Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,319
- 17,474
Kwa mama Samia na JPM mbali sana, hata yule mwanafizikia wetu wa ma protons na neutrons, mzee wa mkasi... hakuwahi kusema kitu Mbele ya JK.Hahahaha sasa wanaanza campaign kabla NEC yao haijawaruhusu?
Halafu Kenya ni ghetto republic yaani makamu wa Rais anainanga serikali anayoiongoza na Rais ambae ni mkuu wake 🤣🤣🤣 hivi mama Samia anaweza kumnanga Magu? 😂