maneno 10 ya mkenya chukua moja uondoke si kila siku nakwambia bro😀😀Wakenya hivi kufake data mpaka mnakua aibu kiasi hiki ni kwa faida gani?
Organizations kubwa duniani zinaishangaa Kenya yenye less than faked 11k kilometres kuclaim kwamba wana kilometres 25k 🤣🤣🤣
Wamesema wakitoka hapa wanaingia kwenye GDP
A tale of twists and turns in Kenyatta’s claims about improving Kenya’s roads | Africa Check
Swali la WB hili unawapa hawa vilaza low IQ hawawezi kukujibu.Ngoja wewe na mwezio Teargass niwaonesha kasoro iliyopo ya nadharia ya kuweka nchi zote kwenye kapu moja la umaskini kwa kigezo cha kupata chini ya $1.90 kwa siku.
Kama dhumuni la pesa ni kununua, swali la kujiuliza ni je, hiyo $1.90 inaweza kununua nini?
kama kuna nchi 'A' ambayo $0.99 inanunua milo miwili ya siku na nchi 'B' $3 haiwezi hata kununua mlo mmoja, utamuitaje mtu wa nchi 'A' masikini wakati anaweza kupata chakula kwa $0.99? Utatumiaje kigezo cha $1.90 kuelezea umaskini wa nchi zote mbili?
Je, hamuoni kuwa yule wa nchi 'B' asiyeweza kula kwa $3 ndiyo masikini kwasababu inabidi apate msaada wa chakula?
Swali la WB hili unawapa hawa vilaza low IQ hawawezi kukujibu.
Hii kazi Kenya haiwezi, wakiona hivi ili kupambana na Tanzania ni kuongeza sifuri tu mchezo umeisha 😀😀Naon vipande vinavyo unganishwa na Tanzanite bridge vinaonyesh mabadiliko makubwaView attachment 1606961View attachment 1606965View attachment 1606968
Hahahaha hata hilo 1 usichukue kwa usalama wako, Rais mzima anadanganya kwenye jua la saa 7 ni laana hiimaneno 10 ya mkenya chukua moja uondoke si kila siku nakwambia bro😀😀
Inaelekea wewe ni mtaalamu wa picha sana, ukipata muda na ukiweza jaribu kupiga picha hilo eneo kwenye picha uliyoweka ukiwa unatokea fire ukiwa Mataa ya Umoja wa Vijana kuanzia hilo eneo kwa mbele kuna muonekano mzuri sana wa hilo eneo ulilolipiga, ...
Fungulia uzi hiiWakenya hivi kufake data mpaka mnakua aibu kiasi hiki ni kwa faida gani?
Organizations kubwa duniani zinaishangaa Kenya yenye less than faked 11k kilometres kuclaim kwamba wana kilometres 25k
Wamesema wakitoka hapa wanaingia kwenye GDP
A tale of twists and turns in Kenyatta’s claims about improving Kenya’s roads | Africa Check
Naon vipande vinavyo unganishwa na Tanzanite bridge vinaonyesh mabadiliko makubwaView attachment 1606961View attachment 1606965View attachment 1606968
😂😂😂😂😂 nchi inanjaa sana sasa wanajimaliza wenyewe
Umbwa wewe mamako ndio malaya.Usijaribu kunitusi tena.What do u have apart from ua sagging balls.Gasiya weweOna hii malayaka ss pesa kutumiwa na GoT ww inakuuma nn? Kuna kodi yako apo?
Original video ilikuwa ni hii hapa, huwa naibia ibia kispaniola, nilipoiona nilishangaa sana jamaa alivyokuwa anadanganya.Yani jamaa kwenye hiyo video kaongea lies yani mpaka inatisha. Yani hata ndugu zetu wa kunyaland hawawezi ongea uongo wa hali ile kuhusu sisi. I suspect an insider gave him those fake infos so that they just attain their political goal.
Look at the clips he used . It must me a Tanzanian traitor who gave him such videos. I feel sorry for the guy and that traitor. Sisi tunasonga mbele tu! !
52% ya deni la Kenya ni deni la nje, wacha kudanganya watuIn fact na ujinga wao hawajui nusu ya deni letu inamilikiwa na benki za Kenya. Internal borrowing is far much better than external na ndio maana JAPAN debt to GDP ratio yao ni karibia asilimia 200.
Wanashangaa profits za benki zetu huishia wapi. Wao hata mabenki haziwezi kopesha GoT
Lanes bana! LANES.
Ati battle.. WHAT BATTLE? HAHAHAHA