Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 788
- 1,689
Kwani nao wajinga?Kama kucopy kazi rahisi waambie wasanii wenu na wenyewe wakacopy
Kwani nao wajinga?Kama kucopy kazi rahisi waambie wasanii wenu na wenyewe wakacopy
Wasanii wa Kenya wanaimba kwaya. Sauti zao zinafaa kuimbisha kwenye Liturujia na sakramenti ya kitubio. Zaidi ya hapo hawawezi.Kwani nao wajinga?
Wasanii wa Kenya wanaimba kwaya. Sauti zao zinafaa kuimbisha kwenye Liturujia na sakramenti ya kitubio. Zaidi ya hapo hawawezi.
HUU NI UKWELI MCHUNGU.
Duh!!. Ukiona mambo kama haya si utatoa macho.How many years for Dar to ever get such in the rurals?
View attachment 1776456
How many years for Dar to ever get such in the rurals?
View attachment 1776456
A country with two interchanges😂😂 wants to flex with big boy kenya.Duh!!. Ukiona mambo kama haya si utatoa macho.View attachment 1776460View attachment 1776461View attachment 1776462View attachment 1776463
mama kesho anakuja Dar kuongea na wazee wa Dar es Salaam. Nadhan ataanzishe kampeni ya uchangiaji wa jambo fulan mfano ile kuboresha huduma ya mama na mtoto wakati wa kuzaliwa
Mzee sisi tulishatoka huko. Hatuzungumzii barabara. Tunatengeneza kifaa kwenda sayari ya Jupiter.A country with two interchanges😂😂 wants to flex with big boy kenya.View attachment 1776493
Jombaaa@Tony254 mihemuko gani tena?...wakati facts za kupanda gdp umewekewa hapo na Geza Ulole ......ladda hizo si facts,lete zako basi tuzione.....Tatizo unapinga data kwa mihemko. Pinga data kwa kutumia facts.
Tuvivumilie tu hadi rais wa awamu nyingine aje.
Huyu wa sasa inaonekana anawapenda sana huoni amewapa hadi vitambulisho
na wataomba radhi tu
na wataomba radhi tu
The view ikimalizika itakua moto sanaOnly one in east africa, 27km of pure awsomenessView attachment 1776483View attachment 1776485
Ukiweka ugoko tunaweka jiwe.The view ikimalizika itakua moto sanaView attachment 1776565View attachment 1776566