🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kiukweli wakenya wanahaki yakutuona Sisi malofa...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kiukweli wakenya wanahaki yakutuona Sisi malofa...
Na wewe hacha kunidanganya...Bora ukae Kimia....Am not a fool my friend like others...I can't buy that... Tuongee Mambo mengineHaina ukweli wowote, hizo karatasi za kura sio zenyewe, hao walishajua watashindwa wakapanga mikakati ya kuleta taharuki kwa kutengeneza kura feki kwa kutumia zile sample specimen za tume wakidai zimeleta na wasimamizi wa vituo.
Hujaona humu JF mapema tu tayari kuna watu walikua wanaposti karatasi za kupiga kura wakionyesha wamemipgia nani wakati kwenye vituo watu hawaruhusiwi kupiga picha, jiulize hiyo movie yao walikua wanafanya wapi.
Kuna kitu kinaitwa "false flag" attacks ndio kama hizo, lengo ni kupoteza legitimacy ya mshindi ili international community ianze kupiga kelele...
Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
Inategemeana na mtu na mtu na pia dozi (concetration) iliyotumika ila kwa wastan, inaweza kuchukua masaa 6 -12 ya tripping.Kwa iyo inaweza chukua muda gan mpaka ubongo ku recover I mean process yote
Baba anaenda kuondoa term limit! Na term inaenda kuwa miaka saba.Magufuli ni binadamu kama binadamu wengine na hufanya makosa pia.
He's not perfect at all, itoshe kusema ameharibu huu uchaguzi 100% kwa tamaa yake ya kushinda kwa kishindo. Haya sasa alitaka Bunge liwe CCM tupu + madiwani amepata, haya tuone Maendeleo sasa.
Bro, hizi ni siri za dunia ambazo wengi tumefungwa kuzijua. Imagine mtu unaacha pombe kwa kunywa kikombe kimoja tuu cha mmea.Mimi walinipa dozi ya kikombe kimoja tu...Walichukua mkonge wakauponda kwa kuwa walitaka niache pombe walichanganya na pombe ( beer) nakuchuja....Mimi aliyenipatia hiyo dozi ni mganga mmoja wa kihaya... Yeye akutaka kuniambia anatumia Mimi...Lakini Kuna Bibi wa Kihaya ambae ndo nimuanzilishi amekuwa akiwafundisha wengine....Mimi niliambiwa na mtu (Dada) anaemjua huyo Bibi wa Kihaya....
Hii statement ni ya thamani sana, watu hawaelewi tuu.Kiukweli kwa hiyo dawa ukinywa Ina surmmarise maisha yako yote toka umezaliwa na kuwa Kama mtoto...Kiufupi nikama in flash ubongo wako....Ni dawa nzuri Sana....
Your statements are self-contradictory, and a contradiction is a necessary condition of falsehood.Baba anaenda kuondoa term limit! Na term inaenda kuwa miaka saba.
Yale yale ya kagameBaba anaenda kuondoa term limit! Na term inaenda kuwa miaka saba.
kweli ni malofa kama kura zinakamatwa af aliekamatwa nazo hayupo yani walizikamata zikielea hewani🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kiukweli wakenya wanahaki yakutuona Sisi malofa...
Hii Expressway itakuwa na interchanges nyingi kuliko Tanzania yote
Wabongo mbna magufuli jembe hajajenga expressway
Duh! Hii picha haipingiki. Ukweli unaonekana . Aliye na macho haambiwi tazama.
Kwani wewe wa wapi term limit inamaanisha vipindi vya Urais Kikatiba ambavyo ni viwili vya miaka mitano. Sasa unaweza kuongeza miaka kuwa saba huku wakati huohuo ukiondoa zuio la mihula miwili.Your statements are self-contradictory, and a contradiction is a necessary condition of falsehood.
1. Your first statement claims that, terms will be removed.
2. While your second statement states that, term limits will be extended to seven (7) years.
One thing, can under no circumstances be green and yellow at the same time. It's either term limits will be removed or extended, period.
This clearly shows that, you have zero idea of what you are talking about.
You and I have known one another and worked together for far too long and from different forums. I really apologize for coming this way at you, but I had to.
Demokrasia inaingia Tz kwa Nguvu ila nawashauri msikubali Mabeberu waingililie Affairs za Nchi yenu.tuseme ukweli... huku bara Magu ni haki yake kushinda.. hata kama wameiba si kwa magap makubwa kama haya.. wananchi tulitaka mtu anaeleza atafanya nn sio mtu mikutano yote anatukana tukana na mwenye kick za uongo uongo .. na huku mtandaon wanapost vitu vya uongo au matukio ya zaid ya miaka mitano nyuma!
kwenye kura za rais hawana haja ya kupinga, si kwa gaps kubwa hiv..
View attachment 1615516View attachment 1615517View attachment 1615518View attachment 1615519View attachment 1615520
View attachment 1615521
View attachment 1615522
View attachment 1615523
Huu umoja wetu wa kitaifa hata beberu anapata tabu wapi aingilie.... wakati huo sisi tunapiga mwendo tu.Chap kwa haraka 😃😃😃😃.Demokrasia inaingia Tz kwa Nguvu ila nawashauri msikubali Mabeberu waingililie Affairs za Nchi yenu.
Pitia comments za post ya Chadema kwenye ile post lissu anasema Watanzania muandamaneHuu umoja wetu wa kitaifa hata beberu anapata tabu wapi aingilie.... wakati huo sisi tunapiga mwendo tu.Chap kwa haraka .
Magufuli ni binadamu kama binadamu wengine na hufanya makosa pia.
He's not perfect at all, itoshe kusema ameharibu huu uchaguzi 100% kwa tamaa yake ya kushinda kwa kishindo. Haya sasa alitaka Bunge liwe CCM tupu + madiwani amepata, haya tuone Maendeleo sasa.
Yeye mwenyewe katype tuandamane, alitakiwa atoke nje na speaker aseme kwa sauti tuandamane ila sio kutype... Keyboard warriors haoPitia comments za post ya Chadema kwenye ile post lissu anasema Watanzania muandamane