komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,646
PovuuuuWw huwez nikasirisha mm nimekutana na wakenya wanakichwa ngumu kuliko ww
Kwangu wewe ni mrembo tu
PovuuuuWw huwez nikasirisha mm nimekutana na wakenya wanakichwa ngumu kuliko ww
Kwangu wewe ni mrembo tu
Hata sio search yake ya uchwara haijasema distance kati ya cbd na westy ni kilomita ngapi. Hebu rudi utazame hio picha yake ya uchwara. Eti inasema 3 km halafu hapo chini inasema 7 km. Sasa ni 3 km au 7 km? Anaokota uchafu kwenye internet na kumwaga hukuAmechange gear sai..
Ame search cbd to westy wala sio kicc to gtc tena
ππππππ uharo mtupuPovuuuu
Inasema 7 min for that 3km unachanganyikiwa tonyππHata sio search yake ya uchwara haijasema distance kati ya cbd na westy ni kilomita ngapi. Hebu rudi utazame hio picha yake ya uchwara. Eti inasema 3 km halafu hapo chini inasema 7 km. Sasa ni 3 km au 7 km? Anaokota uchafu kwenye internet na kumwaga huku
Leo nimerudi kwenye ile form yangu ya mwanzo naona ulikua umenisahau kidogo mzee wa kazi mtaani πππππKaba unazidi kujiabisha
Hata tukichukua KICC to GTC bado inakuwa 4.6 kilometres. Sasa hizo 2 kilometres zako ulitoa wapi? Halafu mimi nakuwekea hadi search area ndio uone nimesearch nini. Anyway, umenipotezea muda wangu bure.Tulichukua KICC kwasababu google earth ukisema CBD inakupa all area ya CBd fala weweπππππ hujui chochote alaf unavamia treni kwa mbele
Kuna mikataba ya mikakati anakuja ku saini πππππ
Akili kichwani mwako mm nimemaliza ππHata tukichukua KICC to GTC bado inakuwa 4.6 kilometres. Sasa hizo 2 kilometres zako ulitoa wapi? Halafu mimi nakuwekea hadi search area ndio uone nimesearch nini. Anyway, umenipotezea muda wangu bure.
Tamaza panel on the left side wameandika kuwa distance ni 4.6 km
View attachment 1685263
Naona jana ulimpa dozi ya uhakika ππ kaenda kutafuta mtu wakumsaidia atakuja wacha tumpe muda
Sasa ww ulikua hutak aje tanzania ?? Wacha aje lazma kutakua na jambo muhimu π πKwanza huyu raisi ni flower girl. Ni puppet. Ni mtu mdogo sana kwenye serikali ya Ethiopia. Abiy Ahmed ndiye ana powers zote. Kama ingekuwa PM Abiy anakuja ndio ingekuwa habari kubwa. Huyu mama amekuja Kenya mara nyingi na hatujawahi kufungua mdomo
Alipata safari ya ghafla. Flying toilets zake ziliisha. Muache akatafute bhana.
Jamaa aliunda watch inayofanya kazi na hata akaweka radio button ya kureset saa. Kisha akakupa kazi rahisi ya kuweka radio button na ukashindwa. Sasa nani haaminiki kati yako na yake. By the way naamini kwamba wewe ni software engineer mashuhuri lakini hakuna haja ya kumshuku maana alifanya kazi uliyompatia.
Nilimtafuta mpaka jina lake halisi tumelijua. Nimemuweka kwenye manati Mr. Brian kaja hewani. Kwa sasa atakuja na account mpya.Naona jana ulimpa dozi ya uhakika ππ kaenda kutafuta mtu wakumsaidia atakuja wacha tumpe muda