Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

2019 mess👇👇👇👇

18D89ABE-1499-4649-AFCC-D67CC7C9F75A.jpeg
5BD5F4BC-CF7A-4E97-8C68-4C236D22EB6B.jpeg
 
Hii battle ya Kenya na Tanzania sijawahi kuilewa hata kidogo, watu hawana pesa mfukoni na wanaishi Jangwani, Tandika na Mwembe Yanga lakini wanajivunia magorofa, watu wanaishi Kibera, Mitumba na Mathare bila vyoo lakini wanajivunia kiingereza na ndege, maisha yakiwatinga wanakimbilia Ulaya nchi za Scandinavia, Ujerumani, Uholanzi nk kwenye Pochi nene lakini kiingereza hakina kipaumbele na magorofa si msamiati wao ni msamiati wa USA, China, Russia na UAE. Ethiopia wana mandege kibao fleet size 108, barabara za hatari, treni za kisasa lakini wananchi wao hawana pesa, watoto wa mitaani Addis Ababa wakucheba, kila kukucha waithiopia wahamiaji haramu wanakamatwa kwenye makontena huko Tanzania. Pamoja na kwamba Kenya airways ina ndege nyingi mara 6 ya Tanzania lakini maisha ya Kibera, Mathare ni Utata. Guys, you have to be serious, pigeni kazi acheni ubishi usioingiza pesa mfukoni.
 
Hii battle ya Kenya na Tanzania sijawahi kuilewa hata kidogo, watu hawana pesa mfukoni na wanaishi Jangwani, Tandika na Mwembe Yanga lakini wanajivunia magorofa, watu wanaishi Kibera, Mitumba na Mathare bila vyoo lakini wanajivunia kiingereza na ndege, maisha yakiwatinga wanakimbilia Ulaya nchi za Scandinavia, Ujerumani, Uholanzi nk kwenye Pochi nene lakini kiingereza hakina kipaumbele na magorofa si msamiati wao ni msamiati wa USA, China, Russia na UAE. Ethiopia wana mandege kibao fleet size 108, barabara za hatari, treni za kisasa lakini wananchi wao hawana pesa, watoto wa mitaani Addis Ababa wakucheba, kila kukucha waithiopia wahamiaji haramu wanakamatwa kwenye makontena huko Tanzania. Pamoja na kwamba Kenya airways ina ndege nyingi mara 6 ya Tanzania lakini maisha ya Kibera, Mathare ni Utata. Guys, you have to be serious, pigeni kazi acheni ubishi usioingiza pesa mfukoni.

Wewe una uhakika gani wabongo kwenye hii nyuzi hawana maisha!!!umefiatilia kila mmoja humu ukamuelewa sawa sawa???

Maisha magumu hayana maigizo mzee,sio masihara,ukiona mtu ananunua bundle la elfu mbili kwa siku anachezea chezea tu na kushinda mtandaoni ujue anajua anachokifanya,sio rahisi kama tunavyotaka kuaminishana.
 
Wewe una uhakika gani wabongo kwenye hii nyuzi hawana maisha!!!umefiatilia kila mmoja humu ukamuelewa sawa sawa???

Maisha magumu hayana maigizo mzee,sio masihara,ukiona mtu ananunua bundle la elfu mbili kwa siku anachezea chezea tu na kushinda mtandaoni ujue anajua anachokifanya,sio rahisi kama tunavyotaka kuaminishana.
achana naye yeye ndo ana maisha magumu asipende kugeneralize hiy
o ni poverty mentality
 
