Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,834
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
 
Dar es salaam Master Plan Map
des01.jpg

7-1-620x404.png

k9sa9bjxk.jpg





BRT Master Plan Map
dart.jpg


Kigamboni New City Map
KigamboniNewCityF-653x450.png
 
OOOOH! Now I know you guys just love to compare yourselves with us, maybe to console yourselves that you are close.

After we beat you in a thread you sensationally come up with another one, We are better than you in every possible way and you know it.

Maybe this thread will make you happy for a moment but after several posts you will open another one. I am sure it is not your memory. We have like 10 threads already showcasing this things.
 
OOOOH! Now I know you guys just love to compare yourselves with us, maybe to console yourselves that you are close. After we beat you in a thread you sensationally come up with another one, We are better than you in every possible way and you know it. Maybe this thread will make you happy for a moment but after several posts you will open another one. I am sure it is not your memory. We have like 10 threads already showcasing this things.
Check the thread what does say. Is your fellow kenyan Jay456watt asked the battle is for you now to show one after another. When you show us we show the same thing in Dar. When we show you show us the same thing in Nairobi.
 
Nitarudi hapaa, but for my little uzoefu na opinion Nai is far better than Jiji letu la Makonda.
Ninasubiri jibu la kuhusu master plan ya jiji la Nairobi. Kisha tutaendelea. Hapa ni kutoa jibu la picha au reference document.

Ukisema kwa maneno tu haina maana yoyote. Hata mimi hapa ninaweza kukuambia ni tajiri kuliko Dangote. Lakini kukiwepo na evidences ndio tunajua.
 
Back
Top Bottom