Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao traditionally walikua wanakwenda Turkey, Greece na Cyprus lakini mambo ya siasa nyingi huko Europe yamewafanya waje kwetu which is a best destination cheaper at a cheaper price point.Mlifanyaje mkaiteka market ya Russia na Ukraine? Ni marketing tu au kuna la jambo lingine?
We mpuuzi tu yani unaleta mifano ambayo huielewi...We kumbe hamnazo.! Hiyo mpaka uende Google . Waingereza (English people) wanaitwa hivyo kwasababu ya kuongea lugha ya kiingereza(English) na kwa tz kwasababu tunaongea lugha ya kiswahili Basi Ni moja kwa moja sie Ni waswahili. Umesoma hata hicho kiswahili chenyewe isije ikawa nabishana na mbumbumbu
Jina lake ni 'Mashetani'Hio carving iko poa sana. Wamakonde naona wanajua kuchonga vinyago sana.
hilo ndiyo tatizo lenu,,,,Kwa nini wahindi wa huko ni tofauti na wa Kenya? Kenya ni nadra ndoa kama hio kufanyika. Huku kuna msichana mmoja wa kihindi aliolewa na mvulana wa kiafrika ikawa ni breaking news. Familia ya huyo msichana ilimtelekeza na ndoa hio ikavunjika baada ya mwezi mmoja. Yaani ilikuwa ni story kubwa ilikuwa inakuja kwa habari ya saa moja na saa tatu usiku.
Hapa naona umeibua maswali mengi mno.Maswali mazuri haya. Sina muda wa kuyajibu one by one kama ulivyoyapanga, nitayajibu yote kwa mkupuo mmoja. Umesema shirika lilikuwa limekufa, mlitakiwa kufanya nini ili kuifufua. Mimi ninaweza kushauri kwamba mngenunua ndege chache za kuanzia biashara. Mambo ya kununua ndege kumi na moja kwa mpigo ndio sikubaliani nayo. Lakini sina tatizo ikiwa ndege zitanunuliwa pole pole moja baada ya nyingine kulingana na mahitaji ya kibiashara. Unaweza kutoa mfano kutoka kwa Ethiopian airlines ambao walianza kufanya kazi zamani sana nadhani in the 1950s kama sijakosea wakiwa na ndege chache sana. Ila wamekuwa patient na wamekuwa pole pole bila haraka. Wakipata faida ya kutosha ndio wanaongeza ndege nyingine. Au idadi ya customers ikiongezeka ndio wanaagiza ndege nyingine. Tofauti na nyinyi ambao mnaagiza ndege nyingi hata kabla hamjapata customers na hata kabla hamjapata certification ya kufly katika routes muhimu nje ya nchi. Yaani hii inaitwa organic growth. Yaani biashara inastahili kukua pole pole sio kukurupuka. Hivi wewe unajua nini ilifanya KQ ikaanza kupata matatizo inayopata sasa? Kwa ufupi ni ukurupukaji wa hali ya juu ndio ililetea KQ matatizo inayoyapata sasa. KQ ilikuwa inafanya kazi vizuri hata ilikuwa inapata faida huko miaka ya 2006, 2007, 2008. Tatizo ni kuwa KQ ikafanya ujinga unaoitwa "expansion" of fleet. Maana ya expansion inamaanisha kwamba KQ wakaanza programme ya kulease ndege nyingi kwa mpigo bila kuzingatia demand wala organic growth. Yaani kukimbilia kulease ndege wakati hata hatukuwa na customers wa kutosha wa kujaza hizi ndege. Mwishowe ikawa ni kilio maana ndege tunazo ila hazijai. Kila route inagharama ya mafuta na mishahara wa nahodha na airhostesses. Mishahara mwisho wa mwezi lazima ilipwe whether ndege imejaa au haijajaa. Mafuta lazima inunuliwe whether ndege imejaa au haijajaa. Sasa msururu wa losses ikaanza kutokea. Hurried expansion without taking into account the level of demand for services being offered ndio iliikwaza KQ. KQ walidhani kwamba wangepata customers virahisi na hawangepata competition from other airlines. Tatizo ni kwamba Emirates, Turkish na Qatar nazo zikatinga Kenya kwa pupa ya fisi na kupunguza bei ya air ticket. Wakenya wengi wakasusia kununua ticket ya KQ na kuanza kununua ticket za gulf carriers. Muwache kukurupuka na mjifunze kutokana na ukurupukaji wa KQ. Mfano wa mwisho ni kwamba mimi mwenyewe nilipokuwa nataka kuenda Europe, nilinunua ticket ya emirates maana walikuwa wanalipisha ksh 65,000 na KQ walikuwa wanalipisha ksh 105,000. Yaani hata kama mimi ni mzalendo namna gani itabidi niangalie mfuko wangu kwanza, ilibidi nipande emirates badala ya kupanda KQ.
