danja de genzo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 528
- 745
We waruu kuna vitu vya kudanganya mzee...Kadanganya, kwan uongo
Corona siku hizi bongo imepewa majina ya ajabu ajabu...
Nko na mtz ninayemfahamu kaugua lkn kaponaWe waruu kuna vitu vya kudanganya mzee...
Naona kauli hio imegusa mfupa. Jamaa kadanganya dunia kwamba hamna corona. Anyway naona mnavuna matunda mazuri kwa policy hio ya uongo. Mnapata Warusi na Waukraine kwa wingi kwa sababu ya government policy yenu ya uongo.Amedanganya!!!!!
..we unajitambua kweli..!!watu kama nyie ni mzigo kwa bara letu la afrika.
Kwani nawe waishi bongo?!!..au hatuelewani?Nko na mtz ninayemfahamu kaugua lkn kapona
In short,una ukilaza kwa kiasi fulaniNaona kauli hio imegusa mfupa. Jamaa kadanganya dunia kwamba hamna corona. Anyway naona mnavuna matunda mazuri kwa policy hio ya uongo. Mnapata Warusi na Waukraine kwa wingi kwa sababu ya government policy yenu ya uongo.
Acha kuishi bongo, youtuber wenu flani pia huaga anafanyaga reactions ya ngoma..Kwani nawe waishi bongo?!!..au hatuelewani?
Yaani katika dunia yenye watu zaidi ya 7b, Tony254 pekee mwenye akili kubwa. We jamaa jifunze kujua dunia inaendaje. Tupo kwenye science and technology. Propaganda za akina Hitler na Nazi party ni za zama za ujinga.Naona kauli hio imegusa mfupa. Jamaa kadanganya dunia kwamba hamna corona. Anyway naona mnavuna matunda mazuri kwa policy hio ya uongo. Mnapata Warusi na Waukraine kwa wingi kwa sababu ya government policy yenu ya uongo.
Kiukweli hawa jamaa wako FEUDALISM stage na mtindo wao wa Landlords vs peasants alias scavengers in LANDLORDS' land ila hujipambanua wao ni CAPITALISTS! unakuta mtu anaishi nyumba ya kupanga yet anakenua humu ndani!Ni utamaduni mliojitungia wa kuwekana madaraja.
Kwa Tanzania binadamu wote ni sawa. Ukienda shule wanasoma wote kwa pamoja. Hakuna kubaguana.
Ubaguzi wa kikabila, kidini, hali au rangi Tanzania hauna nafasi.
Wapo mpaka wahindi, waarabu na wengine wanajiuza. Ni wewe tu unataka kula yupi.
Maisha yao ni ya kawaida. Wapo manzese, Buza, Tandale, Masaki kote Wapo na wanaishi kawaida na wanajisikia vizuri kuwa watanzania.
Hakuna mtanzania aliyesema kuwa corona haipo. Tunachotofautiana na nyie mmechukulie corona kama ugonjwa serious sisi tumechukulia corona ni ugonjwa wa kawaida na unatibiwa na kupiga nyungu, kutafuna tangawizi, kula malimao nk.Acha kuishi bongo, youtuber wenu flani pia huaga anafanyaga reactions ya ngoma..
Baada ya kupotea kw mda aliporudi hewani kasema alikua anapambana na kakorona mzee..
Fungueni macho, na hapo ilikua anafanya reaction ya ngoma flani ya kenya
Sasa unapingana na mkulu wenu aliyesema corona haipo tanzaniaHakuna mtanzania aliyesema kuwa corona haipo. Tunachotofautiana na nyie mmechukulie corona kama ugonjwa serious sisi tumechukulia corona ni ugonjwa wa kawaida na unatibiwa na kupiga nyungu, kutafuna tangawizi, kula malimao nk.
We unaongea njoo na huku uwakute wanachoma viazi, bajia na mihogo..Ni utamaduni mliojitungia wa kuwekana madaraja.
Kwa Tanzania binadamu wote ni sawa. Ukienda shule wanasoma wote kwa pamoja. Hakuna kubaguana.
Ubaguzi wa kikabila, kidini, hali au rangi Tanzania hauna nafasi.
Wapo mpaka wahindi, waarabu na wengine wanajiuza. Ni wewe tu unataka kula yupi.
Maisha yao ni ya kawaida. Wapo manzese, Buza, Tandale, Masaki kote Wapo na wanaishi kawaida na wanajisikia vizuri kuwa watanzania.
Acha uongo wewe, mchele gani huo na kwa bei gani ambao ndugu zako hawaezi kumudu..Kenya bila Tanzania hakuna nchi itakayoitwa kenya tena duniani hilo mnalijua nina ndugu zangu huko kenya nikisena naenda kuwapa salam kitu cha kwanza ni mchere wanataka maake kuupata kenya ni ghali sana kwa mtu wa maisha ya kawaida
unit cost ngapi vile? ofcourse higher unit cost than the current cost!Kenya ineongeza 100 MW to the national grid from a new wind farm (Kipeto Wind farm). Total power generated imefikia 3,000 MW wakati majirani zetu bado wanaproduce less than 2,000 MW of power.
100MW Kipeto wind farm connects to Kenya’s power grid - ESI-Africa.com
Kipeto Energy Plc announced it has connected Kipeto wind farm to the national grid and will start generating power in the next week.www.esi-africa.com