Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We bwege ulikuwa slum gani wakati wamsumbiji wanaua na kubaka watz na kuchoma mali zao hadi mkatucheka hapa jf wacha magaidi wawanyoroshe hao msumbiji Kwanza ni faida kwa gesi yetu tz ni Kama Kenya ilivyo kosa bomba la mafuta ya Uganda moja ya sababu ni ugaidi sasa na yanayo tokea msumbiji ni faida kwa tz kuhusu ujenzi wa kuchakata gesi Kati ya msumbiji au tz maana kunakaushindani kidogo

Sent from my TECNO SA1 using JamiiForums mobile app
Roho ya Ibilisi shetani mwenyewe.😂😂 😉😂😂 nenda ukatolewe mazingaumbwe ume fungwa wewe 😂😂😂😂 ona ulivyo mshenzi!
 
Oyaa wadaslam mnazingua ..kubalini nairobi ni pazuri mara kumi kushinda dar ..pale ni international city wakati dar bado ni "kijiji cha wavuvi" hahaha siyo mimi walisema wale "first grade" a.k.a watu weupee ..sisi ni nani tubishe😀😀😀

Uko kwa mataifa hawajui kama kuna kajiji kanaitwa dar ..wewe uko zako uko buza au tandale kwa tumbo kazi kupumuliana hewa chafu na mitaro yenye kinyesi imepita katikati ya nyumba eti unaanza kuiponda Nairobi, pumbavu kabisa..

Wewe pangu pakavu hata nje ya bongo ujawahi kwenda unaanzaje kufananisha Nairobi na dirty city kama dar?? Zile slums pengine ni mkakati zimeachwa huoni Hollywood wanatimba kucheza movies nyingi tu maeneo yale?

Nyie mmekalia kujazana ujinga tu huku eti Dar ni zaidi ya Nairobi pumbavu kabisa.. tuulize sisi tuliosafiri miji kadhaa hapa Africa, siyo unaleta vipicha vya flaiova mmedanganywa na raisi wenu viflaiova vya kilometer mbili mnafanisha na Nairobi.

Safisheni kwanza hicho kijiji cha wavuvi punguzeni mafoleni ya kikupambavu siyo mnajisifu nayo ..mnapoteza muda tu

Hii serikali ya ccm haiwezi kufanya dar ikawaya kimataifa ..mtaendela kujazana ujinga tu hapa.
 

#Tunaendelea kupika GDP data licha ya siasa 😉😂😂😂​


Optimism as Kenya embarks on technology driven development agenda​

WRITTEN BY:Nicholas Kigondu
October 17, 2020 15:24
24
President Kenyatta has expressed confidence that through the brilliant young people’s innovations, the country is achieving its goal of digitizing the economy

Kenya appears set on a journey towards becoming a regional manufacturing hub with the launch of a host of technological industrialization projects aimed at providing local solutions, enhancing efficiency and transparency.
The aspiration was on display Friday at the Kenya Wildlife Service Law Enforcement Academy in Manyani, Taita Taveta County, where innovations by young Kenyan techies was showcased.
Ranging from geospatial, airborne geophysical, cyber and national security industrialization projects that included guns and drones, Kenyans were treated to what until now was a classified government project whose potential could propel the country to the next level of development.

Dubbed “For Kenya by Kenyans” the exhibition offered a sneak preview of the country’s ambition to develop sophisticated technologies to address local challenges without overreliance on foreign actors.
uhuru-manyani-cs-1024x768.jpg
The project has brought together professional, innovative and creative Kenyans drawn from government departments and graduates from the job market.
During a guided tour at the exhibition, President Uhuru Kenyatta would declare the project a game changer in the country’s development aspirations. “Indeed, Kenya will be clearly set on the path of true transformation and transformation that is not imported but built and developed by our own young people. This is something that I am truly proud of,” the President said.

