Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ulivyoandika tu, inaonyesha huna exposure yeyote nje ya Bongo, ndio maana unaisifia BRT na SGR ya Tz hivyo kupita kiasi. Nakuelewa sana mkuu. Tembea mzee, usikae kijijini, akili inayokudanganya mko juu ya nchi zote duniani, ni akili ya bhage! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hivi medulla oblangata yako iko sawa wewe, ati "blue buses"? Hebu wacha kujiabisha wewe, watu walitumia Trams na metros tokea 80's mitaani, unaongelea Bus? Super speed trains zilikuwa toka hata hamjui kama mtapata reli ya SGR, kuanzia Uchina hadi Jangwani kwa wamanga, wewe leo hii unajamba jamba SGR?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee unataka tujiexpose humu?!,I've been around the world!Alhamdulillah!!. Pole sana!!!Umekula lkn?!Au uko na strungi tu hapo toka asbh!!!!.
 
Mzee unataka tujiexpose humu?!,I've been around the world!Alhamdulillah!!. Pole sana!!!Umekula lkn?!Au uko na strungi tu hapo toka asbh!!!!.
Hawa jamaa sijui huaga wanafikiria Sisi level Yao au? sometimes huaga naona post zao nacheka Sana nimashawambia mara nyingi wabongo tunasafiri Sana tuna exposure kuliko nchi yoyote Ile East Africa sababu tuna huo uwezo sasa majirani zetu wengine hata kutoka nje ya Nairobi au mikoa Yao na kwenda mbali ni mtihani.
 
inaonekana walimu wako walipata sana shida kukuelewesha ulipokuwa unasoma. Hapa WAKUDAMSH hana maana kwamba TZ ndio wa kwanza kujenga vitu hivyo bali anaongelea uniqueness ya hivyo vitu tunaVyojenga especially in africa tofauti na nyie mambo yenu mengi ni copy & paste kuanzia majengo n.k hakuna uniqueness. UMEELEWA SASA SLUM BOY.
Shukrani kwa kumuelewesha huyu boya!!!! Sasa vitu kama hivi mnataka tunyamaze?!
Screenshot_20210620-133351_1.jpg

Si kwamba nadharau nguvu na pesa iliyotumika kusimamisha majengo yenu Wakenya ila muache kukopi kopi mbona KICC mlipatia na imebakia alama maisha yote!
 
Shukrani kwa kumuelewesha huyu boya!!!! Sasa vitu kama hivi mnataka tunyamaze?!
View attachment 1824529
Si kwamba nadharau nguvu na pesa iliyotumika kusimamisha majengo yenu Wakenya ila muache kukopi kopi mbona KICC mlipatia na imebakia alama maisha yote!
Screenshot_20210620-133408_1.jpg

Kama hiv kweli?!! Empire State Building jengo la kihistoria!Nimeshangaa pia mna statue ya Rio duh!
 
Mzee unataka tujiexpose humu?!,I've been around the world!Alhamdulillah!!. Pole sana!!!Umekula lkn?!Au uko na strungi tu hapo toka asbh!!!!.
Sasa hiyo exposure yako ndio imekuonyesha Bongo mko juu na hizo BRT & SGR yenyu? Utakuwa umeenda Somalia ama Syria wewe! 🤣 🤣 🤣
 
Shukrani kwa kumuelewesha huyu boya!!!! Sasa vitu kama hivi mnataka tunyamaze?!
View attachment 1824529
Si kwamba nadharau nguvu na pesa iliyotumika kusimamisha majengo yenu Wakenya ila muache kukopi kopi mbona KICC mlipatia na imebakia alama maisha yote!
Wataka kupangia wenye mjengo, hela yao watakavyoitumia? 😂 😂 😂 😂 Wewe boya kweli, kwani nilazima ajenge mtakavyo, vichwa maji kweli!, 🥴
 
View attachment 1824541
Kama hiv kweli?!! Empire State Building jengo la kihistoria!Nimeshangaa pia mna statue ya Rio duh!
Kajinyonge sasa 👇

1-Eiffel Tower ya France ina replicas - China, America, Germany, Pakistan, Russia nk...

2-The Maryhill, WA Stonehenge is a full-size, astronomically-aligned replica of Stonehenge located in Wiltshire, England.

3-China’s 'Fake' Cities Are Eerie Replicas of Paris, London and Jackson Hole, Wyoming. Many places where people live are replicas of other major cities in the world.

4-Replica of Mount Rushmore (Chongqing, China). The famous faces of the four American Presidents carved into Mount.

5-St Peter’s Basilica -- Nikko, Japan. Tobu World Square theme park in Nikko, Japan features 102 famous architectural and historic sites, all replicated at a 1/25 scale.
 
Shukrani kwa kumuelewesha huyu boya!!!! Sasa vitu kama hivi mnataka tunyamaze?!
View attachment 1824529
Si kwamba nadharau nguvu na pesa iliyotumika kusimamisha majengo yenu Wakenya ila muache kukopi kopi mbona KICC mlipatia na imebakia alama maisha yote!
Wakenya ni wachovu wa akili huoni walikopi brt ya bongo wakaangukia corridor
 
Back
Top Bottom