Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua Aswan High Dam...inavyosaidia kwenye irrigation ya Egypt....achana na umeme maana thats just a pinch...wanaitumia sana..kwa irrigation..inaweza tunza maji hata ya miaka miwili...sasa je Ethiopia ikirudisha bomb..aswan..si hasara na ukame
Hakuna Vita kati ya Ethiopia na Egypt...Kipindi Uganda wanapanua Dam yao pale Nile River walitia mikwara Kama ya Ethiopia....Magufuli alisema Ethiopia Wana haki yakutumia Maji ya mto Nile kwa maendeleo ya watu wao...
 
Kwan unahisi ethiopia hana Fighter jets..? ..wote egypt na Ethiopia wanazo...ndo hvyo ni swala la ku negotiate sio vita...egypt akimwaga mboga/ugali ethiopia hatokubali watafanya hvyo
Rafiki yetu anataka Ethiopia apigwe lakini asilipize mapigo. Hio inafanyika tu darasani mahali ambapo mwalimu anakucharaza kiboko ila huwezi rudisha mapigo. Lakini huku nje, kajamba fulani akiamua kukuzaba kofi basi una haki zote duniani kulipiza mapigo.
 
Hakuna Vita kati ya Ethiopia na Egypt...Kipindi Uganda wanapanua Dam yao pale Nile River walitia mikwara Kama ya Ethiopia....Magufuli alisema Ethiopia Wana haki yakutumia Maji ya mto Nile kwa maendeleo ya watu wao...
Asante sana mkuu kwa kuongea ukweli. Ethiopia ana haki ya kutumia maji yake. Hii mambo ya waarabu na wamarekani kutuambia jinsi tutakavyotumia maji yetu haifai. Lazima tutumie maji tuliopewa na Mungu. Wakitaka vita pia na iwe, Ethiopia sio waoga. Ethiopia ndio nchi pekee ya kiafrika kuwacharaza vita na kuwashinda wakoloni wao. Hao wakoloni walishindwa kabisa kuidhibiti Ethiopia ikabidi wasalimu amri na kurudi kwao Italia.
 
Kwan unahisi ethiopia hana Fighter jets..? ..wote egypt na Ethiopia wanazo...ndo hvyo ni swala la ku negotiate sio vita...egypt akimwaga mboga/ugali ethiopia hatokubali watafanya hvyo
Hakuna Vita kati ya Ethiopia na Egypt...You can win the war but at the end loose the battle....Swali nije anachokipigania Egypt kipo nchini kwake...?? Kwani Dam mbili za river Nile zilipojengwa maji yalipungua Egypt...?? Kwanza ujazo wa maji ziwa Victoria umeongezeka...
 
IMG_1603639728.779941.jpg
 
Inajiitaje basi
Mbona waogopa
😂😂😂😂😂huyu jamaa ni punguani!😂😂 eti hiyo ni suburb, a combined village residentials anaita "kubwa"😂😂, Mombasa Nyali estate pekee is even bigger than the whole Mwanza's CBD area!😂😂😂 ni ilee u cannot get a whole pic kwa pamoja😂😂😂, Mombasa ni Dar kimpango. Mwanza Eldoret gave it a knockout, fair n square😂😂😂 eti 2nd city!😂😂.,
A ka section of pwani old town residential area;
2598388_images.jpeg-37.jpg

tmp-cam-1252837129.jpg
 
Whaat! Hii ni taarifa ya kweli ama propaganda ya ku destroy Lissu? Hawa watu are secretive sana as a secret society sidhani it is too easy kujua members hivi hivi!., it has members from across political divide n high religious leaders n captains of industries., na hata wanafunzi wa vyuo vikuu., hii noma!
 
Wa misri ni waarabu waarabu hawajui maumivu.
hiyo vita ikipigwa ulimwengu utashangaa maajabu,wamisri watakavyo gala gazwa.

Any way hatuombei.maana EA itatikisika kwa kiasi fulani haswa kenya.
Kama hujui Egypt ifanye nini katika hili, sasa mbona unapinga pale Egypt pamoja na USA wakikubaliana kwamba njia pekee ilitobaki ni kulishambulia hilo bwawa?. Wewe na viongozi wa Egypt yupi anajua zaidi umuhimi na hasara za kulipua hilo bwawa?.

