Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 58,780
- 78,451
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
noma sana chief,,,,,na huo mzigo wa wese tanzania haukosekani upo wakutoshaTurkana ilikufia wapi jamani
Kazi imeanza sasa
Activate windows yako🤣 🤣 🤣 acha wizi wa picha za Switzerland na Iceland ukisema eti ni kunya land please stop, it's pathetic for you to stoop so low
View attachment 1098454View attachment 1098455
Ase kwa kweli daa hapana,slums,garbages,dream houses,poor sewage systems mavi yaani kuishi mabondeni ni huko ni noma yaani Dar yote ni bondeni
Na Nairobi je? Nairobi yote inamilikiwa na wahuni na koloni master wachache chenye mkenya anamiliki ni SLUM PEKEEDar ni zile jumba tatu afu ile Barbara moja ya BRT after hiyo unajipata shambani. Anyway nimeutafuta huu Uzi ni Kama unapotea baada ya ule wa Kenyan roads vs Tz dirt roads.
Afu ichoboy01 vipi swimming pools hapo BRT na JNIA???
asante ila sio laptop yangu hiyo. Nitampa link mwenye laptop
Vumilia na dawa 💉💉💉💉 plz hakuna dawa tamuAse kwa kweli daa hapana,slums,garbages,dream houses,poor sewage systems mavi yaani kuishi mabondeni ni huko ni noma yaani Dar yote ni bondeni
Hizi hekaya mlizo kaririwa na Nyerere CCM wapelekee washamba hapo vijiweni.Na Nairobi je? Nairobi yote inamilikiwa na wahuni na koloni master wachache chenye mkenya anamiliki ni SLUM PEKEE
Huyu alijitakia mwenyewe, hivi kweli raia wa Israel mwenye akili anaweza kuishi Kenya nchi ambayo Alshabab wanashambulia wakati na mahali popote watakavyo?Bye bye tourism #failed state
Hizi hekaya mlizo kaririwa na Nyerere CCM wapelekee washamba hapo vijiweni.
bwahahaaa..kwhyo unataka kila mkenya amiliki ardhi nairobi...yani sijui nynyi wabongo akili zenu zipo vp aisee...yani unataka kila mkenya amiliki ardhi nairobi...Ndiyo maana sipendi kuchangia mada nikichangia wakenya wanaumia sasa kama ni uongo kuwa wakenya wa kawaida wanamiliki vichochoro Vya kibera niambia wewe unamiliki heka ngapi na nyumba ngapi Nairobi mm dar namiliki heka 6 na nyumba 1
Waaah a Kenyan pointing fingers on other countries corruption,Alisema zilitumika nje ya budget na hazijulikani zilifanya kazi ipi,Bunge lenu dhaifu kazi ni kupiga tu makofi haliwezi likahoji serikali kuu inapoibia umma.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ukweli mchungu ni kuwa ukiuza hiyo heka sita ya shamba unayokisia kumiliki katika dar kijijini huwezi nunua hata robo kipande cha shamba jijini Nairobi.Ndiyo maana sipendi kuchangia mada nikichangia wakenya wanaumia sasa kama ni uongo kuwa wakenya wa kawaida wanamiliki vichochoro Vya kibera niambia wewe unamiliki heka ngapi na nyumba ngapi Nairobi mm dar namiliki heka 6 na nyumba 1
Kumbe mediafire bado ipo.
Wai Uhuru park ukavute hewa safi hewa ya kibera ni maviiUkweli mchungu ni kuwa ukiuza hiyo heka sita ya shamba unayokisia kumiliki katika dar kijijini huwezi nunua hata robo kipande cha shamba jijini Nairobi.
nimegundua kwa mafikirio yako ya ujamaa unadhani Nairobi kuna vijijini kama dar is lam ila usilolijua ni kwamba Nairobi ni city county sawa na Mombasa, na dar ni jiji ndani ya mkoa sawa na kisumu kuwa jiji ndani ya county. sasa bila mapendeleo si ajabu nikisema kwamba kumiliki shamba dar ni sawa na kumiliki shamba kisumu .
Siyo haki hata kidogo kulinganisha great city of Nairobi na vijijini vya mkoa wa dar is lam.
Tena ogopa ukisikia Mali inayomilikiwa na Nairobi ni sawa na mali inayomilikiwa na dar + Kampala + Addis ababa.
Nilisikia mtu akisema dar is the largest city in East Africa instead of dar is the largest city in dar es Slam province.