komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,646
Hutaki sio..nengua basirudi page za nyuma alipost ndugu yako ya naivasha
Hutaki sio..nengua basirudi page za nyuma alipost ndugu yako ya naivasha
Kwn uhuru hku ndio hajaenda manderaWanajeshi na sio raia sio
rudi page za nyuma mbona rahisi tu ππHutaki sio..nengua basi
na unaeza kuta ni loan also πππwanavaa nguo zinakaa overall!
Wacha ligi zisizo na kichwa wala miguu! Utumwa ulikuwapo kila mahali hata nchi za kifalme! Huwezi kui-discredit the US kwa utumwa halafu ukaiacha UK au nchi yoyote duniani kipindi hicho!Tusisahau kuwa maendeleo hayo hayakuletwa na "domokrasia" bali udikteta wa hali ya juu, tena kwa miaka zaidi ya 200 ya free labor (utumwa). Pia wanawake hawakuruhusiwa kupiga kura mpaka 1920.
Ngoja nichunguze Mchina anaweza akawa kausika!na unaeza kuta ni loan also πππ
Huwezi manake walijua hilo ndio manake unakwepa nisikukamaterudi page za nyuma mbona rahisi tu
Ama wacha nikusaidie,rudi page za nyuma mbona rahisi tu
Exactly MkuuTusisahau kuwa maendeleo hayo hayakuletwa na "domokrasia" bali udikteta wa hali ya juu, tena kwa miaka zaidi ya 200 ya free labor (utumwa). Pia wanawake hawakuruhusiwa kupiga kura mpaka 1920.
Wala usijali, ataenda tu na atahutubia wananchi. Na kuhusu hao wahuni tunawasambaratisha na wanasahaulika kwenye uso wa dunia mileleKwn uhuru hku ndio hajaenda mandera
Hapana mzee hebu pitia source zako vzr.
Hili me mwenyewe nalijua, Bukoba ni soko zuri la AirtanzaniaHapana mzee hebu pitia source zako vzr.
Hizo data ulizoleta zinaishia mwaka 2013 . bukoba airport kabla hata haijajengwa . bukoba kulikuwa na airstrip ndogo Tu na ndege ndogo ndo zilizokuwa zinatua Tu hapo.
Na abiria wengi wa bukoba waliishia mwanza na kupanda meli.
Lakini baada ya uwanja kujengwa na kupanuliwa na kuwa na runway 1.7 km ( na upanuzi bado unaendelea ili walau ufikie 2 na ushee km . Kuna nyumba zimewekewa X) abiria wa bukoba wamekuwa wengi zaidi na Kwa sasa ni moja ya busiest airport in Tanzania.
Mashirika ya airTanzania, precision na auric yanaenda mara mbilimbili bukoba kila siku. Na Hadi fastjet walishaanza kwenda bukoba kabla hawajafirisika.
Tanzania hapa takwimu kutoka TAA bukoba ni uwanja wa Tatu Tanzania Kwa daily abiria Kwa viwanja vya ndani Tanzania bara.
View attachment 1610092
Sasa hiv mambo yamebadilika pia.
sina muda wakubishana na mpuuziHuwezi manake walijua hilo ndio manake unakwepa nisikukamate
Siku ukileta jina la hyo suburb uliyotuma picha zake
na hii ushuzi utasema km ngap πππππππππAma wacha nikusaidie,
Kati ya hzo pichwa umeleta nakujisifia ya kwamba ndio suburb kubwa mwanza..
Ni gani hapoView attachment 1610020View attachment 1610021
hii umesahau panaitwa nyegezi kuna suburb za hatarii iweke na yenyeweππππππAma wacha nikusaidie,
Kati ya hzo pichwa umeleta nakujisifia ya kwamba ndio suburb kubwa mwanza..
Ni gani hapoView attachment 1610020View attachment 1610021
umesahau na hii igoma mwanza kuna balaa hukoπππππ naona ulikakarishwaAma wacha nikusaidie,
Kati ya hzo pichwa umeleta nakujisifia ya kwamba ndio suburb kubwa mwanza..
Ni gani hapoView attachment 1610020View attachment 1610021
ukasahau na huu mji mpya πππππππAma wacha nikusaidie,
Kati ya hzo pichwa umeleta nakujisifia ya kwamba ndio suburb kubwa mwanza..
Ni gani hapoView attachment 1610020View attachment 1610021
ukasahau na airport area kuna suburb za kutosha tu ww tu na roho yakoπππAma wacha nikusaidie,
Kati ya hzo pichwa umeleta nakujisifia ya kwamba ndio suburb kubwa mwanza..
Ni gani hapoView attachment 1610020View attachment 1610021