Afcon 17
Mchawi hajaikuwa mjanja hata siku moja.Hajulikani hata mmoja hapo, nenda kwenye youtube yako ukikosa video za watanzania 10 zipo trending Kunyaland njoo uniambie
Alikiba yupo Kunyaland anaondoka na pesa mara 10 za hao wakimbiahovyo wenu bila kukimbia kama kichaa, yeye anasema tu yoyoyoyo mnampa pesa zote mlizonazo sasa nani mjanja? 😂😂😂😂😂
Sasa unabisha kwamba hao wakimbia hovyo hata wawe buku hawamfikii Marioo? 😂😂😂😂Mchawi hajaikuwa mjanja hata siku moja.
One of the few dual carriage streets you have in Dar.
Iko DMDP Kaka inafanya maajabu mengi tuu huku. Tembea uone usikae kibera too nyuma ya keyboardIt's not a common occurrence in most places.
African national teams ni village competition. We log off tuu.I'm not talking about village competion.
Kuna mkunya anasema Dar viwanja bei rahisi
43 kilometres from CBDs land prices hii hapa 😂😂😂
Yeye alete 43 kilometres from Nairobi land prices as well tuone
Mkeka wa mwaka gani HuuNimekuambia endelea kuhawk korosho pole pole ukifiria venye at least mtapanda juu ya Uganda kwa development index.
View attachment 1851117
Hawa jamaa wanaamini DAR yote ni kama pale manzese na mburahati...Hawajui watu walijenga kila Pembe tena vitu vya adabu...real estate haijakomea kenya tu nyie nyumbuBunju dar
View attachment 1851161View attachment 1851162View attachment 1851163View attachment 1851164View attachment 1851165View attachment 1851166View attachment 1851167View attachment 1851168View attachment 1851169View attachment 1851170View attachment 1851171View attachment 1851172View attachment 1851173View attachment 1851174View attachment 1851175View attachment 1851176
Sinza ulikua mtaa gani?mkija bongo mue mnasemaKama kawaida lami hukua tu kwa main road. Most suburbs in Dar hakuna lami. Nikiwa Dar hapo maeneo ya Sinza barabara mingi hazikua na lami na ni a middle class residential area.
Hapo karibu na Milimani. Nikirudi nitakuchanua bro.Sinza ulikua mtaa gani?mkija bongo mue mnasema
Sinza mori iyo poaHapo karibu na Milimani. Nikirudi nitakuchanua bro.
Domo kazi yake nikusema yeaa! ata awe na pesa vipi mtanzania ni mjinga
mjibu kwanza mwenzako swali alilouliza