Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

34 floors × 8 coming up at once. The building is still in the excavation stage.
tapatalk_1570654109275.jpeg
 
The third tallest building in East Africa at 184m after Britam 200m and Bank of Ethiopia 196m.
f769b42d4d20d1f9fe1dd0005e4be90c.jpeg
 
Kibera is located in a valley and will flood year in year out. Show me any of those places you posted above kama zimeflood 2019. I'm waiting.
Kwani ujasoma hapo kuwa ni ya tarehe ngapi au unataka mpaka mimi ni kuoneshee.acha uvivu soma hapo kwenye hizo picha.

Na ishu ya kibera kulocate in valley haihusiani na mada inayoongelewa hapo.kwani unataka kusema maeneo yote yaliyo na valley duniani yanakuwa na mafuriko kila mwaka?
Screenshot_20191010-001445.jpeg
Screenshot_20191010-001544.jpeg
 
Wacha wajikaze na hopes. Blind patriotism at its best. Nashangaa wanashabikia vitu basic sana hata nikajiambia kweli waKenya tuko blessed sana ila hatuoni. Lakini I think ni media PR imekuwa ikichocha hizi project za JPM sana bila any criticism ndiposa wanapiga mdomo sana.
Huko you don't dare to criticize anything. Uliza Tundu Lisu yaliyompata
 
Kwa hilo wewe sahau karibia kila raia watz anamiliki ardhi na nyumba yake ya standard.na ishu kama hii huwezi kuikuta kwa kenya ndo maana mlikuwa mnaililia ardhi yetu coz huko kwenu serikali ndo imemiliki
[/QUOTE]Thibitisha kauli yako kama ardhi ya dar au tz n ya ccm au ndo unaropoka pumba zako husizozijua.


Yaan unataka kulinganisha wanachofanyiwa kenya ni sawa na tz.in tz kl raia ana haki ya kumiliki ardhi na akajenga nyumba yake.


Na hata hivyo tuna shirika la nyumba ya taifa linaloitwa NHC ambao wanapangisha na kuuza nyumba walizojenga wao wenyewe


In kenya raia hana mamlaka ya kumiliki ardhi mmekuwa watumwa kwenye ardhi yenu yenyewe
[/QUOTE]

Wewe itabidi upunguze unywaji wa konyagi, inakupeleka pabaya. Aliyekuambia mkenya haha mamlaka ya kumiliki ardhi ni nani? Ama ilisoma hiyo taarifa wapi? I think this is a case of the pot calling the kettle black. Wewe hapo unakodishiwa ardhi na serikali yenu "tukufu" sisiemu kwa kipindi cha miaka 33, 66 au 99 (kulingana na uwezo wako) wakati mimi ninamiliki ardhi FOR LIFE tena niko hadi na tittle deed. Sasa Kati yangu na wewe nani hana mamlaka ya kumiliki ardhi ndani ya nchi yake?
 

Hizo article hazipo tena google..washa zitoa 😂😂😂😂.. eti “according to United nation estimates” akuna ata reference.😂. yani kabisa alie tengeneza hizo article ni mkenya... google ina bidi iwe ina chambua sasa article za watu wengine coz mnaichafulia jina. Mna wafukizia wateja. Nyie pambaneni na slums zenu.. it is what it is. Tena mnatakiwa mfuraie ina waingizia mapato, it’s a tourist attraction 😂😂
 
Back
Top Bottom