Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Ni kweli huo uongo kwamba TZ haina corona ilifanya kazi nzuri kiuchumi kwani mlipata watalii wengi hususan Warusi ambao hawajali mambo ya corona ila negative effects ya policy hio imeanza kuonekana pale ambapo Watanzania wameanza kufa kwa wingi.Si ni wewe uliyesema kwamba Magu alitumia mbinu nzuri sana kutangaza covid haipo na ndiyo maana watalii wanamiminika au sio wewe nikuletee evidence