1bn $ ndo itapendeza zaidiNchi inauzwa View attachment 1534691
Bila mnara hawatoboi watalingana na jengo la mkapa postaAngalia Ghorofa za Kenya kwa juu.. mmegundua nn
View attachment 1534704
Cbd dar banaRais wenu alienda kuzindua magari ya matank kama hayo usisahau
Kenya kupiga ngeli sio ajabu, kw sababu tangia chekechea lugha inayotumika sana ni kingereza..Natoka nje ya mada kidogo ila hili wazo litamake sense kidogo!
Chukulia wadada wa chuo hapa bongo wanavojishauaga kubonga ngeli kwenye madala dala au kwenye occasion yoyote TU ile ambayo hakuna ulazima wa kutumia code mixing au kuongea ngeli kabisa,Hawa wadada wao wanajikutaga zile Kama wapo New York fulan hivi mashauzi kibao kama wapo Hollywood fulani' hivi hata baadhi ya vyakula wanasusiaga kula lakini nyuma ya pazia wanavipiga najua mshawajua wadada wa dizain hii wa vyuo,hapa Ni sawa na kunyan kujua ngeli na sawa na Hawa warembo wetu wanadhani Lugha ndio kila kitu yaani Kuna ushamba fulani' hivi afu Dharau za kiboya Sana,Kunyan wengi Ni washamba Sana nilivofatilia hizi thread Kunyan washamba sana huenda tunabishana na watu hata Nai hawapajui,kiukweli ukitembelea kurasa nyingi iwe YouTube au sehem yoyote ile kipostiwe kitu Cha Tz lazima Kunyan wawepo kukandia sijajua labda Kuna mtaala shulen kwao wanfundishwaga namna ya kuiponda bongo afu sisi tunapeta tu,afu ukiwa bongo sisi uwa tunawasifia Sana nyie Kunyan Ila mmelewa sifa Sana! Sisi hatupigan kwa midomo Kama nyie tutakua tunaangusha mavituz tu mpaka heshima ije,napata shida ku-identify Kenyan gender humu social media kwasababu mnabonga Kama wadada wa code mixing umeona hiyo mijengo tuliopost,barabara,sijui airport hakuna janja janja tunatumia lugha ya Taifa Kiswahili pure Lugha haikufanyi wew usiwe Kunyan Kunyan Ni maasai tu anaejua English yenye accident ya kikamba,kijaruo na kimasai
PS. Nitapost video ya kibera baadae watu wanapiga ngeli ila nyumba Sasa
Umeoga lakini komoraCbd dar bana
Kisha eti juzi uliona lile lorry upper hill ukanengua sana, kumbe dar yanakatiza na nembo ya maji safi mpla cbd
Hzo ni screenshot boya wewe...tena utulie nakuletea HD sio MPG resoln kama uliyoleta wewe. moment please.twende kazi.
beggars hapo cbdView attachment 1534383
View attachment 1534384View attachment 1534385View attachment 1534386View attachment 1534387View attachment 1534388View attachment 1534389
umejaa hasira au unazikataa picha za jiji lenu??Hzo ni screenshot boya wewe...
Natumia wi-fi tena ya saf.
Nasubiria screenshots za video uliyonitumia
Hujaelewa nilichoandika wala sikuwa katika mfumo wa lugha kwa mantiki hiyo😂😂 Nani asiejuwa kuwa sisi English Ni second language bhanaKenya kupiga ngeli sio ajabu, kw sababu tangia chekechea lugha inayotumika sana ni kingereza..
Sasa wewe unaotakiwa kuwashangaa ni hao wadada wenu wa chuo, manake sasa ukiangalia mfumo wenu wa elimu english inakuja part2..kiufupi wao ndio wanashobo na kingenge
Meanwhile at kibera baby mkenya yoyote atafute video ya jijini dar-es-salaam angalau inayokaribia haya mazingira Nampa $120 chap
Umeanza kukimbia maandishi yako sasaHujaelewa nilichoandika wala sikuwa katika mfumo wa lugha kwa mantiki hiyo Nani asiejuwa kuwa sisi English Ni second language bhana
Nimechukulia mfano wa hao dada zetu na viherehere vyenu mtandaoni kujiita Giant of east Africa wakati ushuzi tu hamna kitu soma vizuri najua hujui lugha ya kifasihi ndio nilotumia hapo rudia mara mbili utaelewa
Hasira za nn na wakati unashinda na kitu simple tu..au huna mbsumejaa hasira au unazikataa picha za jiji lenu??
Kama Dar ina CBD. Wacha watupe street kama hii.Hasira za nn na wakati unashinda na kitu simple tu..au huna mbs
Kama Dar ina CBD. Wacha watupe street kama hii.
View attachment 1534842View attachment 1534843View attachment 1534845View attachment 1534847
Sasa wenye hilo jengo huishi vipi na vibanda mbele ya jumba lao!!??