Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,173
- 79,341
Unasema nini wewe stupid? Maneno mengi kama chiriku 🙄 ukija DSM tafuta sehemu kama hizo🙂There are several places like this in all Tanzanian cities. You are being stupid going around Nairobi taking photos of the bad places to prove a point? Anyone could enter Dar and have a field day taking photos of your untarmacked roads and dirt. What about the general development of the city? Does Dar have as many high end and middle class neighborhoods like Nairobi? I know deep down you know Dar stands no chance that's why you're going around posting this dirt.
Ni nzuri kuzidi Entebe inter airport wala haizidi JNIA especially T3JKIA is the most beautiful airport in East African Community.
Kabisa mkuu ...wakimaliza kutest kwa miili yao tutakaa mwaka mzima kama wako poa na sie wabongo tutatumia....mkimaliza kuitest kwe miili yenu mtuambie tununue
..mkuu naona unapunguza presha ya mtu hapa.......tony uku apiUptown Nairobi kwa heshima ya tony +254View attachment 1711626View attachment 1711627View attachment 1711628View attachment 1711629View attachment 1711630
Kaweka vitofali kwenye barabara moja, sasa kwao si kawaida wanaona maajabu.sasa huyu Badi governor mpya wa Nairobi anasifiwa kwa lipi?
Eti Tony254 unaweza kutujibu?
Is JNIA T3 in West German?JKIA is the most beautiful airport in East African Community.
Mzee tunakuomba upite kushotroooo.....huu uzi haukuhusu pita mbali tyuuu......uzi wa kisenge huu..sijui kwa nini huwa haufungwi..
Kasi ya industrialization ni kubwa sana. Pia ni rahisi zaidi kuvutia new investments and expansions ukiwa na akiba kubwa ya nishati kuliko ukiwa na mere words.Hahahaha. Noma sana. Jesus. Eti mnaconsume 1,180 MW. Halafu mnajenga dams kadhaa zinazoweza kugenerate more than 3,000 MW. Nyinyi ni vichaa.
wakenya, mna tofauti gan mnachofanya vs us Tanzania.. in relation to covid control! no masks, no social distance
JKIA is the most beautiful airport in East African Community.
noma sana hao ndiyo wazee wa only best city in east africa....Sometimes Tony huaga unabisha pasipo nakujua hii sio makazi ya watu hapa Chino nimekuekea kabisa unafoka bure
Picha ninazo kibao Sana Nairobi kuchafu mjitahidi kuweka mazingira yenu vizuri
Hivi mrupuko wa magonjwa ukitokea itakuaje?
Pale pale unaposema ni dampu
View attachment 1713311
That warehouse?Is JNIA T3 in West German?
TZ ni baba lao yaani tumekwenda kukamata nchi nyingine kwa nguvu na kuweka kiongozi tunayemtaka mpaka watu wanaanza kupiga kelele OAU na UN.TBT: OAU reaction after Idd Amin got deposed from power by TPDF