Freddie998
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 674
- 368
Sisi tunabelieve in actions. Kesho watalia mara ya piliHAWANA issue hizi Bongolala.... Kesho nataka kukalia Tz nikucheka vile Simba inalambishwa...
Sisi tunabelieve in actions. Kesho watalia mara ya piliHAWANA issue hizi Bongolala.... Kesho nataka kukalia Tz nikucheka vile Simba inalambishwa...
If you can't point anything out, then shut the https://jamii.app/JFUserGuide up!!!fanya kuji re-new.........asiyeelewa unamuacha limpite......
upo sawa boss kila kitu unajielewa
kwanza nijibu hiyo ni english ya wapi??Tell me what's wrong with the construction of that sentence
hasa si ndiyo ukweli huo........sportpesa haitusaidii kitu cha zaidi sisi ndiyo tunayoisaidia kuibrandHahaha Yani hadi wewe Unacatch mafeelings
That's why I told him that I love the tone in his voice...It tells a lot about him and the points he is trying to raiseHahaha Yani hadi wewe Unacatch mafeelings
point ya nini.....?If you can't point anything out, then shut the **** up!!!
Tangu lini swali ikawa jibu? niambie ni kitu gani mbaya na hiyo sentence ndo uniuluze mswali juu ya swalikwanza nijibu hiyo ni english ya wapi??
5-0 Utaskia Mara Ohh Uwanja mbovu Ohh Ofisi Ohh AzamSisi tunabelieve in actions. Kesho watalia mara ya pili
Sportpesa iko world wide sahii buda... Ina sponsor teams Kubwakubwa Kama Everton na Hull...hasa si ndiyo ukweli huo........sportpesa haitusaidii kitu cha zaidi sisi ndiyo tunayoisaidia kuibrand
Hehehe....they are so full of excuses hawa watu. Utasikia hata wakisema jua ilikuwa kali sana ndo maana wakapoteza! hehe. Ama eti upepo ilikuwa ikivuma sana5-0 Utaskia Mara Ohh Uwanja mbovu Ohh Ofisi Ohh Azam
Sasa huo msee anakuuliza nini?? It is very ironical when you see a Danganyikan Questioning a Kenyans GrammarTangu lini swali ikawa jibu? niambie ni kitu gani mbaya na hiyo sentence ndo uniuluze mswali juu ya swali
Tz ni Country ya kuhurumia tuHehehe....they are so full of excuses hawa watu. Utasikia hata wakisema jua ilikuwa kali sana ndo maana wakapoteza! hehe. Ama eti upepo ilikuwa ikivuma sana
na hao ni team B simba hehehe team A wako huku wanacheza ligiSimba wamengangana Kama Punda na hio ni clabu ndogo... Home Boyz Wataweza kweli??? Lakini Big up kwenyu... Sikutaka mtolewe Mapema Nataka Mike Finally... Ndio Mkutane na Baba yao.. Gor!!!
sasa hio ndio konza si bora tu ungeficha aibu tu munaskitisha sana aiseeHpa nikusema na Kutenda Hii Kenya si Tz... Pace ni yetu 2030 bado mbaaali.. View attachment 794258View attachment 794259View attachment 794260View attachment 794261View attachment 794262View attachment 794263View attachment 794264View attachment 794265View attachment 794266View attachment 794267View attachment 794269
ufadhili gani wewe bwege kweli ww so sport pesa ndio iliwapa hzo expensive buses na kuwajengea ofisi tanzania ????hahahha nikikwambia revenue ya yanga na simba au azam kusanya upuuzi wote wakenya hamnusi hata ukucha hakuna kitu sport pesa imeongeza kwa yanga au simba hehehehhe wala usijisumbue kutumia nguvu kuongelea sport pesa tanzaniaUnaposema maendeleo unamaanusha nini haswa wakati hata hizi timu zenu tajika bado zinapata ufadhili kutoka kenya? Ama maendeleo ni nucharzwa mabao kila time katika international matches? Kama hiyo ndo maendeleo then wacha tu ikae ila nataka kukukumbusha kwamba ile level ya maendeleo Gor imepata hadi kufikia sasa hizo team zenu takataka za yanga na simba hazitawahi fikia milele. Just in case you didn't know, Gor is the only team in east and central Africa to ever lift a continental tittle jambo ambalo litabaki kuwa ndoto kwa yanga na simba. Hiyo ndio maendeleo
link hakuna hehhehe na siku ukituma link ni siku hio utaichukia jamii forum hehhe unatuletea slum za nigeria ukisema darATA mi naona ni India Yani unacook hadi Ukweli!!? Kwani Google yako Tanzania ni India?? Hizi ndio takataka nimepata pinga sasaView attachment 794221View attachment 794222View attachment 794223View attachment 794226View attachment 794233
hio ni team B munacheza nazo team A zote ziko huku zinacheza ligi kuu heheh munajipa matumaini ya bure tu heheh nimefurah kuona mpaka kariobangi slum ina team sijui maskini ainafadhiliwa na nani??Hehehe....mnatia huruma kweli! Na ile yanga tenu saa hii iko wapi? naamini wako pale tandale na mbagala kwa shacks (dream houses za watanzania) wakingoja kichapo cha mwaka kutoka kwa serikal, Gor mayienga in confiderations cup