Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,389
Ebu fikiri kwa akili yako unadhani kenya inaweza kuwa na uchumi mkubwa kuliko tz??!Mbona hamjawahi kutupita kiuchumi ilhali mna hii rasilimali yote?
Ebu fikiri kwa akili yako unadhani kenya inaweza kuwa na uchumi mkubwa kuliko tz??!Mbona hamjawahi kutupita kiuchumi ilhali mna hii rasilimali yote?
money that comes from startups is loan too. BTW got shocked last week while playing (coding and data manipulation) with a dataset by the name crowdfunding! I found Kenya is behind Philippines in taking loans given by crowdfunding! Mind u crwodfunding goes to individuals and not counted by WB or IMF, what if is added to that 90% credit to debt ratio! IRMAO u would have hit 100%Geza Ulole wewe ndio ulikuwa unasema kwamba Tanzania inashinda Kenya kwenye startup investments? Well, tunaongoza Africa nzima kama kawaida yetu.
Kenya Shines as Foreigners Open Ksh29.3 Billion Money Tap
According to the report, this represented 25 percent of the total funding channeled to Africa in 2020.www.kenyans.co.ke
Tony my brother,una fail sana unaposema kuwa mombasa is an island,hiyo mbona ni geography ya primary mzee..Watanzania waliopotea kwenye uzi huu wote wanatazama tv stations za Kenya. Wanatazama uapishwaji wa Biden. Ndio maana hawapo hapa. Halafu wanajifanya kwamba hawana haja ya kutazama uapisho huo
Why should Gok pay for debts taken by private citizens? That has never happened anywhere in the world.money that comes from startups is loan too. BTW got shocked last week while programming-playing with a dataset by the name crowdfunding! I found Kenya is behind Philippines in taking loans! Mind u crwodfunding goes to individuals and not counted by WB or IMF, what if is added to that 90% credit to debt ratio! IRMAO u would have hit 100%
CC: Venus Star
Loans are commonly used to secure startup capital, consisting of funds that are to be repaid within a certain time and are usually subject to an interest rate. Usually loans are taken out from financial institutions.Sep 23, 2020
Startup funding: tips on corporate financing and promotion
The financing of startups often deviates from that of classic corporate finance, particularly in terms of investors and financing phases.www.ionos.ca
Incase u didn't know....
CC: Tony254
kama unajua programming fungua hizi data uone mnavyokopa!Geza Ulole wewe ndio ulikuwa unasema kwamba Tanzania inashinda Kenya kwenye startup investments? Well, tunaongoza Africa nzima kama kawaida yetu.
Kenya Shines as Foreigners Open Ksh29.3 Billion Money Tap
According to the report, this represented 25 percent of the total funding channeled to Africa in 2020.www.kenyans.co.ke
kuna kitu kinaitwa M-changa by Mpesa kinawauza kwa crowdfunding!Why should Gok pay for debts taken by private citizens? That has never happened anywhere in the world.
Train yetu itakua na uwezo wa kuhifadhi charge kwa zaidi ya masaa matatu while in motion, kaa mbaliKawaulizeni ethiopia
Kwn nyie mna umeme kuwazidi ethiopia lkn bado kitu kinapata shida kuendeshwa on a daily basis...
Mwisho wake tutauona tu wakurupukaji
Mimi sijui programming. Nitaipitia lakini ninachojua ni kwamba serikali inalipa deni iliyo-ombwa na serikali yenyewe au parastatals. Hakuna jinsi serikali inaweza kulipa deni iliyochukuliwa na private citizens au private companies unless serikali yenyewe ilitoa guarantee kusimamia hio loan.
kama hujui programming huwezi fungua hiyo dataset! i wish ninge-share my analysis ila i prefer my discretion! Kuna vitu unaweza kujitamba ila vitu vya loan kuweni waangalifu!Mimi sijui programming. Nitaipitia lakini ninachojua ni kwamba serikali inalipa deni iliyo-ombwa na serikali yenyewe au parastatals. Hakuna jinsi serikali inaweza kulipa deni iliyochukuliwa na private citizens au private companies unless serikali yenyewe ilitoa guarantee kusimamia hio loan.
Hizo startup ndio zinafanya muwe poorest in employment? Mna uhaba mkubwa wa ajira mnaongoza Africa then what's startup for?Geza Ulole wewe ndio ulikuwa unasema kwamba Tanzania inashinda Kenya kwenye startup investments? Well, tunaongoza Africa nzima kama kawaida yetu.
Kenya Shines as Foreigners Open Ksh29.3 Billion Money Tap
According to the report, this represented 25 percent of the total funding channeled to Africa in 2020.www.kenyans.co.ke
Hii ni ya Mr CPAKHizo startup ndio zinafanya muwe poorest in employment? Mna uhaba mkubwa wa ajira mnaongoza Africa then what's startup for?
Waeleze Watanzania wenzako maana wanadharau matatu za KenyaNi mtanzania ila kitu kenya napenda nikiwa pale ni kupanda matatuu kwa mstari, hii kitu inaleta ustaarabu but kubwa wenye magari binafsi kutoyatumia majira ya asubuhi mpaka mchana.
Inabidi aeleze matatu ipi anapanda!Waeleze Watanzania wenzako maana wanadharau matatu za Kenya
Afikirie kw akili yake km naniEbu fikiri kwa akili yako unadhani kenya inaweza kuwa na uchumi mkubwa kuliko tz??!
Walienda kutazama baada ya kumaliza sasa ikabidi waje kinafiki ili wakejeliWatanzania waliopotea kwenye uzi huu wote wanatazama tv stations za Kenya. Wanatazama uapishwaji wa Biden. Ndio maana hawapo hapa. Halafu wanajifanya kwamba hawana haja ya kutazama uapisho huo