The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,819
- 82,314
Humu kuna watu wako vzr kinoma mkuujamaa katisha sn ndo mara ya kwanza nasoma post zake nkaona uyu kichwa kweli kweli
Humu kuna watu wako vzr kinoma mkuujamaa katisha sn ndo mara ya kwanza nasoma post zake nkaona uyu kichwa kweli kweli
Miradi ya urasimishaji ardhi bado haijafika huko?Kupo vizuri sn mkuu maeneo makubwa spaces zipo na barabara za kutoka zimeachwa, hofu yng watu wakishavamia itakuwa yale yale ya unplanned settlement mana Govt yetu kwenye suala la kupanga miji haiko sawa.
kuna watu huwa wanauliza majority ya wakazi wa dsm wanaishi wapi!!!!
dsm ni jiji ambalo halina matabaka. popote unaishi tu. wajionee hizo nyumba za kawaida kabisa. amabazo nimejaa kila sehemu dsm.
Huyo yupo humu kitambo alikuwa anatumia ID ya EZZ CHEZZjamaa katisha sn ndo mara ya kwanza nasoma post zake nkaona uyu kichwa kweli kweli
bahati mbaya nimegundua kundi kubwa la tunaobishana nao humu, ni wale wakenya ambao hakuna kitu wanachojua nje ya nairobi.Niliwaambiaga toka hii thread imekua ni 30% tu ya eneo la Dar ndio lineoneshwa humu, Dar ni kubwa sana, nafikiri sasa wameanza kuona wenyewe
Kuna wapumbavu Huku walikua wanasema Dar hakuna miti kabisa na wengine walikua wanaona road reserves barabara ya mbezi wakasema huko ni kijijini
Niliwaambia nyumba zilizojengwa humo ndani ya huo msitu hata zile posh estates zao za runda na west hazioni ndani,
Asante sana kwa hii video sababu kwa ukubwa tu wa hiki kipande cha mbezi na nyumba za kibabe zilizopo hata jumla za estate zao zote posh Nairobi nzima wakizikusanya hazioni ndani kwa mbezi tu
Daaah Sometimes ni Bora kukaa kimya eti tumpe Asad🙄Mpeni assad kiti manake ni jamaa wa kutetea ukwel na wala haogopi
Sijaiona Goba bado humu Mbweni na yenyewe sijaiona, yapo maeneo yakiwekwa humu hawa slum dwellers watapinga kwamba sio Tanzaniabahati mbaya nimegundua kundi kubwa la tunaobishana nao humu, ni wale wakenya ambao hakuna kitu wanachojua nje ya nairobi.
dar kuna sehemu ukiziacha miaka 2 tu ukija unapotea.
ahh basi labda mimi ndo mgeni. uku, ila jf kuna miamba nazungukaga kwenye nyuzi zingine uko kuna miamba konki sana kina lumumba na kiranga awa yaani wananfanya nipate mizuka yakuendelea adi doctrate, sio kwa vichwa vile mjombaHuyo yupo humu kitambo alikuwa anatumia ID ya EZZ CHEZZ
kweli mkuu tena washukuru wanabishana na watu wenye akili zenu, na mna nidhamu sana yakuwa stahi ingekua wengine washaachana naobahati mbaya nimegundua kundi kubwa la tunaobishana nao humu, ni wale wakenya ambao hakuna kitu wanachojua nje ya nairobi.
dar kuna sehemu ukiziacha miaka 2 tu ukija unapotea.
Ndo ipo kwenye process.Miradi ya urasimishaji ardhi bado haijafika huko?
Tuliambiwa tungoje 2020, tena imesonga hadi 2025?Subiri 2025 uje tena na hiyo statement.
Iyo ni mbezi beach ama nnHakuna star mkubwa Kenya mwenye haya maisha
Another day another picture with unmarked roads. 90% of roads in Tanzania are unmarked.Woii the twins beib, unajua nn nmegundua licha ya kukosa viongozi makini kwa muda mrefu lkn Watz tunaheshimu sana road reserves na ndiyo maana inakuwa rahisi ku impliment modern projects like BRT, onaView attachment 1709748View attachment 1709749View attachment 1709750View attachment 1709751
Khaai, can't even get to the level of Lamu.Sijaiona Goba bado humu Mbweni na yenyewe sijaiona, yapo maeneo yakiwekwa humu hawa slum dwellers watapinga kwamba sio Tanzania
Mfano hii slum dweller akiiona atasema hapa ni Dar, kumbe ni Mbweni ya Zanzibar
View attachment 1709925
Ilo tower ni la haohao wachina
We malaya wa kike huwa mda wote unawashwa washwa kinyeo icho, haya hii hapa hyo road onesha seem ambayo haiko marked, zingatia balanced diet uwe unaona vzr mbwa weeAnother day another picture with unmarked roads. 90% of roads in Tanzania are unmarked.