Kwanza jiulize kwann watanzania wanawalisha wakenya kwa chakula ukijibu hilo swali uje nikujibu😅😅😅Wasomi wa humu, swali langu leo ni kwa takwimu. Hivi watanzania asilimia ngapi ni vichaa!? La kwanza hilo. La pili watanzania asilimia 99.9% hutumia asilimia ngapi ya bongo zao???
Mwenye kujibu alete na sources.
Ya mchina kwa ajili ya mchina kwa miaka 30 mukilipia 🤣🤣🤣 aisee ni kichaa tu anaeza kubaliThe Highway in Nairobi
View attachment 1774739
Hmm, yako kweli umedhihirisha wazi, sijui nikuweke kundi gani, vichaa...... Ni yako hii ni 0.8% ya bongo zako.Kwanza jiulize kwann watanzania wanawalisha wakenya kwa chakula ukijibu hilo swali uje nikujibu😅😅😅
kuna mkenya humu tunaye anamiliki ni don soon atakuja kututajia beiBei ya Bugatti Bei gani wakulungwa
wanazingua sana,,,kwanza wanatupa wasi wasi inawezekana pia wakawa hawalipi kodi kampuni vivuli hizoKampuni za kihuni, Wakenya wanauwezo wa kuja kuwekeza Tanzania bhn?, we uliona wapi kampuni 563 eti uwekezaji $1.7b si ushuzi huu, Wakenya wanachekesha sana wallahi, lkn hivyo vimaneno wamesema sema mpk kuna Watz nawasikia "Kenya wamewekeza Tz" 500 companies with investment ya only $1.7b hawa ni investors au fundi viatu na mabanda ya tuition
Sent using Jamii Forums mobile app
watu wanauza bidhaa zao uarabuni halafu anakuja kichaa mmoja chokoraa from kenya anakuambia product hazina ubora....Hii hataki kujibu . Na mwenzake bwana Mapesa . Bwana mapesa a.k.a mzee wa bugatti . Eti Azam haina standards .. muite hapa aje
masuala ya art na mkenya wapi na wapi....Hmm, yako kweli umedhihirisha wazi, sijui nikuweke kundi gani, vichaa...... Ni yako hii ni 0.8% ya bongo zako.
Kweli mna mambo
View attachment 1774752
Si eti hawapendezi ni nyinyi hamwaelewi diffrent stylemasuala ya art na mkenya wapi na wapi....
ndiyo maana wasanii wenu wengi wapo rafu hawavutii hawapendezi kabisa kimavazi
duuuhh!!!! kweli hii ni different style nimekubaliSi eti hawapendezi ni nyinyi hamwaelewi diffrent style