Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
.. safi sana
Naona mumeanza kuindustrialize. Hivi viwanda vya aina hii ni muhimu sana kwa uchumi na nchi yoyote inayopania kufikia developed status.
.. safi sana
Huyo mbweha ana matatizo ya ubongo, yani hapo kivyake ywajikuta kalonga kitu cha ufahamu sana..Sikubaliani na wewe. Teargass hajui kiswahili sana. Itakuwa kwamba yeye ni mtu aliyelelewa bara. Sisi watu wa bara kiswahili chetu huwa ni kibaya sana unless tukipende na tuamue kujifunza, huwa anaongea kiingereza full-time. Kiswahili kilimshinda kabisa. Japo yupo sawa kwenye kuwakosesha usingizi. Sijui alienda wapi. komora096 naye ni mtu wa pwani, maana kiswahili chake ni kizuri na laini.
Putin naye aliwahi kuishi Tz?Kwa style hii basi kumbe kuna marais wengi sana duniani wameishi, wamesoma au kufanya kazi Tanzania, from Vladimir Putin to Sahle Work
Ss mtu utakuta anamuona ichoboy anasema eti ni muarabu kisa ngozi wkt ichoboy ni mswahili pure kuliko hata yeye na weusi wake huo, ichoboy mtoto wa ilala wapo wengi pale Wakenya msiogope sisi ndo Watz, wote sisi ni watoto wa Nyerereangejua ao waraabu anawatetemekea tuko nao maganzo apa tunapiga kisukuma kwakwenda mbeleee
Putin naye aliwahi kuishi Tz?
Umewahi kusikia mtu anaitwa USA!?
Natumai ushaelewaHahaha.
Halafu kuna kitu watu hawaja notice, huyu mzee Jiwe anakwenda kuacha legacy ya aina yake, anakwenda kukipeleka kiswahili next level, yn hii lugha ss ni rasmi inakwenda kutambulika kimataifa zaidi.Unajiskia lakini ujinga wako ,sisi ni waswahili mzee yaani sisi tunaunganishwa na kiswahili yani wenye kiswahili chetu . Masuala ya ukabila uku hatuubiri babu after all lugha za makabila isn't applicable in this nowadays life labda uwe mganga wa kienyeji (whitch doctor).unajua kilichosababisha rwanda genocide.? Tatizo la uongozi wa kabila moja hapo kwenu je .? Unajua kuwa developed countries wako na makibila yao .? Have u ever heard them bragging about their tribes.? Tamaduni zetu zipo but sio kipa umbele ikija kwenye suala la utanzania wetu tz people are Swahili people
We kumbe hamnazo.! Hiyo mpaka uende Google . Waingereza (English people) wanaitwa hivyo kwasababu ya kuongea lugha ya kiingereza(English) na kwa tz kwasababu tunaongea lugha ya kiswahili Basi Ni moja kwa moja sie Ni waswahili. Umesoma hata hicho kiswahili chenyewe isije ikawa nabishana na mbumbumbuWasu **** nao wanajiita waswahili
Dunia ina maajabuView attachment 1686028
Hehehehee inaonesha unawajua sn wanaume wa Tz weweHuyo mbweha ana matatizo ya ubongo, yani hapo kivyake ywajikuta kalonga kitu cha ufahamu sana..
Lkn sasa tutawafanyaje jamani na wakati tayari huenda wamejaaliwa na Maulana, yani katika maisha yao ni mwendo wa kujitoa ufahamu ilimradi na yeye aonekane yupo..
Tena nakupa siri ndugu yangu tony, wanaume wa bongo(dar) wanapenda kujichubua..
Cc Tony254 unaona umaarufu wa hii nchi? Yn watu wakubwa wakubwa wamewahi kuja kujifunza hapa mpk kina Ernesto Che guavara.
Tanzania ni zaidi uijuavyo, huyo hapo watatu kutoka kushoto akiwa na Samora pale Bagamoyo.
Sikubaliani na wewe. Teargass hajui kiswahili sana. Itakuwa kwamba yeye ni mtu aliyelelewa bara. Sisi watu wa bara kiswahili chetu huwa ni kibaya sana unless tukipende na tuamue kujifunza, huwa anaongea kiingereza full-time. Kiswahili kilimshinda kabisa. Japo yupo sawa kwenye kuwakosesha usingizi. Sijui alienda wapi. komora096 naye ni mtu wa pwani, maana kiswahili chake ni kizuri na lain
Wana mda mrefu sana jirani mpaka waje watueleweHalafu kuna kitu watu hawaja notice, huyu mzee Jiwe anakwenda kuacha legacy ya aina yake, anakwenda kukipeleka kiswahili next level, yn hii lugha ss ni rasmi inakwenda kutambulika kimataifa zaidi.
Zamani ilikuwa wakija viongozi wageni kutoka nchi kubwa kubwa ilikuwa president wetu anaongea kwa kingereza, lkn kwa Magu hapana, ataongea kiswahili mwanzo mwisho na hata mgeni akianza kuongea basi lazima mtafsiri awepo ili Watz wote waelewe kinachoongelewa bila chenga bila mangungo.
Tulichelewa sn kumpata kiongozi km huyu, tungekuwa mbali sana leo hii.
Hiki kiwanda ni rahisi ku-diversify na kutengeneza aluminium cans pia for soft drinks!Naona mumeanza kuindustrialize. Hivi viwanda vya aina hii ni muhimu sana kwa uchumi na nchi yoyote inayopania kufikia developed status.
hawa watu wanadhani tunaishi kwa bahati kama wao, jana niliona wakenya wanaomba msaada wa kupambana na alshabab kwa mwingereza, FALLEN STATE
Tanzania ni zaidi uijuavyo, huyo hapo watatu kutoka kushoto akiwa na Samora pale Bagamoyo.
WENZETU WANAJISIFU KULINDWA NA WESTERN, nguo ya kuazima haifichi utupuCc Tony254 unaona umaarufu wa hii nchi? Yn watu wakubwa wakubwa wamewahi kuja kujifunza hapa mpk kina Ernesto Che guavara.
Huyo wa3 kutoka kushoto ndiye Putin mwenyewe, usijesema sijakuambia