komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,646
Ndio nakwambia unionyeshe njia ya kutoa na kuingia, nasubiria unionyeshe..So njia za kutoa na kuingia na zenyewe munahesabu kwenye lanes ama kwei muna safari ndefu sana
Ndio nakwambia unionyeshe njia ya kutoa na kuingia, nasubiria unionyeshe..So njia za kutoa na kuingia na zenyewe munahesabu kwenye lanes ama kwei muna safari ndefu sana
Hapo ndipo 8 lane ilipoanzia na hakuna mahali ilitoa tena wala kuingiza mpka ukakutane na interchange ya port..Unapost kipande hicho mbona hupost na hii ukaumbuka
Yani unaona watu wote humu hawana akiliView attachment 1718946
Wewe unapost haka kakipande paonekane kwamba hakuna njia ya kutolea na kuingia 🤣🤣🤣🤣 hakuna mjinga huku mzee
Yani hii mijitu ni mijinga sijui ya wapi mtu anaforce mti uwe nyumba
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli akili ni nyweleHapo ndipo 8 lane ilipoanzia na hakuna mahali ilitoa tena wala kuingiza mpka ukakutane na interchange ya port..
Tatizo upo kiubishi sana
So kwanzia leo arusha ina 8lanes 😂😂Kwamba tuingie darasani upya au sio View attachment 1718944
Hawataki ssSo kwanzia leo arusha ina 8lanes
. Vipo tu vituo vya afyaTatizo tangia tuanze huu mjadala sijaona shule wala hospitali za watu wa chini wa dar km vile inavyofanya kenya..
abeid karume int.airportTukija kwenye viwanja vya ndege tulivyojenga ndani ya miaka miatano iliyopita ,JNIA . Mwanza international airport
....God and religion are two different things...So, if you don't believe in religion how did you know the existence of God?
Zipo. Bongo kunayo?Hivi kenya kuna barabara njia nane nje ya Nairobi?
I have so much for mombasa it would take a considerable time to post, but I agree the president shifted focus to coastal region and Northern frontierHio video ya pili iko poa sana. Sikujua Mombasa ni construction site. komora096 kumbe huko Mombasa kunajengwa hivi na umenyamaza tu huku. Sina habari kwamba mambo mazito yanaendelea huko.
Pia ndani ya miaka mitano tunajenga makao makuu ya tanzanzania "dodoma" ambapo kuna miradi mikubwa kibao kama vile reli ya sgr kutoka dsm to dodoma 👇hii ni moja ya mahandaki manne kuelekea dom . Pia ujenzi wa mji wa serikali na km 51 za barabara 👇. Lakini pia ujenzi wa ikulu 👇. Dodoma outer ring road 112km . Na mavitu kibao shopping malls n.k
They are constructing in Lots, see for instance :Hapa safi progress inaonekana, hongereni japo hakuna uwezekano wa kuwa km render, but congratulations in advance, tunataka mambo km haya weka niweke na sio daily sisi tu ila nyie mko na expressway tu, ok
Tukija kwenye viwanja vya ndege tulivyojenga ndani ya miaka miatano iliyopita ,JNIA . Mwanza international airport 👇
Hio ni obvious kwamba mlikuwa kwa kasi kubwa 2020 maana mlikataa kufunga uchumi wenu kwa sababu ya ule uongo wenu kwamba hamna corona. Yaani mlicheza game chafu. Mliamua heri watu wenu wakufe lakini uchumi usisitishwe ili muzipiku nchi zingine za Afrika. Lakini 2021 nchi kama akina Rwanda na Ethiopia zitaendelea kukua kwa kasi kuwashinda.Wanajifanya hawajaona hii🤣🤣🤣 Tony254