Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,185
- 79,366
Tunawapa mwezi huu tu kama raia hawajaingia mitaani kutafuta vyakula
asante mseven
hahahaha😂😂😂👇👇
sawasawa
nchi ya wapumbavu hii sijapata kuona😁😁😁😁😁😁👍
Jumapili baada ya kumshukuru Mungu kutuepusha na Corona tunafanya yetu
View attachment 1454419
kwahiyo wao wako exempted kuvunja nyumba hata baada ya Uhuru kutaka watu wakae ndani kuanzia saaa 12 jioni! Hizi bangi za Uhuru mbaya sasa wanaovunjiwa watakuwa vipi ndani kama nyumba inavunjwa?wenye mamlaka!
Mbezi Luis vipi?doro sanaDodoma Bus stand
Hatua za mwisho mwishoView attachment 1454883View attachment 1454884View attachment 1454885
Sent using Jamii Forums mobile app
Dodoma Bus stand
Hatua za mwisho mwishoView attachment 1454883View attachment 1454884View attachment 1454885
Sent using Jamii Forums mobile app