hata mie najua hamna kampuni iliyopewa tender mpaka sasa zaidi ya speculations!
kama hela zinatokana na zile za bwawa hakuna haja ya tender, kama huyo contractor anaweza kujenga uwanja pia
hata mie najua hamna kampuni iliyopewa tender mpaka sasa zaidi ya speculations!
kwahiyo ndo mkandarasi hatatangazwa? sio? umekuwaje wewe mradi wa $100 mln isitangazwe tender kwani fedha zile ni za hisani au makubaliano ya mkataba kati ya GoT na Arab construcots! si serikali hii mzee! uliza Yapi Merkezi akuambie kilichomtokea! wacheni uzushi hata kama watapewa tender itatangazwa!kama hela zinatokana na zile za bwawa hakuna haja ya tender, kama huyo contractor anaweza kujenga uwanja pia
Land compensation ni jambo la kawaida sana ba mzee, bora mtu ana kibali cha shamba yake ana kuwa compensated, sio jambo geni, ndio umegundua unadhani ni kitu geni?Kenya haifanyiki ni viongozi tu, una tia huruma, before insinuating, fanya utafiti kwanza. Ndio mnaona "maajabu" karne hii.almost minimum of 7 mil per village person. (utajiri zaidi). ingekuwa kenya viongozi ndo wangefaidika
Mwenyeji through google., asikudanganye, huyo Mr Mwanza., I tested him, alijiumbua.Poa. Naona wewe ni mwenyeji wa Mombasa.
Zanzibar unaeza linganisha na Seychelles kuikweli?, An upper middle income, zero poverty! pengine wanamaanisha beaches na starehe za kipwani, kwingine Zanzibar ni ushuzi 90%., tusidanganyane , Seychelles na Mauritius ziko ligi yao ya juu hapa Africa.Baada ya serengeti
Clashes ya raiya kwa ajili mtu wa boda boda alie patikana na motorbike ya uwizi kachomwa, watu wao wanadhani kasingiziwa waka demonstrate by destroying property, and wanting to retaliate., so hapo wewe una wish iwe maovu zaidi., it is evil yes, but not your insinuationsKumekucha Tony254 alaf ndio nyinyi hujisifu muna best security system
hili jambo la aflatoxins kwa mahindi ya Tz na Ug ni ukweli, imekua kwa muda, I knew it in 2018 or 2019 through maize business, mahindi ya Ug na Tz zilikua zikifanyiwa test if u are especially selling kwa maize millars level za aflatoxins zilikua zaidi ya viwango, inabidi uuze kwa masoko ama animal feeds, ilisemekana pia wakulima hawakaushi mahindi vizuri ipasavyo. But naona kama kawaida mnaweka siasa. Inawezekana inaeza kua tactic ya ku protect wakulima wa Rift valley na trans nzoia kwa maana wao ndio wakulima wakubwa wa mahindi na ngano., but sidhani. Nahurumia wakulima na wanabiashara wa Tz., ni pigo!hehe
hii ilikuwa ni dose ya kwanza ya kufight back?
Kigoma kulisahaulika sana
Miundombinu inakuza uchumi na kupunguza umasikini..kwahyo jamaa ni mzalendoJamaa ana mapungufu yake, ni dikteta na hapendi upingamizi, na pia anadanganya kwamba Tanzania haina corona. Uzuri wake ni kwamba anajua kujenga miundombinu.
Zanzibar unaeza linganisha na Seychelles kuikweli?, An upper middle income, zero poverty! pengine wanamaanisha beaches na starehe za kipwani, kwingine Zanzibar ni ushuzi 90%., tusidanganyane , Seychelles na Mauritius ziko ligi yao ya juu hapa Africa.
Hiyo video nilioweka hujaiangalia?leta evidence basi sio unaongea tu!
Juzi nimepita ile njia ya Kilwa Road nikaona ule mradi wa BRT wachina wanajenga,kwanini hii contract hakupewa kina strabug ya austria, china is pure fraud ata sgr kiukweli izo phases zilizobaki apewe tuu mturuki
Tz is selling maize to wfp, and other neighbouring countries, hizo figisu tu za macarlel wenu, but don't worry we will fix you soon and you will back down.hili jambo la aflatoxins kwa mahindi ya Tz na Ug ni ukweli, imekua kwa muda, I knew it in 2018 or 2019 through maize business, mahindi ya Ug na Tz zilikua zikifanyiwa test if u are especially selling kwa maize millars level za aflatoxins zilikua zaidi ya viwango, inabidi uuze kwa masoko ama animal feeds, ilisemekana pia wakulima hawakaushi mahindi vizuri ipasavyo. But naona kama kawaida mnaweka siasa. Inawezekana inaeza kua tactic ya ku protect wakulima wa Rift valley na trans nzoia kwa maana wao ndio wakulima wakubwa wa mahindi na ngano., but sidhani. Nahurumia wakulima na wanabiashara wa Tz., ni pigo!