Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 16,544
- 11,223
Safari ya Mumbai ilifika wapi? Mbonsiku hizi hatupashwi taarifa. Ama ndege bado inapumzisha mwili??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametushika wapi wakati gap Kati yetu na nyinyi yazidi kupanuka?Dictator kwenu na sio kwetu wewe endele kulia tu maana kawashika pabaya sana huyu jamaa hamulali wala hamupumuiππππ
ππππππSafari ya Mumbai ilifika wapi? Mbonsiku hizi hatupashwi taarifa. Ama ndege bado inapumzisha mwili??
Inapanuliwa na madeniπππ 60% debt to GDP ratio alaf unasema inapanukaππAmetushika wapi wakati gap Kati yetu na nyinyi yazidi kupanuka?
ππππππππHuyu jamaa anawazungusha vichwa mibongolala atakavyo. Akisema uchumi imekuwa kwa asilimia mia moja wanabaki tu kupiga makofi Kama robots na Kuimba nyimbo za kusifu sisiemu na magu
Inapanuliwa na madeniπππ 60% debt to GDP ratio alaf unasema inapanukaππ
Unafananisha america na kenya ππππ unafananisha developed country na developing country nenda kapimwe mkojo wewe unaeza kuta una gene za sokweYou need to get informed, America has a debt to GDP ratio if 101%. Najua huko Mwananyamala hamjui haya mambo lakini habari ndio hiyo. Karibuni nifike angalau $70b gdp. Hapo tunaweza kaa meza moja tuongee. Lakini kwa sasa bandit sana
Unafananisha america na kenya ππππ unafananisha developed country na developing country nenda kapimwe mkojo wewe unaeza kuta una gene za sokwe
America wako mbele miaka 300 zaidi yenu unajifanajisha na america mbuzi kweli ww
Kiboko wenu huyu hapaπππ
Nani ameringanisha ww unafananisha developed city na developing city tumia akili ya kuzaliwa nairobi na dar zote ni developing cityOh really??? Sasa umesahau mnavyolinganisha hicho kijiji chenu cha udwanzi na New York kila kuchao hapa? (New York of Africa π π π) Je hamjuangi NY is a developed City to compare with that glorified fishing village of yours? Karma is a bi**h. And by the way, I wasnt comparing Kenya with USA, I want just trying to enlighten you kidogo
Ni mara ngapi hapa mumeleta screaming captions za "New York of Africa"? Mara sijui Los Angeles! Kwanza wewe umebobea kwenye hii ujinga sana! mkionyesha zile three blue towers huwa mnashikwa na goosebumps sanaNani ameringanisha ww unafananisha developed city na developing city tumia akili ya kuzaliwa nairobi na dar zote ni developing city
Nyie ndio hua munaringanisha dar na newyork in size area wakat munajua kabida newyork ni developed city wakat dar nairobi ni developing acheni upuuzi na wivu wa kike nyie siku zote tunawajua hamuepndi kuona maendeleo kwenye nchi zingine hasa tanzania lakini safari hii mutalia kilio cha mbwa kokoππππNi mara ngapi hapa mumeleta screaming captions za "New York of Africa"? Mara sijui Los Angeles! Kwanza wewe umebobea kwenye hii ujinga sana! mkionyesha zile three blue towers huwa mnashikwa na goosebumps sana
Nyie ndio hua munaringanisha dar na newyork in size area wakat munajua kabida newyork ni developed city wakat dar nairobi ni developing acheni upuuzi na wivu wa kike nyie siku zote tunawajua hamuepndi kuona maendeleo kwenye nchi zingine hasa tanzania lakini safari hii mutalia kilio cha mbwa koko
Chuki zitasaidia nn lazma wakubaliane na ukweli hakuna namna ya kukwepa πππHawapendi kuona maendeleo ya Tz that's why chuki Zimezidi sana kipindi hichi
Chuki zitasaidia nn lazma wakubaliane na ukweli hakuna namna ya kukwepa
πππππππππOh really??? Sasa umesahau mnavyolinganisha hicho kijiji chenu cha udwanzi na New York kila kuchao hapa? (New York of Africa π π π) Je hamjuangi NY is a developed City to compare with that glorified fishing village of yours? Karma is a bi**h. And by the way, I wasnt comparing Kenya with USA, I want just trying to enlighten you kidogo
MLDC ya africaππππππ
View attachment 1180576