Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DSM night view
dar-es-salaam-city-evening-1024x683.jpg
 
Hawa wachina wasiposimamaiwa vizuri huwa wanafanya ndivyo sivyo. Hata Kipande cha SGR kutoka Mwanza hadi Isaka inabidi kuwa na maximum suoervision and follow up
Hii phase II ujenzi wake uko chini ya kiwango. Serikali isikubali kupangiwa wakandarasi na WB. Kuna ubovu mwingine ni aibu hata kuutazama. Hizo kampuni za kichina siyo kabisa.

Ni afadhali tukajenga taratibu kwa pesa zetu wenyewe tuweke wakandarasi wanaoweza kazi. Nikiangalia za Gondwe kwenye huo mradi naishia kusikitika tu. Huo mradi tunapigwa.

Phase V itakuwa financed na Ufaransa hivyo tutarajie wakali kama Sogea Satom kushusha mikeka iliyoenda shule.
 

Wakulima Na Wafugaji Wavamia Eneo La Misitu Na Ardhi Oevu Moyowosi- Malagarasi.


MICHUZI BLOG AT SUNDAY, FEBRUARY 28, 2021 HABARI, UTALII WETU,

Mwandishi wetu, Kigoma

Kaya zaidi ya 100 za Wakulima na wafugaji wengi wakitoka nchi jirani, wamevamia eneo la hifadhi ya ardhi oevu Moyowosi- Malagarasi ,wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma na kufungua mashamba makubwa ya mpunga na mahindi huku mifugo ikiharibu hifadhi hiyo ya kipekee duniani.

Wakizungumza na waandishi wa habari, baadhi ya viongozi wa serikali na wadau wa Uhifadhi na Utalii, walisema jitihada za haraka zinahitajika kuokoa eneo hilo ambalo ni muhimu kwa uchumi wa Taifa .

Mkuu wa wilaya ya Kasulu,Kanali Simon Anange alisema operesheni ya kuwaondoa wavamizi hao inatarajiwa kufanyika mwezi ujao, lakini suluhu ya kudumu ni kulipandisha hadhi eneo hilo ili liweze kulindwa na maafisa wa TAWA muda wote kwani sasa lipo chini ya halmashauri ya Kasulu ambao walinzi wa kutosha.

"kuna watu wamevamia kulima na kuanza kufuga katika eneo hili muhimu kwa uchumi wa taifa,tumewataka kuondoka kwa hiari bado kuna ambao wamekaidi hivyo taratibu zinafanywa kuwaondoa na raia halali watahamishiwa eneo la Kagerankanda ambalo limetolewa na serikali"alisema

Meneja wa kitalu cha Uwindaji cha Makare forest eneo la wazi la uvinza kilichopo katika eneo hilo, Dago Ally alisema wavamizi wengi raia ya nchi jirani, wameanzisha mashamba na kuingiza mifugo katika eneo hilo.

Ally alisema wavamizi hao wana makundi makubwa ya mifugo zaidi ya 5000 wamefungua mashamba makubwa ya mahindi na mpunga ndani ya eneo la hifadhi jambo ambalo ni hatari.

Mkuu wa idara ya kuzuia ujangili katika kitalu hicho, alisema wavamizi hao licha ya kulima na kufunga pia wamekuwa wakijihusisha na matukio ya ujangili na tayari baadhi wamekamatwa na nyamapori na silaha mbali mbali.

"tumefanya operesheni mara kadhaa kukamata mifugo na silaha kutoka kwa wavamizi ambao wengi ni watusi lakini tunakwamishwa na baadhi ya wanasiasa ambao ndio wamekuwa wakiwapokea"alisema


Meneja wa Pori la Akiba la Moyowosi, ,Bigiramungu Kagoma alisema, eneo hilo ambalo linapakana na pori la akiba la Moyowosi ni muhimu kwa ajili ya uhifadhi kwani kuna wanyama kama Zohe, Statunga na ndege aina ya Korongo nyangumu ambao hawapatikani sehemu nyingi duniani.

