Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndege mbili mpya za serikali, aina ya Bombardier D8 Q400 na Boeing B787-8 Dreamliner zinatarajiwa kuwasili nchini mwishoni mwa mwaka huu. Hadi sasa ndege za ATCL zinafanya safari katika mikoa 9 nchini, na kwenda nchi 5 za Afrika (Zambia, Zimbabwe, Burundi, Morocco na Uganda). https://t.co/ASckM8w1AQ
 
Gap ni ile ile $40b
Wapi GDPπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ madeni yamejaa mpaka matakoni ndani ya GDP
6.3trillion ksh debtπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† alaf unazungumza habari ya GDP

So hapo chukua total GDP toa hio debt alaf uone GDP yenu halisiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚




EC9E98BC-2BD8-4C51-9AF7-CF5A67D9473B.jpeg
82715DD2-7D7A-4404-993B-AEEE4D24DACF.jpeg
525F9754-7E08-4A14-9EF3-33457CB59F97.jpeg
989DD826-9FBD-4B38-BE21-E2A72923AFDD.jpeg
 
Back
Top Bottom