ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,361
- 136,553
Iniume kwa kitu ambacho naona mchina kuna sehemu kamaliza kazi π π π πNaona hii barabara inakuuma sana. Mbona usiandikie wachina barua wapeleke hii barabara Tanzania ?
Iniume kwa kitu ambacho naona mchina kuna sehemu kamaliza kazi π π π πNaona hii barabara inakuuma sana. Mbona usiandikie wachina barua wapeleke hii barabara Tanzania ?
Ww ndio ulisema kenya hua haiombi msamaha wa madeni au sio ww najua umejifanya hujaiona
Najua machozi yanakutoka kuelekea ndani. Mbona siku hizi sijaona ukiitisha construction boards?Iniume kwa kitu ambacho naona mchina kuna sehemu kamaliza kazi
Treni za SGR ni mpya.Kwahyo mpaka sasa kenya hawajawah kabisa kununua treni mpya
Yani nacheka sana kuona vile mchina akiwajibika inavipaswa manake kwenye SGR kamaliza biashara sasa kahamia na huku πππππNajua machozi yanakutoka kuelekea ndani. Mbona siku hizi sijaona ukiitisha construction boards?
Huu mradi naona bado unaendelea kujengwa. Hongera naona mambo yanaendelea vizuri
Mpya gani wewe tony dunia iankwenda mbele nyinyi munarudi miaka 100nyumaTreni za SGR ni mpya.
Ni lini Tanzania itakuwa na elevated expressway. Alafu ebu nikuulize, is this the first time umeskia project ya PPP dunia nzima? Kama ni mara yako ya kwanza basi kuwa ready kuona ya pili wakati hile PPP ya 190km road itaanza kujengwa Alafu pia kuna PPP ingine.Yani nacheka sana kuona vile mchina akiwajibika inavipaswa manake kwenye SGR kamaliza biashara sasa kahamia na huku
mchina nimekunyooshea mikono
Wangewapa hata miezi miwili aisee
Labda tujenge kwa pesa yetu na sio ijengwe na mtu alaf aanze kutukamua ushuru hilo halipo hua hatuingii kwenye biashara hazina tija na faida kwa wananchiNi lini Tanzania itakuwa na elevated expressway. Alafu ebu nikuulize, is this the first time umeskia project ya PPP dunia nzima? Kama ni mara yako ya kwanza basi kuwa ready kuona ya pili wakati hile PPP ya 190km road itaanza kujengwa Alafu pia kuna PPP ingine.
Mpeni mchina tu hana shida kwenye ppp manake hzo ndio biashara zake πππNi lini Tanzania itakuwa na elevated expressway. Alafu ebu nikuulize, is this the first time umeskia project ya PPP dunia nzima? Kama ni mara yako ya kwanza basi kuwa ready kuona ya pili wakati hile PPP ya 190km road itaanza kujengwa Alafu pia kuna PPP ingine.
Naona ujinga yako inakudanganya charges itakuwa 600bob. Hii ndio maana nasema unaumwa na hiyo project, charges za expressway itaanzia 150 bob up to 300 depending on the weight of your vehicle.Labda tujenge kwa pesa yetu na sio ijengwe na mtu alaf aanze kutukamua ushuru hilo halipo hua hatuingii kwenye biashara hazina tija na faida kwa wananchi
hvi kwa kutumia akili 600ksh per car then how many of them will afford ushawah jifkiria hilo
hata mchina alitaka kujenga chalinze expressway kwa ppp lakini magufuli alikataa hata bagamoyo port ilikua ni ppp magufuli alachomoa tena sijui unashangaa nn ww
Piga kelele hapo wakati projects zinazoendelea Kenya kwa sasa ni three ten times zile za Tanzania.Mpeni mchina tu hana shida kwenye ppp manake hzo ndio biashara zake
Kwa sasa pesa za mradi wowote hamuna na hamutakua nayo mpaka yesu ashuke
Yani East Africa ni kama bedroom ya Kenya, we take anything we want. Good job KCB, teka yote
Mm hua nafurah kuona mchina akifanya vitu vyake ππππPiga kelele hapo wakati projects zinazoendelea Kenya kwa sasa ni three ten times zile za Tanzania.