Hii battle ya Kenya na Tanzania sijawahi kuilewa hata kidogo, watu hawana pesa mfukoni na wanaishi Jangwani, Tandika na Mwembe Yanga lakini wanajivunia magorofa, watu wanaishi Kibera, Mitumba na Mathare bila vyoo lakini wanajivunia kiingereza na ndege, maisha yakiwatinga wanakimbilia Ulaya nchi za Scandinavia, Ujerumani, Uholanzi nk kwenye Pochi nene lakini kiingereza hakina kipaumbele na magorofa si msamiati wao ni msamiati wa USA, China, Russia na UAE. Ethiopia wana mandege kibao fleet size 108, barabara za hatari, treni za kisasa lakini wananchi wao hawana pesa, watoto wa mitaani Addis Ababa wakucheba, kila kukucha waithiopia wahamiaji haramu wanakamatwa kwenye makontena huko Tanzania. Pamoja na kwamba Kenya airways ina ndege nyingi mara 6 ya Tanzania lakini maisha ya Kibera, Mathare ni Utata. Guys, you have to be serious, pigeni kazi acheni ubishi usioingiza pesa mfukoni.
Kwahyo point yako Ni ipi?lazima ufaham battle ziko aina nyingi,kama hii haijakupendeza pita wima, kwani wananchi wa Ethiopia wakiwa na maisha magumu wewe inakuhusu nn hasa?
Kila mtu anashughuli zake hiki Ni kijiwe cha kupeana mbili tatu kuhusu maendeleo ya miji yetu,wapi tumekosea wapi tumejaribu wapi tumeweza, inahitaji uwe timamu ndio utuelewe!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe una uhakika gani wabongo kwenye hii nyuzi hawana maisha!!!umefiatilia kila mmoja humu ukamuelewa sawa sawa???

Maisha magumu hayana maigizo mzee,sio masihara,ukiona mtu ananunua bundle la elfu mbili kwa siku anachezea chezea tu na kushinda mtandaoni ujue anajua anachokifanya,sio rahisi kama tunavyotaka kuaminishana.
Kama mtu ananunua bundle ya 2000 kila siku atafute kazi ya kufanya. Angekuwa ana wife router nyumbani kwake au ana bundle unlimited ya miezi mitatu au angalau ya mwezi mmoja ningekaa kimya
 
Kama mtu ananunua bundle ya 2000 kila siku atafute kazi ya kufanya. Angekuwa ana wife router nyumbani kwake au ana bundle unlimited ya miezi mitatu au angalau ya mwezi mmoja ningekaa kimya
Tatizo lako bro ugonjwa wa siasa umekua chronic akilini mwako na mara zote ukikumbwa na huu ugonjwa unaharibu kinga akilini mwako unaanza kushambuliwa na vigonjwa vingine kama vile negative to your country (Kukosa uzalendo), uchu wa madaraka, hasira n.k. Nakushauri hii battle utuachie maana ni kama msai kaingia disco vile na ukiendelea kustay tutakuvua hiyo rubega tukunyang'anye na rungu
 
Tatizo lako bro ugonjwa wa siasa umekua chronic akilini mwako na mara zote ukikumbwa na huu ugonjwa unaharibu kinga akilini mwako unaanza kushambuliwa na vigonjwa vingine kama vile negative to your country (Kukosa uzalendo), uchu wa madaraka, hasira n.k. Nakushauri hii battle utuachie maana ni kama msai kaingia disco vile na ukiendelea kustay tutakuvua hiyo rubega tukunyang'anye na rungu
:D:D:D:D:DHaya ngoja niondoke huku ambako ukibishana kuhusu magorofa ndo ishara ya Uzalendo
 
mi sipendi jitu linayojifanya linajua kila kitu halafu linakosa hesabu ya 2+2. we umejiunga leo leo unaanza kuwabishia wenyeji halafu kwa jukwaa lisiloendana na fikra zako. si uwende huko kwenye thread za siasa ukabishane huko. halafu huna facts hata huko kwenye siasa hutufikii wenyeji maana mtazamo wako wote upo kapuni na dhamira yako tushaijua. ondokoa huku bro tukutane majukwaa uyatakayo tuone kama kichwa chako kinachaji vizuri. UNABOA
 
Back
Top Bottom