi wa dini waliokua wanaikosoa serikali yake, alikua akisema waache kuchanganya dini na siasa kwasababu huko wanaweza kuwachanganya watu, vipi yeye alichanganya dini na Sayansi ya tiba, huko sio kuwachanganya watu?
 
Mkuu japo Sina nia ya kuendeleza huu mjadala, lakini Magufuli alifanya kosa kubwa Sana la kufofuata njia za sayansi katika kukabiliana na Corona badala yakealisisitiza njia za Imani ya dini na njia zingine ambazo hazikuthibitishwa kitaalamu Kama kufukiza.

Hata Kama morbidity na mortality hazikutofautiana au tulikua vizuri kuliko huko kwengine, lakini ni hatari kuongoza nchi kwa kubahatisha na kutumia Imani za dini katika nchi ambayo ni "secular" Kama Tanzania.

Hivi Kuna maana gani Kama nchi itawekeza katika kufundisha wataalamu wa Afya lakini mwishoni tukaacha kuamini tafiti za kitaalamu badala yake tunakimbilia kanisani na misikitini kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya maradhi?

Jambo lililokua linanishangaza ni pale ambapo Magufuli alikua mkali kwa viongozi wa dini waliokua wanaikosoa serikali yake, alikua akisema waache kuchanganya dini na siasa kwasababu huko wanaweza kuwachanganya watu, vipi yeye alichanganya dini na Sayansi ya tiba, huko sio kuwachanganya watu?
Mnaanza tena masuala ya dini. Hivi mnaeelewa kweli kinachoemdelea kwa sasa.
Mngeachana na mada hii.
Geza nilimwambia aachane na issue hii inaamsha vitu vingi sana behind the scene.

Mbona zipo mada nyingi tu za udini kwanini msichangie huko!?
 
Kuna wajinga bado wanajaribu kulinganisha Nairobi with a certain fishing village.



Mapped: The top 6 wealthiest cities in Africa​


June 16, 2021 9:04 PM

In 2020, the world gained 493 new billionairesβ€”approximately one every 17 hours. In the same year, Beijing overtook New York as the world’s billionaire capital as half of the top 10 billionaire cities are now in China.
View attachment 1870870In Africa, the "Big 5" wealth markets are: South Africa, Egypt, Nigeria, Morocco and Kenya - together, these five countries account for over 50% of Africa's total wealth, according to data from the 2021 Africa Wealth Report.
View attachment 1870869
Total wealth of African cities in 2017

The report, which provides a comprehensive review of the wealth sector in Africa, showed that South Africa is home to over twice as many millionaires (HNWls) as any other on the continent, whilst Egypt has the most billionaires on the continent.
The report also noted that the total wealth in Africa has fallen by 16% over the past decade (2010 - 2020) as the continent’s wealth result was constrained by poor economic conditions in the three largest markets, namely: South Africa, Egypt, and Nigeria.
In this article, we take a look at Africa’s wealthiest cities by total wealth, courtesy of the 2021 Africa Wealth Report from New World Wealth and AfrAsia Bank.
Note: Total wealth refers to the private wealth held by att the individuals living in each city. It includes all their assets (property, cash, equities, business interests) less any liabilities.
Johannesburg
Founded in the Witwatersrand Gold Rush of 1886, this is the wealthiest city in Africa. Most of Johannesburg's wealth is concentrated in Sandton, home to the JSE (the largest stock market in Africa) and the head offices of most of Africa's largest banks and corporates. Major sectors in the city include: financial services (banks) and professional services (law firms, consultancies).
Cape Town
This city is home to Africa's most exclusive suburbs, including: Clifton, Bantry Bay, Fresnaye, Llandudno, Camps Bay, Bishopscourt and Constantia. The city has the highest prime residential rates on the continent, similar to cities such as Washington, D.C., or Berlin, and is also home to several top-end lifestyle estates, including: Steenberg, Atlantic Beach and Silverhurst Estate. Major sectors there include: real estate and fund management.
Cairo
Located along the Nile River, Cairo is one of the world's most important cities historically. It is also home to more billionaires than any other city in Africa. Major sectors there include: financial services, telecoms, retail, tourism and basic materials.
Lagos
Lagos is the largest city in Africa (in terms of its overall population) and the economic hub of West Africa. Affluent parts of Lagos include: lkoyi and Victoria Island. Major sectors in the city include: basic materials, oil & gas, transport and financial services.
Durban & Umhlanga
Wealth stats for this area include wealth held in Durban, Umhlanga, La Lucia and Ballito. Notably, Umhlanga and Ballito are two of the fastest growing towns in South Africa in terms of wealth growth over the past decade. Durban is also home to the biggest shopping centre on the continent. The apartments on Lagoon Drive in Umhlanga are some of the most exclusive in SA, and the city's major sectors include real estate, finance, healthcare, construction, retail, and transport.
Nairobi
Nairobi is the economic hub of East Africa and one of the fastest-growing cities in the world. Affluent parts of Nairobi include: Runda Estate, Lavington, Kitisuru, Karen and Muthaiga. Major industries there include: financial services, real estate, tourism, media, clothing, textiles, processed foods, beverages and cigarettes.
Here is a full ranking of the top 10 cities in Africa, based on the 2021 Africa Wealth Report
CityTotal Wealth (US $bn)HNWIs ($1m+)Multi-millionaires ($10m+)Billionaires ($1bn+)
Johannesburg226151007902
Cape Town12365003901
Cairo11875004004
Lagos8850002602
Durban & Umhlanga553400210-
Nairobi476000250-
Paarl, Franschhoek & Stellenbosch4728001602
Pretoria422400100-
Casablanca3922001102
Accra342300100

View attachment 1870871

View attachment 1870872

View attachment 1870873
Source mama ngina πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Noo it's called sports in sports there is lots of variables and a good sportsman accepts defeat when the variables dint favor them let them live to fight another day View attachment 1869914
We're in 9th position though. Top 10 is good too. That pool was tough. We live to fight another day, atleast we're representing EA on international levels. πŸ‘πŸ½ πŸ‘πŸ½ πŸ”₯πŸ‡°πŸ‡ͺ
 
118 Reactions
Reply
Back
Top Bottom