Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Healthcare systems?????..hivi we unajielewa kweli?!!!..hiyo kunya yako ina healthcare system bora kuliko states??!!..mbona yenyewe states iko na wagonjwa wengi mara nne ya kenya?!!..mbona rwanda iko na wagonjwa wachache kuliko italy,kwa hiyo rwanda ina healthcare system bora kuzidi italy??!..vitu vingine ni vidogo tu wala huitaji kutumia nguvu nyingi,ukitumia rungu kuua sisimizi utaumia mwenyewe,covid haihitaji kuwa na healthcare system bora ili uweze kui-control,ni akili ya utambuzi tu kutambua covid ni ugonjwa wa aina gani,umetokeaje,na kwa misingi ipi,kama ingekuwa healthcare system ndo inaamua athari za corona,ni wazi kabisa africa hadi wakati huu kusingebaki hata mtu mmoja!!!..mimi na watanzania wenzangu tungekuwa marehemu zamani sana...najua hapa utakataa,ila unaelewa moyoni mwako,kwa kuwa hamjitambui na si muda mrefu tutaleta vaccine hapo tuje tuwafanyie majaribio kwa sababu ninyi si watu na hamna faida yoyote,hata majaribio yakienda vibaya mkifa hakutakuwa na hasara
Hata ukimuuliza "what is the role of Healthcare system in prevention of Corona" hajui, kazi yao ni kukariri yale yanayosemwa na wazungu, hawana akili kabisa hawa jamaa
 
Only to low minded person such as you, yet we just live our life, its better to know the denial against corona free in Tz, will never save your country from corona virus keep it in your skull
Tanzania can't even save itself and you are talking about Tanzania saving Kenya
Believe what you want to believe I have no problem with that 😂😂😂
 
Ushahidi gani huo unaotaka
Hata ya magongo na pale makupa walipiga concrete chini alafu wakadunga asphalt juu..
View attachment 1631688

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
After zooming 😂😂😂😂👇👇 ni matapishi
DCE6C9CB-004B-4A64-BAA5-652B779D0105.jpeg
 
hivi ndivyo Tanzania ilivyo,,,,,msikilize kabudi...
hayati mwalimu Nyerere mwaka 1965 alipoona wainhereza wanaleta longolongo kama taifa tukavunja uhusiano nao na tukaufuta ubalozi wao nchini kisha tukarudisha pesa zao zote ,,,,
pia baada ya muungano wa tanganyika na zanzibar wajerumani nao wakataka kutupanda kichwani kutupangia mambo nao pia tukawafukuzia mbali wakatudi kwenye nchi yao

 
Back
Top Bottom