nchi inasubiri investment ya $30 bln in LNG ukiacha another +$20 bln in in stategic minerals ukiacha $3.5 bln EACOP halafu unaiambia isiwe na airline yake! Kweli?Hapa naona umeibua maswali mengi mno.
Ujue mimi ni mfuasi mzuri sana wa philosophy za Socrates.
1. Unaposema kwamba tungenunua ndege chache, NENO chache maana take ni nini!? Ni ndege ngapi zinakuwa counted kuwa ni chache!? Kwani hizo ndege tulizonunua ni nyingi!?
2. Kitu cha pili ninachotaka kujua kutoka kwako Je ni lazima tupitie path walio pitia Ethiopia!? Kwa sababu Ethiopia walianza miaka ya 1950s basi na sisi tuende taratibu kama wao walivyoanza miaka ile. Yaani unataka kututisha siyo!?
Kumbuka mambo yamebadilika sana, Technology inakuwa kwa kasi, civilization inaongezeka, uhitaji wa kusafiri na utalii unaongezeka. Kwa idea yako hiyo nina kataa kata kata.
3. Je, unataka tujifunze makosa waliyofanya wakenya!? Sisi hatujifunzi makosa bali tunaenda seriously. Tunaangalia opportunities tulizonazo, na tunafanya namna gani ya kuzitumia. Tatizo la shirika la ndege la Kenya ni kufanya mambo kwa ujanja ujanja na kutegemea market kutokana na hali ya nchi zingine. Kufanya ujanja ujanja huku huna kitu cha kuchangia kwenye dunia.
4. Nadhani wewe ni mtu wa Account sidhani kama unaelewa hata revolution ya uchumi inayoendelea kwa sasa. Uchumi wa sasa unapoelekea ni wa technology, adventure and Partnership. Kama huna hakuna atakaye kuja kwako. Kama ndege uponazo za maana utapata partners serious.
Kwanza naanza hivyo.
Lazima niseme wewe unafikiria negative because:-Tatizo ukitoa idea tofauti na mambo yalivyofanyika ...unaonekana negative
Kitu kimoja kimaweza kikawa na style nyng za kufanyika na efficency ikatofautiana ..
Style iliyotumika ya kunua dreamliner kwa mkupuo naona sio profitable kwa muda ule ..ilikuwa heri airbus ziongezeke badala ya dreamliner mbili at once ..why cause zimekaa mwaka zinabadilishana route ya mumbai na hyo route ni 3x a week ..
Kama hio hela ingeongeza airbus 2 au 3 za regional routes zingweza kuongeza frequnecy ya african routes wakati tunatanua mtandao wa afrca ili dreamliner zikiingia zinakuta netwrok kubwa zinakuwa zinasomba watu kwenda Mumbai,Guang,London etc ...
NB by that i dont mean the style choosen was wrong ..ni basi tu haiko profitable compared na what could have been done ..as human beings we cant get everything right n we learn through trials ..