The mega project, implemented through a multi-agency team that has brought together at least 800 professionals, has tapped into a diversification of knowledge in what its crafters say is a government quest to embrace and leverage on technology in its development agenda. The initiative is being undertaken through the Nationwide Airborne Geophysical Survey, the Geospatial project, National Cyber Security Project and the National Security Industrialization Project.
uhuru-manyani-maps.jpg
The geospatial maps and underground mapping will provide critical data that will inform government’s development agenda
The model by Kenyans for Kenyans seeks to promote national self-reliance, secure the integrity of critical information, create dynamic approaches to defence and spur industrialization. The country is already reaping from the benefits of the project with the team having already developed systems that have been in use during key government programmes including Huduma Namba registration as well as last year’s national population census exercise.
Also Read FOCAC: Two decades of a shared journey toward new heights
The team has already conducted grid mapping under the geospatial and geophysical survey projects providing the country with up-to-date and accurate data with the country previously having to rely on maps that were developed in the 1960’s and whose accuracy was in question. The data will provide the country with critical information on its natural resources which could be exploited for the country’s economic development.
Other innovative systems include the Taifa pay, a locally developed universal payment gateway solution that offers payment gateway services to government and the Nairobi revenue system that seeks to empower the national and county governments enhance collection from citizens, institutions and organizations.
Also Read Kenya, USA target anti-money laundering collaboration in trade talks
The team has also developed an application that aggregates and harmonizes data from various sources in different formats dubbed big blue, a case management system that allows the thirteen DCI units to effectively manage and collaborate on cases, a digital offense booking system as well as a system that automates minor offense booking process between the national police service and offenders known as Faini.
uhuru-manyani-girl-gun-768x1024.jpg
With an effective range of 400 meters and the capacity to fire 700-900 rounds of ammunition, the CM-4 is touted as an effective modern-day weapon
And with Kenya among the worst affected countries by cybercrime in Africa, the team has developed a digital forensic laboratory. This besides the production of the CM-4 assault rifle with an effective range of 400 meters and the capacity to fire 700-900 rounds of ammunition per minute. Through the initiative, the country has also managed to develop its own unmanned aerial vehicle as part of ongoing efforts to enhance its defence capabilities.
 
Oyaa wadaslam mnazingua ..kubalini nairobi ni pazuri mara kumi kushinda dar ..pale ni international city wakati dar bado ni "kijiji cha wavuvi" hahaha siyo mimi walisema wale "first grade" a.k.a watu weupee ..sisi ni nani tubishe

Uko kwa mataifa hawajui kama kuna kajiji kanaitwa dar ..wewe uko zako uko buza au tandale kwa tumbo kazi kupumuliana hewa chafu na mitaro yenye kinyesi imepita katikati ya nyumba eti unaanza kuiponda Nairobi, pumbavu kabisa..

Wewe pangu pakavu hata nje ya bongo ujawahi kwenda unaanzaje kufananisha Nairobi na dirty city kama dar?? Zile slums pengine ni mkakati zimeachwa huoni Hollywood wanatimba kucheza movies nyingi tu maeneo yale?

Nyie mmekalia kujazana ujinga tu huku eti Dar ni zaidi ya Nairobi pumbavu kabisa.. tuulize sisi tuliosafiri miji kadhaa hapa Africa, siyo unaleta vipicha vya flaiova mmedanganywa na raisi wenu viflaiova vya kilometer mbili mnafanisha na Nairobi.

Safisheni kwanza hicho kijiji cha wavuvi punguzeni mafoleni ya kikupambavu siyo mnajisifu nayo ..mnapoteza muda tu

Hii serikali ya ccm haiwezi kufanya dar ikawaya kimataifa ..mtaendela kujazana ujinga tu hapa.
we haujatembea huna lolote,ushazoea kusimuliwa na kuyasikia

huku umekosea njia siyo mahala pako,,,,nenda kwenye uzi wa chit chat kule ndiyo kunakufaa....

hii ni sehemu ya great thinker watu wanaojielewa na kuishi kwa fact...
 
Revenue ya $1.5billion(ksh 150B) ndio kubwa kuliko safaricom?😂😂😂😉 sevice revenue ya Safcom ni around Ksh.240B wewe unapiga kifua na 150B!., 😂😂😂 sometimes it is wise kupita kimya kimya
Kuna companies nyingine kushabikia their big revenues kama lowlife citizen kama wewe ni aibu, safaricom inawatapeli kutokana na kuwa na expensive tariffs kuliko mtandao wowote ukanda huu

Ninyi mpo wachache sana wenye access na internet na wenye uwezo wa kugharamia ughali wa mawasiliano lakini mna revenues kubwa, huoni kama they are milking you dry? 😅😅😅
 
we haujatembea huna lolote,ushazoea kusimuliwa na kuyasikia

huku umekosea njia siyo mahala pako,,,,nenda kwenye uzi wa chit chat kule ndiyo kunakufaa....

hii ni sehemu ya great thinker watu wanaojielewa na kuishi kwa fact...
Hujui chochote wewe nimefanya kazi ya kuwa tan boy nimezunguka na ma truck ya mizigo miaka ya 2016 had 2018 nimetembea miji kadhaa kama Maputo, Lusaka, Bujumbura, Kigali, Nairobi ndo usiseme, Hapo dar nimekaa sana hakuna lolote labda stahere tu nimekula dada zenu sana tu ..Kampala, Jinja, Entebbe, Kisumu, Mombasa, Lamu pote huko Kinshasa-Congo nimepeleka mahindi huko sana tu ..na sijaona jiji kama NAIROBI aise ..piga ua DAR ni takataka tu..
Niliachaga iyo kazi baada ya kutaka kupiga dili moja la kutorosha sukari (ile ya viwandani) tani kadhaa ambapo ningepiga kama M35-40 ila yule mzee wa kizaramo wa Daslam mpumbavu sana alijikuta ameshika dini hadi leo ni masikini na kampuni imemtelekeza ..alizingua kinoma dah ..leo ningekuwa mbali sana kimaisha.
 
