Kuna daraja nimeliona hapo watu fulani fulani kule kwao wanaita interchange
Kuna daraja nimeliona hapo watu fulani fulani kule kwao wanaita interchange
I think they want us to quation there thinking capacityKuna daraja nimeliona hapo watu fulani fulani kule kwao wanaita interchange
Magu kafanya mengi sana ambayo badae am sure yatajibu tu, hususani kwny hizi nyanja mbili za Ajira na Afya, kote huko kapita;
sasa kama hayo hio barabara si yako zaidi ya matano naskia ...Kuna daraja nimeliona hapo watu fulani fulani kule kwao wanaita interchange
Haya yanajengwa mikoa kama 7 hivi zones za kujifadi chakula yana cost around 110 bil Tsh...yataongeza capacity kwa tani laki tano..kwa NFRA ..
Ni kama ulivyosema ni concept tu ..haina issue yoyote..mipango ya Budget ya mwaka huu ni kuanza kulipa kwa ajili ya 787-8 dreamliner nyigine mbiliNimeikuta sehemu sijaielewa, ila nahisi itakuwa ni editing tu, but mwenye info atupeView attachment 1469295
Pia kuna ile ya mizigo767Ni kama ulivyosema ni concept tu ..haina issue yoyote..mipango ya Budget ya mwaka huu ni kuanza kulipa kwa ajili ya 787-8 dreamliner nyigine mbili
#shotoniphone
Soon New Selander bridge/ Tanzanite bridge likikamilika picha za hapo zitakuwa awesome sana
Nimeikuta sehemu sijaielewa, ila nahisi itakuwa ni editing tu, but mwenye info atupeView attachment 1469295
The Bridge Will be the most photographed kuliko Kigamboni, Liko photography Friendly .
View attachment 1469299
View attachment 1469300
Yah ni concept, ila imekaa vizuri inapendezaNi Concept.
Hizi picha zinamuogopesha sana jirani. Natumai watafanya hivyohivyo kwenye upanuzi wa Mwenge Bunju