Mfano mbona reli yetu ni ya umeme na ya kenya ni disel hapo tumewapiga gap
Mbona kenya wanauza maua na chai kuliko Tz hapo wametupiga gap ..
Mbona Kq inakufa .na haina ndege sisi tuna ndege..tumewapiga gap ..ndo hvyo
wahuni wapo kila nchi,niliwahi kwenda german ila kwa masuala ya kikanisa kipindi hicho nilikuwa muimba gospal ,mwanakwaya tukapata invitation ,,,,,tatizo lao nao wengine wanapenda kuja bila ya mwenyeji wa kuwaonesha mji ulivyo uhalisia wake na bei halisi za vitu, kuna haja ya serikali pia kuwaanzishia kitengo ambacho wakifika tu hapa wanaweza kwenda na kupata usaidizi/muongozo wa how things work (of course for a small fee) ili kusmooth transition yao hapa coz wao ndio ambao wanatutangazia nchi yetu now na kitu chochote negative watakachosema na kuki experience kwetu lazima waropokwe tu na kuwatisha wengine wasije
mtalia sana na hata watoto wenu watalia kwa Tanzania hii, ambacho kenya hamkijui ni kuwa wakati mnajaribu kuijenga kenya Tanzania tulikuwa buzzy na liberation wars. Wakenya hamkutumia akili yoyote kuwin masoko ya Tanzania, uganda etc. na hivi hivi ndivyo mtakavyoyaachia masoko yetu.Sio anadanganya, ni kweli kabisa Tony huwezi amini
Yaani nashangaa watu wanalalamika. Halafu mimi naona tunatakiwa tununue ndege za mizigo. Tuweze kusafirisha bidhaa zetu.nchi inasubiri investment ya $30 bln in LNG ukiacha another +$20 bln in in stategic minerals ukiacha $3.5 bln EACOP halafu unaiambia isiwe na airline yake! Kweli?
Lazima nikudharau maana ideas zako ni za kitoto. Njoo concrete facts huku ukileta evidences.Sawa wacha mjadala uishe. Siwezi kupoteza muda na mtu mwenye madharau.
Hapo zile pangaboy zetu zitakua zinawakusanya huko kwingine halafu wanatransit JNIA direct to mumbai,good idea hiiTatizo la watu wengi kufikiria one direction.
Tayari Ethiopia wapo kwenye business. Utalinganishaje TZ iliyokuwa imekufa ifanane na Ethiopia!?
Utapataje license ya kwenda nje wakati huna ndege!?
Kwa route moja tu ya kwenda India tayari Tanzania imeingia mkataba na Shirika la India kwamba abiria atakata ticket moja akiwa anaenda kokote ndani ya India akiwa na ticket ya airtanzania.
Tayari abiria toka Zambia, Burundi, Zimbabwe wanaoenda India watatumia Air Tanzania.
Hebu tuacheni basi fikra negative.
Warusi wamewekeza pesa nyingi mno cyprus,biashara nyingi wamekamatia wao,ni wakati kuwavutia waje kuwekeza na Tanzania sasaHao traditionally walikua wanakwenda Turkey, Greece na Cyprus lakini mambo ya siasa nyingi huko Europe yamewafanya waje kwetu which is a best destination cheaper at a cheaper price point.
Ndio imetoka hio, na hao jamaa wana hela za kufa mtu, si unajua Roman Abromavich?
Amedanganya!!!!!Naona mtatupiga vibaya kwenye number of tourists this year. Tayari mnapokea revenue nyingi kutushinda ila sisi tulikuwa tunapokea tourists wengi kuwashinda. Sasa itakuwa kwamba mtapokea idadi kubwa ya tourists na revenue nyingi pia. Hongera. Hio policy ya Magufuli ya kudanganya watu kwamba hakuna corona Tanzania naona imezaa matunda mazuri kwa uchumi wa Tanzania.
Kadanganya, kwan uongoAmedanganya!!!!!
..we unajitambua kweli..!!watu kama nyie ni mzigo kwa bara letu la afrika.