"eneo hili likiendelea kuhifadhiwa sio tu litalinda kawa wanyama na ndege lakini pia ikolojia yote ya Moyowosi na Malagarasi itakuwa salama na ziwa Tanganyika litalindwa"alisema

Mmoja wa wavamizi, Juma Malilo ambaye ni mfugaji alisema wamehamia katika eneo hilo kufuata malisho na ardhi na hawajuwi kama ni hifadhi kwani wamekaribishwa na viongozi wa vijiji.























 
Is kibera not part of Nairobi?
Kibera is a slum measuring just 2.5 square kilometers. Cha ajabu ni kwamba you've decided to compare it with the rest of Dar measuring 1500 square kilometers! Huoni kwamba mmelemewa?
 
Kibera is a slum measuring just 2.5 square kilometers. Cha ajabu ni kwamba you've decided to compare it with the rest of Dar measuring 1500 square kilometers! Huoni kwamba mmelemewa?
Wakenya mmekuwa wapumbavu sn alafu mnaleta utoto, haka kamsemo mmekuwa mnakatumia kama silaha yenu ya kujihami kila siku na ni upumbavu mkubwa huu mnaleta, kwn wewe hujui kwamba Nairobi nzima ni chafu? Picha ngapi zimewekwa humu za Nairobi CBD ikiwa chafu, je hiyo nayo ni Kibera?

Mmekuwa wapumbavu kuichukia Kibera badala mpambane na serikali yenu kuhakikisha inakuwa safi, hata CBD yenu sehemu kubwa ni chafu mno, so inatakiwa mbadilike na muanze kuwa wasafi kuliko kutoa hizi excuses za kitoto na kujiliwaza kwamba tunawaonea ilihali picha zinawekwa humu na zingine ni credible sources from international organization ziki claim how dirtiest Nairobi is.

Wacheni upumbavu jiji lenu ni chafu sana badilikeni anzeni kuwa civilised endeleeni kujenga msilizike na baadhi ya karatasi mnazopambana kutengeneza ili muonekane mko vzr wakati tukiingia ground ni aibu tupu.

Picha mpk za cbd zinawekwa humu na bado mnaendelea kuilaumu Kibera co sawa kabisa badilikeni.
 
Wakenya mmekuwa wapumbavu sn alafu mnaleta utoto, haka kamsemo mmekuwa mnakatumia kama silaha yenu ya kujihami kila siku na ni upumbavu mkubwa huu mnaleta, kwn wewe hujui kwamba Nairobi nzima ni chafu? Picha ngapi zimewekwa humu za Nairobi CBD ikiwa chafu, je hiyo nayo ni Kibera?

Mmekuwa wapumbavu kuichukia Kibera badala mpambane na serikali yenu kuhakikisha inakuwa safi, hata CBD yenu sehemu kubwa ni chafu mno, so inatakiwa mbadilike na muanze kuwa wasafi kuliko kutoa hizi excuses za kitoto na kujiliwaza kwamba tunawaonea ilihali picha zinawekwa humu na zingine ni credible sources from international organization ziki claim how dirtiest Nairobi is.

Wacheni upumbavu jiji lenu ni chafu sana badilikeni anzeni kuwa civilised endeleeni kujenga msilizike na baadhi ya karatasi mnazopambana kutengeneza ili muonekane mko vzr wakati tukiingia ground ni aibu tupu.

Picha mpk za cbd zinawekwa humu na bado mnaendelea kuilaumu Kibera co sawa kabisa badilikeni.
Unadhani hiyo jaluo itakuelewa!
 
sasa kwa eneo ka hilo watu 2.5ml na nyumba 200k zinakaaje?
Only a stupid person like you would believe that such a small area can actually accommodate such a large population. 2.5 million people means a population density of a million people per square kilometer. Have you lost your mind? Kibera doesn't have high rise apartments and then you actually believe a population density of a million people per square kilometer is real? Ndio maana tunawaita mibongolala coz you don't take a minute to reason.

Have you asked yourself why different publications quote different figures about kibera population? Some say it's 2.5 mln, others 1.5mln na zingine husema 700k. Some even say 500k. Why this disparity? Stop being desperate
 
Back
Top Bottom