ndo mpaka iwe ila tukiendelea kupost vitu ambavyo si confirmed patakuwa hapatoshi humu.....imagine na mimi nakuja na yangu..LIPUMBA KUTEULIWA KUWA KOCHA WA TIMU TAIFA YA MIGUU YA TANZANIA KUMRITHI POULSEN....bado siajconfirm
We Junior member acha kuleta habari ambazo hujaconfirm. Huo ni uzushi na umbea
Hii inajidhihirisha hawa jamaa walivyo na roho za kiutawala usio na demokrasia mkwere utakumbukwa kwa lipi?
Hivi ni nani alikuambia JK anataka maendeleo?????????????
Labda maendeleo yake binafsi na familia yake!! Hawezi kupenda maendeleo ya Tanzania wakati anawakumbatia MafisadiHivi ni nani alikuambia JK anataka maendeleo?????????????
JK yuko seriuos hawezi kumleta AR la sivyo anataka maendeleo yarudi nyuma kwani huyo mama hataweza fanya kazi na mbunge aliyepo. Hiyo itakuwa sabotage ya maendeleo ya Arusha mzee na JK anajua hilo hawezi fanya huo upuuzi
Mchochezi umekuwa mchocheaji! Zilipendwa za nini hapa?Yuko wapi siku hizi?
OkJK Yuko Serious....! Yapo mambo mengi yanayokinzana na unachokisema...! Hakiki unachotaka watu waamini kwanza. Fikiria yafuatayo utaelewa:
Je unaposema ypo serious sana - kwa kuteua wakuu wa mikoa, ikiwa ni pamoja na Burian kuwa ataharu au ku-sabotage maendeleo ya mkoa, unawezaje kulinda unachokithamini unapotafakari yaliyosemwa hapo juu??
- Kitendo cha kuondolewa Samuel Sitta ktk kugombea uspika, JK alikuwa anaongoza jopo lenyewe.
- Kukubali matokeo ya Urais na Ubunge kwa baadhi ya maeneo kuchakachuliwa na Tume, UWT na makada wa CCM, vyote vipo chini ya JK angeweza kukemea.
- Kuweka viongozi wa kiserikali ambao sio wafanisi na kuyumbisha uchumi ni jukumu la JK, ila kila mahali panayumba!
- Kukua kwa vinara wa ufisadi, wanaoishi bila woga ni kutokana na JK kutokuwa na kauli thabiti kwao.
- Ndiye amemteua Celina Kombani kama waziri wa Sheria na Katiba - aliyesema hakua haja ya Katiba kurekebishwa, then week 3 baadaye waziri wake mkuu na Taifa zima wanasema kubadili Katiba ni jambo jema - lakini JK hajaona tatizo kwa mama Kombani na bado anaona atafaa kuwa waziri ktk wizara aliyopewa??
Tafakari, uelewe...Hatuna Seriousness toka ndani ya CCM...! Tanzania tunahitaji viongozi wanaoona mbali, ambao kwa bahati mbaya hatunao tena ndani ya CCM! Tunasikitika...
Labda kwa sasa CHADEMA itoe dira ya Taifa, ndio tutaweza kuelekea kuliko sahihi...
Soma tena...Hii inajidhihirisha hawa jamaa walivyo na roho za kiutawala usio na demokrasia mkwere utakumbukwa kwa lipi?