Lakini bandwagons huwa hawapendi ukweli.Ccm imewabeba ufala sana hadi ni ngumu kwao kuona ukweli.The problem with them is that they are their own problems
Oyaa wadaslam mnazingua ..kubalini nairobi ni pazuri mara kumi kushinda dar ..pale ni international city wakati dar bado ni "kijiji cha wavuvi" hahaha siyo mimi walisema wale "first grade" a.k.a watu weupee ..sisi ni nani tubishe😀😀😀

Uko kwa mataifa hawajui kama kuna kajiji kanaitwa dar ..wewe uko zako uko buza au tandale kwa tumbo kazi kupumuliana hewa chafu na mitaro yenye kinyesi imepita katikati ya nyumba eti unaanza kuiponda Nairobi, pumbavu kabisa..

Wewe pangu pakavu hata nje ya bongo ujawahi kwenda unaanzaje kufananisha Nairobi na dirty city kama dar?? Zile slums pengine ni mkakati zimeachwa huoni Hollywood wanatimba kucheza movies nyingi tu maeneo yale?

Nyie mmekalia kujazana ujinga tu huku eti Dar ni zaidi ya Nairobi pumbavu kabisa.. tuulize sisi tuliosafiri miji kadhaa hapa Africa, siyo unaleta vipicha vya flaiova mmedanganywa na raisi wenu viflaiova vya kilometer mbili mnafanisha na Nairobi.

Safisheni kwanza hicho kijiji cha wavuvi punguzeni mafoleni ya kikupambavu siyo mnajisifu nayo ..mnapoteza muda tu

Hii serikali ya ccm haiwezi kufanya dar ikawaya kimataifa ..mtaendela kujazana ujinga tu hapa.
 
Hujui chochote wewe nimefanya kazi ya kuwa tan boy nimezunguka na ma truck ya mizigo miaka ya 2016 had 2018 nimetembea miji kadhaa kama Maputo, Lusaka, Bujumbura, Kigali, Nairobi ndo usiseme, Hapo dar nimekaa sana hakuna lolote labda stahere tu nimekula dada zenu sana tu ..Kampala, Jinja, Entebbe, Kisumu, Mombasa, Lamu pote huko Kinshasa-Congo nimepeleka mahindi huko sana tu ..na sijaona jiji kama NAIROBI aise ..piga ua DAR ni takataka tu..
Niliachaga iyo kazi baada ya kutaka kupiga dili moja la kutorosha sukari (ile ya viwandani) tani kadhaa ambapo ningepiga kama M35-40 ila yule mzee wa kizaramo wa Daslam mpumbavu sana alijikuta ameshika dini hadi leo ni masikini na kampuni imemtelekeza ..alizingua kinoma dah ..leo ningekuwa mbali sana kimaisha.
pole sana utatoka tu mkuu,,lakini umesahau miji kadhaa mingine uliyotembelea kama chicago,singapore,beijing na texas maana niliwahi kukuona ukiwa unatafuta dili....


ila dah akili ya mtazamo wako kikauli inakuonyesha kabisa kuwa wewe ni mtu wa aina gani...
usitumie nguvu nyingi kama kijana bado unasafari pambania maisha yako ,kuliko kuongea usivyovijua kiroho safi
 
Kuna companies nyingine kushabikia their big revenues kama lowlife citizen kama wewe ni aibu, safaricom inawatapeli kutokana na kuwa na expensive tariffs kuliko mtandao wowote ukanda huu

Ninyi mpo wachache sana wenye access na internet na wenye uwezo wa kugharamia ughali wa mawasiliano lakini mna revenues kubwa, huoni kama they are milking you dry? 😅😅😅
kwanza muuulize hio kampuni shareholders sio anafurahia tu 😂😂👇👇
EC384AE2-B39B-4AF4-9DCE-67AC8FE09B5F.jpeg
 
😂😂😂😂povuuu! Outside Nairobi tunatamba mdogo mdogo! Kimya kimya unaumwa ukiona any positive moves from Kenya😂😂😂 read loud n clear.., more loading..
unatamba kwa paper works au 😂😂😂 manake nairobi kwenyewe ushuzi unazungumzia nje yake
 
120 Reactions
Reply
Back
Top Bottom