Ukweli ni kwamba, there ia no life in Egypt without water from river Nile", hilo bwawa la Aswan huko Egypt linategemea maji ya mto Nile. Kwa kifupi ni kwamba, maji ya mto Nile is a matter of life and death for 90% of Egyotians. Kama Ethiopia itaendelea kujaza bila kufikia makubaliano, Egypt haina "option" isipokua ni kulipiga MABOMU.

Kama Abiy Ahmed ataamua kujibu mapigo kwa kuipiga Egypt badala ya kurudi katika meza ya mazungumzo, atakua ameisaidia Egypt kuichakaza Ethiopia na kuliharibu kabisa hilo bwawa kiasi kushindikana kabisa kufanyika ukarabati siku zijazo. Ni matumaini yangu kwamba Ethiopia itasalimu amri mapema na kurudi katika meza ya mazungumzo kabla ya kudhalilishwa katika vita ambavyo nafasi ya Ethiopia kushinda ni ndogo sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
huyu jamaa ni punguani! eti hiyo ni suburb, a combined village residentials anaita "kubwa", Mombasa Nyali estate pekee is even bigger than the whole Mwanza's CBD area! ni ilee u cannot get a whole pic kwa pamoja, Mombasa ni Dar kimpango. Mwanza Eldoret gave it a knockout, fair n square eti 2nd city!.,
A ka section of pwani old town residential area;
View attachment 1611744
View attachment 1611745
Si waelewa tena, nadhani utakua umeshanielewa
FB_IMG_16035339691414034.jpg
 
Kama mombasa ni dar basi Nairobi ni Arusha, na kisumu ni Moshi. Eti mombasa ivi haya magofu hata ya zanzibar yana nafuuu, Nairobi yenyewe inajitafuta kuifikia dar ndo uje kutaja kijiji chenu cha mombasa mgofu matupu.1
Screenshot_20201025-190632_Chrome.jpg
IMG_9904-e1517818214955.jpg
zoom hii picha kama utaona magofu
 
5sJJBWQ.jpg



BUSINESS

Uganda Starts Construction Of Logistics Hub Near South Sudan Border​

0d01548a3462d6c92048ad591a6dac18

Published
1 day ago
on
October 24, 2020
By
Staff Writer
gery.jpg

Business between South Sudan and other east African countries downstream is expected to become much easier when Uganda completes construction of a modern logistics hub just closer to the border with its northern neighbour.

Uganda’s President Yoweri Museveni is expected in Gulu district in Northern Uganda to grace the ground-breaking of the €7.76 million Gulu Logistics Hub and the €47.6 million Tororo Gulu Railway rehabilitation.

According to the design, Gulu Logistics Hub will consist of Custom Offices, Container Cleaning & repair, Gate Complex, Railway Siding, Vehicle Holding Area and Traffic Flows, Perimeter Walls, Access Road, Weigh in Motion Bridge, Container Freight Station(CFS), Administration Complex and others.

The European Commission in Uganda said, “We are funding the projects with the government of Uganda, the United Kingdom through Trade Mark East Africa to reinstate the railway and improve logistics efficiency.”

During the four-year military campaign led by Museveni who deposed President Militon Obote, the locomotive railway line was destroyed and looted causing a devastating injury to Uganda’s economy which resulted in high transportation costs for both goods and services. Museveni’s government has only been focused on road transport that is extremely costly for business.

The Gulu Logistics Hub will serve the trade corridors of Kampala, Gulu, Elegu/Nimule, Juba Trade Corridor and Gulu – Packwach Goli,Padea,Lia,Vura DRC Trade Corridor. It is expected to significantly reduce barriers to trade for northern Uganda and her neighbors particularly South Sudan, eastern DR Congo and parts of north western Kenya.

Damali Ssali , the Country Director representing Trade Mark East Africa in Uganda said earlier that the significance of this facility is trade development; working as a goods and cargo store for Northern Uganda, West Nile, South Sudan and Democratic Republic of Congo.

The site was handed over to the contractor on 21st February 2020 and construction commenced in May 2020. The first phase focuses on establishment of a large portion of the hard infrastructure required and is envisaged to be completed by mid-2021.


MY TAKE
Wa LAPSSET mpo?
 
Back
Top Bottom