Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,389
Focus on,focus upon,focus in,focus through.....focus with your life🚽🚽 nehiiii babujjjjPlease feel free to correct me..
Focus on,focus upon,focus in,focus through.....focus with your life🚽🚽 nehiiii babujjjjPlease feel free to correct me..
Your comment is awaiting moderation meaningDon't be shame welcome tu sant kayumba primary skuli
I gotchuFocus on,focus upon,focus in,focus through.....focus with your life nehiiii babujjjj
Picha zako ziko down kweliKuna watu wanatuletea majengo ambayo hayajaifikia hata msasani wanataka kupambanisha na KARIAKOO
View attachment 1527759
Wala usijali, nimescreenshot from danga episodes. Hayo mambo ya quality namuachia NDIDAPicha zako ziko down kweli
Hawa TAHA naona wanakuja vzr sn.
Wazoom wazumavyo ila wajue no slums in DarMabati kama hivi wakenya wanapendaga kujizolea points kwa kuchukua picha za mbali ila ukizoom hivi vitu kwa ground ni tofauti
View attachment 1527754
Safi sn, ila angelikuwa mshenzi mmoja anaitwa Teargass mngelikesha hapo, hii lugha ni ya wazungu imekuja tuu huku ss tusijifanye tunaijua sn, ni km wao ilivyo kiswahili hawawezi kukijua sn kuliko cc.I gotchu
kaka hii barabara bado haijawekewa uzito wa kutosha kwa sasa!!!!imetengewa pesa kidogo sana kwenye budget 2020/21 tena kwa ajili ya upembuzi, Tafuta hotuba ya bajeti ya mh. waziri nenda kwenye kiambatanisho namba 1,utaona wameigawanya mara mbili,sema ni barabara muhimu sana maana kwenye proposal ya JICA wameipropose kama ndo outer ring road ya jiji la Dar es Salaam na wameeleza umuhimu wake kwa msisitizo.Pia mimi naifuatilia sana ikiwemo na ile Toll road Dar-Chalinze expressway hii nilifikiri wameitoa kabisa baada ya kukosa wawekezaji ila bado ipo ikiwa na bajeti kiduchu kbs wadau walisanda baada ya SGR kuingia katikati.Mambo ya speculation.Iyo barabara wangap wana taarifa nayo zaidi. ..View attachment 1525869
Yah!!kuna vitu vidogo vidogo km hivi hata si vya kupigishiana kelekele..Safi sn, ila angelikuwa mshenzi mmoja anaitwa Teargass mngelikesha hapo, hii lugha ni ya wazungu imekuja tuu huku ss tusijifanye tunaijua sn, ni km wao ilivyo kiswahili hawawezi kukijua sn kuliko cc.
Haaaa umekubali eeeh!!Yah!!kuna vitu vidogo vidogo km hivi hata si vya kupigishiana kelekele..
Watu hupitikiwa na hukosea pia