Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,284
- 5,859
Huu utani sasa. Yaani kadude kembamba hivyo ndiyo stand. Ikinyesha mvua watu watasimama wapi?
Jinsi stendi za bongo zilivyopana , mvua ya upepo ikipiga maji yanaingia hadi ndani sasa hawa wenzetu na vistendi vyao vyembamba sipati picha na kingine brt buses zitakua zinapishan vipi 🤔 wakati lane yenyewe moja tuu